Тёмный

USTADHI SHAFII AMVAA UST. DANIEL KUHUSU MAFUTA YA MAJINI KUTUMIWA NA ZUMARIDI, MACKENZIE NA EZEKIEL 

SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Подписаться 222 тыс.
Просмотров 9 тыс.
50% 1

BAADA YA USTADHI DANIEL KUTOA ELIMU KWAMBA WACHUNGAJI WANATUMIA MAFUTA YA WAISLAMU KUFANYA MIUJIZA, USTADHI SHAFII AMEJIBU

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 88   
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 3 месяца назад
Mashallah allihamdullilah kupata nuru yakuwa mwislam ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@favoritebrayo
@favoritebrayo 3 месяца назад
na motoni bado utaenda
@Sultan-o7m9s
@Sultan-o7m9s 3 месяца назад
@@favoritebrayo lete ushahidi nipo hapa?
@favoritebrayo
@favoritebrayo 3 месяца назад
@@Sultan-o7m9s Yohana 14:6 hakuna njia ingine ya uzima wa milele
@RamadhanMwawila-n5l
@RamadhanMwawila-n5l 3 месяца назад
Ramadhan Mwawila. Mash Allah' Shekh' SHAFII ALLAH AKUHIFADHI NA AKUPE UMRI MREFU ILI TUENDELEE KUNUFAIKA KWA ILIM ZAKO UNAZOTUFUNDISHA.
@mukhusinathuman6596
@mukhusinathuman6596 3 месяца назад
Safi sana shafii kwa hili nime kuelewa vzr sana Allah aendelee kukuongoza ktk ulinganiaji...
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 2 месяца назад
Nakupenda sheikh shaffi kwa ajili ya Allah
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 месяца назад
Duuuuuuuu mungu wenu anaijua lugha Moja usiposwali kiarabu allah ajui ulichokisema waislamu na majini kazi mnayo sisi wakristo Mungu wetu lugha za wanadamu hazimsubui Sali vyovyote anapokea sala Yako njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo
@rashidibrahim8316
@rashidibrahim8316 3 месяца назад
Uelewa wako Ni mdogo Sana soma lugha ya Arabic ndiyo waislamu waliekezwa kutumia katika maombi Haya umetowa wapi hiyo elimu ya kusema usipotumia kiarabu maombi yako hasikii Mungu
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 месяца назад
@@rashidibrahim8316 hiyo ndo lugha ya allah kiarabu ndomaana huyo shafi kasema popote palipo msikiti lugha ni kiarabu ndomaana hatumuelewi tukaamua kutomfuata huyo mtume wake WA kiarabu aliyeoa mtoto WA miaka 6 na majini yakamfuata na kuamini ndo mtume wao hawana mwingine na Wala kitabu kingine ni Quran tu Toka huko njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 месяца назад
@@rashidibrahim8316 nyie waislamu hachana na majini mapepo wachafu yanawapoteza jehanamu ipo
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
​@rashidibrahim8316 Mnaposema Yesu, Adam, Musa, Daudi na suleman walikuwa waislam inamaana na wao walikuwa wanaongea kiarabu?
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 месяца назад
@@FridayMwassa weweee hicho kitabu kiosema hao walikuwa ni waislamu ni kitabu Cha majini mashetani kisikuumize kichwa ukiwauliza wanaokiamini wapi walisema Mimi ni mwislamu hawana majibu potezea huo ni uongo WA shetani maana shetani ni baba WA uongo
@LucaWanzuki
@LucaWanzuki 3 месяца назад
Shekh shafi unatisha sana mungu akujalie elimu zaidi tujifunze kwako
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 месяца назад
Anatisha kwenu maamuma
@LucaWanzuki
@LucaWanzuki 20 дней назад
@@FridayMwassa elimu yako iliishia apo nni kwa maimuna😅😅😅
@AntonyManeno
@AntonyManeno 23 дня назад
Mbona Mnawasomea Watu Lubadili Na Wanashikwa Na Wazim Wanaokota Makaratasi Hata Akaenda Wapi Tena Haponi. Ni Mungu Yup Huyo Munae Mwambiea Ashikishe Mtu Wazim
@abangaabanga4677
@abangaabanga4677 3 месяца назад
Jesus is the way, the truth and life......🙏
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 2 месяца назад
Umevurugwa na Sauli au Paulo aliyeichakachua Injili na kuunda dini ya ukristo, ambayo Yesu hausiki nayo.
