Bibi na mpenda huyu jamani mchangamvu sana ata kama ana kitu yupo mchangamvu sana mungu ijalie hii familia na wote wanaojitolea ktka hii familia na pia mungu awajalie kaka fabi na kaka adamu kwa kujituma yarabi
❤❤❤ mashallah kwa wanaotoa misaada mola awazidishie mlipo mtoa awaongezee inshallah shukuran mwendeleze kutia furaha kwa wote wanaosaidiwa kutoa ni moyo sio utajir
Wanadamu ndivyo tunavyo takiwa kuishi, Walio barikiwa watoe kwa wale wasionacho nakuwapatia furaha wasionacho.Hongera napongenźi kwa wale wote walio msaaidia mama huyu Mungu awazidishie pale walipo punguza.Inshallah.
Mashaallah Allah anifanyie wepesi Na bibi zangu uwa nawapenda sana mda wt ni watu wa furaha ht km awana kitu ndo uyu bibi yy mda wote mtu wa furaha nikjaaliwa kurudi nilichokipata nitawakiiisha kwa Fabi na Adamu wampelekee bibi hata kwenda kumuona nitaenda nikijaaliwa