Тёмный

USTADHI SHAFII AKATAA KUWATUMIA MAJINI NA PETE ILI KUJIPATIA FEDHA ASEMA NI SHIRIKI NA UTAPELI 

SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Подписаться 222 тыс.
Просмотров 2,2 тыс.
50% 1

MWENDELEZO WA MAHOJIANO YETU NA USTADHI SHAFII JUU YA KUFATA ELIMU YA MANABII KATIKA UISLAMU NA KUTUMIA PETE NA MAJINI KATIKA TIBA

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 10   
@omargargaar5611
@omargargaar5611 3 месяца назад
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah akuhifadhi sheikh Shafii una ongea ukweli wa haki
@Ismailmusa-y6b
@Ismailmusa-y6b 3 месяца назад
Allah akupe umri mrefu sheikh wangu uzidi kutufumbua macho na kutulingania
@kalamamuller-qe1yd
@kalamamuller-qe1yd 3 месяца назад
Sheikh shaffi na ndo maana na kukubal
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 2 месяца назад
Kushika fimbo ni utamaduni/culture wa Kiarabu.
@maase2023
@maase2023 2 месяца назад
Majini yenyewe anayo basi?
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 3 месяца назад
Huyu Mzee ana chuki tu, Mzee wa mitaani
@myself4128
@myself4128 2 месяца назад
Sasa kama Shirk ni dhambi ISIYOSAMEHEKA?ni waislamu wangapi hawajashiriki kufanya shirk???na hao walokuwa wakifanya na wakaacha mbona wanapoteza Muda wao kuswali wakijua hukumu yao Ishapita???
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 3 месяца назад
Sasa Suleiman alijulikana kwa Pete au sura? Wewe Mzee vipi? Iyo shetani alochukua Pete ya Suleiman bila ya shaka na sura yake pua ilibadilika akawa kama Nabii Sueliman sio Pete tu
@seifserenge3340
@seifserenge3340 3 месяца назад
Uko poa mhadhiri wetu, wape watu au waislam elimu wasitegemee au mapango au majini ili wapate utajiri hio ni shirki, watu wafanye kazi kujipatia kipato.
@AbduMohammed-fn6ot
@AbduMohammed-fn6ot 2 месяца назад
Kwa mtazamo na akili ya kawaida kama utakuwa unafuatilia mawaidha ya ustadhi shafii na interview zake utakujakuona yakuwa kama hajakomaa na hajajuwa hii dini vizuri, jaribu kuwatizama masheikh wotee kuanzia sheikh wa mkowa wa dares salaam sheikh mkuu wa Tanzania Dr sule na baazi ya masheikh wanao trend kama jeshi LA mtu mmoja sheikh mziwanda na wengine utaona wakiwa nanaongea na kufanya mawaidha Yao huwa wanatumia ile sign au saini ya tuliyoizowea kuuita ni saini ya freemason wanayoitoa mapapa na baadhi ya wasanii au wanamuziki wakubwa wa amerika na duniani kwa ujumla, ustadhi shafii hajaijua dini vizuri hau hajasoma vizuri bado Ana safari ndefu ya kurndelea kuisoma dini maana dini haina mwisho Sema inaitaji muda na subra kuijuwa, na ukishaijuwa dini...............
Далее
MUFTI ASHANGAZWA NA VUTENDO VYA WAISLAMU
40:49
Учёные из Тринидад и Тобаго
00:23
🦊🔥
00:16
Просмотров 634 тыс.
MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID
17:20
Просмотров 149 тыс.
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
Учёные из Тринидад и Тобаго
00:23