Duuuuuuuu mungu wenu anaijua lugha Moja usiposwali kiarabu allah ajui ulichokisema waislamu na majini kazi mnayo sisi wakristo Mungu wetu lugha za wanadamu hazimsubui Sali vyovyote anapokea sala Yako njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo
Uelewa wako Ni mdogo Sana soma lugha ya Arabic ndiyo waislamu waliekezwa kutumia katika maombi Haya umetowa wapi hiyo elimu ya kusema usipotumia kiarabu maombi yako hasikii Mungu
@@rashidibrahim8316 hiyo ndo lugha ya allah kiarabu ndomaana huyo shafi kasema popote palipo msikiti lugha ni kiarabu ndomaana hatumuelewi tukaamua kutomfuata huyo mtume wake WA kiarabu aliyeoa mtoto WA miaka 6 na majini yakamfuata na kuamini ndo mtume wao hawana mwingine na Wala kitabu kingine ni Quran tu Toka huko njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo
@@FridayMwassa weweee hicho kitabu kiosema hao walikuwa ni waislamu ni kitabu Cha majini mashetani kisikuumize kichwa ukiwauliza wanaokiamini wapi walisema Mimi ni mwislamu hawana majibu potezea huo ni uongo WA shetani maana shetani ni baba WA uongo
Mbona Mnawasomea Watu Lubadili Na Wanashikwa Na Wazim Wanaokota Makaratasi Hata Akaenda Wapi Tena Haponi. Ni Mungu Yup Huyo Munae Mwambiea Ashikishe Mtu Wazim
Eti Mungu haangamizi umma mpaka siku ya kihama,eti kwasababu kuna mtu Fulani aliomba ---- kwahiyo Mungu mwenyewe hana ratiba wala utaratibu wowote,ispokuwa anategemea maelekezo ya mwanadamu --- " Hadithi za kizee "
@@salimchimwaga8384 Yesu ni Mungu aitaji kufundishwa Yesu sio kama allah aliyeshindwa kumfundisha Muhammad kusoma na kuandika kwaili allah hatakuwa naye ajui kusoma Wala kuandika 7:157
@@salimchimwaga8384Wayahudi walikuwa na vyuo vya kielimu mapema sana,ukisikia sinagogi maana yake ni nyumbani za kifundishia sheria kwa wayahudi.siyo kama mnatafsili nyie kwamba sinagogi ni msikiti
Nliona rafiki yangu kenda fanya Ibada Kanisani lakini ibada yote yupo nje dirishani kabeba mtoto,mwingine kila Jumapili asema aenda kufanya ibada lakini akifika kazi yake ni kumpikia mchungaji chai mwaka wa 30 sasa...inamaana hajawai ata kufanya ibada io yao wenyewe ata kama sio ya kweli
shafiu hili ni jina la maji. ni njoo kwenye mdahalo aja kupitia mbali hata hujui qurani wewe muisilamu kamili lazima awe na jini , qurani ni kitabu Cha majini
Waislamu hujadiliana na wa Christo kwa sababu ni amri kutoka kwa mwenyezi Mungu, ila elimu ndani ya uislamu, ni Pana sana na inahitaji mtu mwenye kutumia mental capabilities vyema. Wakristo hamna akili na hampendi kufikiria.
Kama waislamu Wana akili mbona Marekani kila siku anawatandika na kuchukua rasilimali? Kama mna akili mbona Macca na Medina zinalindwa na Mifumo ya ulinzi wa Marekani? Kama mna akili mbona waganga wote wa kienyeji ? Kama mnaakili mbona gudunduzi nyingi zinatoka magharibi?
Ukraine ni waislamu? Congo ni waislamu? Africa ilivyocolonaiziwa mpaka Sasa ni waislamu? Ndo Nika Sema hamna akili, Ata hufikirii kabla ya kuuliza swali. Fanyisha akili kazi siku ya qiyama mwenyezi mungu atakuuliza ulitumia akili vipi?
@@joshuajohn8533 pia hauna uelewa wa mambo ya politics, ndo nikasema hampendi kusoma, mpaka msomewe na wachungaji. Piga research kidogo usiropokwe tu. Unazidi kuonekana mjinga.
Moja ya vitu vingi ambavyo Waislam wengi hawajui ni kuhusu kuteremshwa kwa Quran wengine husema iliteremshwa puuuuu wengine hudai kunawaandishi wanne walio tumika kuiandika, na wengine husema Quran hii ya sasa iko tofauti na Quran aliyo iacha Muhamad lakini pia kuhusu kujuwa kusoma na kuandika kwa Muhammad wengi hawakubari kuwa hakujuwa kusoma na kuandika japo pia hakuna sehemu inayo onyesha mtume huyu aliwahi kuandika, lakini leo shafii anasema kumbe iliandikwa na watu wakiwa chini ya usimamizi, lakini pia hawa watu ambao waliandika hizi Aya ambao wanaaminika kuwa walikuwa maswahaba je nikweli walikufa wakiwa ktk imani hii ya Uislam au waliacha Uislam coz zipo hadithi zinazo weka wazi kuhusu maisha ya waandishi hawa Wanne kuwa walikufa ktk hali yakuwa walevi kupindukia na mmoja wao aliacha Uislam.
Mtume Muhammad heti katumwa na Mungu? Kwaiyo Mungu alishindwa kumfanya ajue kusoma na kuandika? Mungu huyo Mimi simtaki maana kunavitu anashindwa ndomaana allah atumtabui kama ni Mungu WA kweli hataki kuitwa baba wakati Mungu WA Musa anakubari Wana wa Israel ni wanaye torati 14:1
Uwo ndio upuuzi wenu mliokua nao Mungu hufanya kitu vile anavo taka yeye sio unavo taka wewe, kwani hakuna mkiristo mwenye ulemavu mbona wewe hauna ulemavu au kama unao mbona wenzio hawana lazima akili zenu muwe mnazitumia vyema