@babazungu3180
@babazungu3180 3 месяца назад
Wanachukii tu shekh shafii
@KennedyNgusa
@KennedyNgusa 3 месяца назад
Nakukubali mwalim
@Chrishenryson-beats
@Chrishenryson-beats 3 месяца назад
9:59 Tatizo la shafiii mwambie akupe vifungu sio maneno mdomoni. Shafii anatumia maneno sana
@favoritebrayo
@favoritebrayo 3 месяца назад
yaani ana story za jaba huyu kadhee nakwambia
@AzizaNurdin
@AzizaNurdin 3 месяца назад
​@@favoritebrayohumjui suafii kakojoe ukalale
@albertvalentino130
@albertvalentino130 3 месяца назад
Eti Mungu haangamizi umma mpaka siku ya kihama,eti kwasababu kuna mtu Fulani aliomba ---- kwahiyo Mungu mwenyewe hana ratiba wala utaratibu wowote,ispokuwa anategemea maelekezo ya mwanadamu --- " Hadithi za kizee "
@Sultan-o7m9s
@Sultan-o7m9s 3 месяца назад
Kwani uwongo hili? Km ni uwongo leta angamizo moja tuu kutoka kwa Mungu
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
​@@Sultan-o7m9sgharika wakati wa Nuhu na moto wa sodoma na gomola
@omarsultan4502
@omarsultan4502 3 месяца назад
Endelea kuwaaelimisha ili wote waipate pepo inshallah
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Pepo ya majini hatuitaki nendeni wenyewe
@JohnOuya-w7j
@JohnOuya-w7j 3 месяца назад
Ww shafi jua namna yakuongea hakuna mahali yesu alitumia majini hamna kabsa usiharibu bibilia tueshimiane,
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 месяца назад
Uislam bila kudanganya unaweza kufa
@mudrikramadhani32
@mudrikramadhani32 12 дней назад
Naaa andiko kakutolea kabisa Bado unakaza kichwa???
@danielkamau2987
@danielkamau2987 3 месяца назад
Wee fanya mdahalo na Ndacha tunjue ukweri.
@jomeshastudio7046
@jomeshastudio7046 3 месяца назад
hahaha ndacha pasua kichwaa hakuna wa kumuwezaa
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 2 месяца назад
Tafuteni ukweli msimtegemee mtu huo ni ujua.
@phakundigervas1360
@phakundigervas1360 3 месяца назад
Ikiwa mnaiamini Injili ya YESU MBONA hamuitangazi tena mnamkana Mungu Yesu Kristo?
@salimchimwaga8384
@salimchimwaga8384 3 месяца назад
Kwani yeye mwenyewe Yesu alisema Mimi ni Mungu??
@AzizaNurdin
@AzizaNurdin 3 месяца назад
Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe mungu wa kweli na wa pekee na yesu kristo uliyemtuma.
@julius795841
@julius795841 2 месяца назад
Fanya mdahalo na yohana omar
@rweyemamueustace4254
@rweyemamueustace4254 3 месяца назад
Luka 4:14-22 Yesu alijua/ anajua kusoma na kuandika. Achani UONGO we Shafii
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 месяца назад
Huyo shafi mjinga hanataka kumfananisha Yesu na kilaza wao mtume asiyejua kusoma Wala kuandika Quran 7:157
@salimchimwaga8384
@salimchimwaga8384 3 месяца назад
Yesu alifundishwa na nani???
