Nguruwe aliumbwa na Mungu kwa makusudi mengine katika na siyo kwa chakula. Mungu katika NENO LAKE Amekataza sana ulaji wa nyama ya Nguruwe. Wanadamu wote wanaokula Nguruwe watapata adhabu kali sana na hawatakuwepo katika ufalme wa Mungu.
Jamani tuchangamkie fursa twendeni tukamwone dokta guruwe na mlimaji vanila maarufu,duniani ,maana hii kichwa siipatiagi jibu lakini anapata hela,na atawatapeli wawekezaji mwisho atakuja kunyongwa,tapeli ila ukila naye kiakili unapata hela
Baba levo usiwe unamtangaza uyo jamaa atakualibia ...utaonekana nawewe akili yako baba levo kama uyo jamaa...mimi kama shabiki yako baba levo uyo jamaa anakualibia bwana ..usimpromoti uyo chizi manguruwe baba levo nawewe...wewe unamashabiki wakislam unatukwaza baba levo...mim sijapenda baba levo..uyu jamaa manguruwe hana akili ata moja ...baba levo uyo jamaa anakuharibia bwana usimpromoti
Huyu jamaa na kampuni yake ni tapeli wazoefu. Hawalipi watu wengi sana na malalamiko ni mengi sana Ushauri wa Bure ACHENI KUWEKEZA KWAKE NI MATAPELI WAKUBWA