Mzee Muhogo mchungu kwa mara kwanza nilimwona live kariakoo duka fulani la Waarabu. Kavaa ovyo tu kwani mkewe hamtunzi mmewe kuwa nadhifu maana ni kioo cha jamii. Hata hapo kwenye hafla hajawa smati. Pole M.Mchungu.
😂🤣Uyu mzee majina yake yanaweza kutoshea yote kwa kadi ya kitambulisho cha Tanzania kweli . Pengine atengenezewe passport lefu ili majina yake yote yatosheye . Daa zaidi 😂🤣💪👊booom
Key nakukubali sana unakipaji mashallah sema nakushauri jiweke smart upo lafu sana ilo shat limepauka nakushauri tu cz nakupenda kama nimekosea nisameheni
Utamaduni wawa TANZANIA unapotea yaani baadhi ya waandishi hawawasalimii wakubwa zao kama ilivyo desturi umamsikia mtu anamwambia mkubwa wakr heshima yako ndio salamu gani sikama baba yako huyu mzee ukimwamkia utakatika ulimi
Mziwanda hujajua kuuliza maswali kwa mtu mzima na vijana hembu jaribu kuuliza vizuri na sio heshima yako salimia.kwa heshima kwani shikamoo ni ushamba?
Tatizo la baadhi ya waandishi wa habari hawajipangi kumuuliza mtu maswali inaelekea wanakupuka na cjui kama wamepitia kwenye chuo cha uandishi wa habari kama huyu hajui jinsi yakumuuliza mtu
Maisha halisi ya MTU sio kuhojiwa kwenye ukumbi nijuavyo Mimi,maisha halisi ni kuwa yuko nyumbani mnaona maisha anayoishi na kama ana miradi mnaiona sasa uko kutuambia maisha halisi ya msanii alafu atuoni anapoish,mnafeli wapi watangazaji