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 месяца назад
@@salimchimwaga8384 Yesu ni Mungu aitaji kufundishwa Yesu sio kama allah aliyeshindwa kumfundisha Muhammad kusoma na kuandika kwaili allah hatakuwa naye ajui kusoma Wala kuandika 7:157
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 месяца назад
​@@salimchimwaga8384Wayahudi walikuwa na vyuo vya kielimu mapema sana,ukisikia sinagogi maana yake ni nyumbani za kifundishia sheria kwa wayahudi.siyo kama mnatafsili nyie kwamba sinagogi ni msikiti
@lydianyangau8142
@lydianyangau8142 3 месяца назад
Wacha kupotonza watu Yesu hawezi tumia majina Kama ndugu wenyu Mohamed nyinyi kaa na majini Kwa misikiti yenyu but sio kanisani
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 3 месяца назад
Nliona rafiki yangu kenda fanya Ibada Kanisani lakini ibada yote yupo nje dirishani kabeba mtoto,mwingine kila Jumapili asema aenda kufanya ibada lakini akifika kazi yake ni kumpikia mchungaji chai mwaka wa 30 sasa...inamaana hajawai ata kufanya ibada io yao wenyewe ata kama sio ya kweli
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Visa vya kutunga,
@BonfaceWawire-k6p
@BonfaceWawire-k6p 3 месяца назад
shafiu hili ni jina la maji. ni njoo kwenye mdahalo aja kupitia mbali hata hujui qurani wewe muisilamu kamili lazima awe na jini , qurani ni kitabu Cha majini
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 3 месяца назад
Waislamu hujadiliana na wa Christo kwa sababu ni amri kutoka kwa mwenyezi Mungu, ila elimu ndani ya uislamu, ni Pana sana na inahitaji mtu mwenye kutumia mental capabilities vyema. Wakristo hamna akili na hampendi kufikiria.
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 3 месяца назад
Kama waislamu Wana akili mbona Marekani kila siku anawatandika na kuchukua rasilimali? Kama mna akili mbona Macca na Medina zinalindwa na Mifumo ya ulinzi wa Marekani? Kama mna akili mbona waganga wote wa kienyeji ? Kama mnaakili mbona gudunduzi nyingi zinatoka magharibi?
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 3 месяца назад
Ukraine ni waislamu? Congo ni waislamu? Africa ilivyocolonaiziwa mpaka Sasa ni waislamu? Ndo Nika Sema hamna akili, Ata hufikirii kabla ya kuuliza swali. Fanyisha akili kazi siku ya qiyama mwenyezi mungu atakuuliza ulitumia akili vipi?
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 3 месяца назад
@@joshuajohn8533 pia hauna uelewa wa mambo ya politics, ndo nikasema hampendi kusoma, mpaka msomewe na wachungaji. Piga research kidogo usiropokwe tu. Unazidi kuonekana mjinga.
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 3 месяца назад
@joshuajohn8533 technology is at your fingertips, use it.
@favoritebrayo
@favoritebrayo 3 месяца назад
sasa wewe mwenye akili nyiiiiiiingi na bado upo gizani
@AntonyManeno
@AntonyManeno 23 дня назад
Huyo Alie Ni Malaika Mwenye Nguvu Alie Mufudisha Mhamadi Wenu Anaitwa Nani Na Akapewa Na Nani Mafudisho...?
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 3 месяца назад
Bado tunahitaji mkutano na ndacha tuwaone mnavopapaluka katika utetezi wa maandiko
@BonfaceWawire-k6p
@BonfaceWawire-k6p 3 месяца назад
ndacha Yuko usinyamasiye haya mrekebishe ju huyu ametawaliwa na majini nakudhània wakristo NAO ni watu wa majini
@RichardHenjewele-gs8rk
@RichardHenjewele-gs8rk 3 месяца назад
Sheeee uko vizuli
@SebastianKisokola
@SebastianKisokola 2 месяца назад
Kumbe hawa watu imani yao kali wameiga kwa majini mwenye akili timamu hawezi kuwa muislam ni mpuuzi tu
@BonfaceWawire-k6p
@BonfaceWawire-k6p 3 месяца назад
jini unasemaje huyu nijini tena jike
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 3 месяца назад
Yule jamaa anachuki dhi ya muislam? Sasa sikuizi wanalimana wenyewe na ndacha kuhusu usabato.
@BadruHisha
@BadruHisha 2 месяца назад
K wakweli weye nimwalimu kweli
@BonfaceWawire-k6p
@BonfaceWawire-k6p 3 месяца назад
majini huyu naye ana jini usipingane
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 3 месяца назад
Moja ya vitu vingi ambavyo Waislam wengi hawajui ni kuhusu kuteremshwa kwa Quran wengine husema iliteremshwa puuuuu wengine hudai kunawaandishi wanne walio tumika kuiandika, na wengine husema Quran hii ya sasa iko tofauti na Quran aliyo iacha Muhamad lakini pia kuhusu kujuwa kusoma na kuandika kwa Muhammad wengi hawakubari kuwa hakujuwa kusoma na kuandika japo pia hakuna sehemu inayo onyesha mtume huyu aliwahi kuandika, lakini leo shafii anasema kumbe iliandikwa na watu wakiwa chini ya usimamizi, lakini pia hawa watu ambao waliandika hizi Aya ambao wanaaminika kuwa walikuwa maswahaba je nikweli walikufa wakiwa ktk imani hii ya Uislam au waliacha Uislam coz zipo hadithi zinazo weka wazi kuhusu maisha ya waandishi hawa Wanne kuwa walikufa ktk hali yakuwa walevi kupindukia na mmoja wao aliacha Uislam.
@hassantoure7472
@hassantoure7472 3 месяца назад
Bana we,,sasa nini hujaelewa hapo😂
@favoritebrayo
@favoritebrayo 3 месяца назад
nakwambia uislam ni kaburi la wazi yaani wote maiti
@yohana1242
@yohana1242 3 месяца назад
Uislam kwanz sisi hatubagui mitume wala manabii ukifa mkiristo ww motoni tu
@favoritebrayo
@favoritebrayo 3 месяца назад
@@yohana1242 ata si hatubagui ndo maana tuna vitabu vyao wote
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
​@@yohana1242Huo moto ni wamama yako,umebadili dini kwa kidanganywa na mwanamke
@dullahfar7775
@dullahfar7775 3 месяца назад
Yele Daniel sijapata kuona mkiristo bwege kama yule
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Bwege maana yake nini,unapenda kusifia hata uchafu
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 месяца назад
Mtume Muhammad heti katumwa na Mungu? Kwaiyo Mungu alishindwa kumfanya ajue kusoma na kuandika? Mungu huyo Mimi simtaki maana kunavitu anashindwa ndomaana allah atumtabui kama ni Mungu WA kweli hataki kuitwa baba wakati Mungu WA Musa anakubari Wana wa Israel ni wanaye torati 14:1
@favoritebrayo
@favoritebrayo 3 месяца назад
allah si ni shetani mwenyewe
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад
Uwo ndio upuuzi wenu mliokua nao Mungu hufanya kitu vile anavo taka yeye sio unavo taka wewe, kwani hakuna mkiristo mwenye ulemavu mbona wewe hauna ulemavu au kama unao mbona wenzio hawana lazima akili zenu muwe mnazitumia vyema
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад
​@@favoritebrayoAllah atakuongoa In Shaa Allah
@favoritebrayo
@favoritebrayo 3 месяца назад
@@MohamedAhmada-ie7ke sisi na nyinyi nani hawatumii akili my friend?
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад
@@favoritebrayo kama wewe utakubaliana na ayo mawazo ya uyo mwenzio na wewe pia utakua hauna akili
Далее
Airpod Through Glass Trick! 😱 #shorts
00:19
Просмотров 2,7 млн
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2
32:24
Lava Lava Katika Mashindano Ya Kusoma Quran part 1
9:40