Mabinti ni moja ya nyimbo za Mwana FA bora zaidi za muda wote. Kwenye Chill na Sky, FA alielezea mambo kibao kuhusu wimbo huo ambayo mengi hujawahi kuyasikia
Hujaelezea wimbo wako unahusiana vipi na Kama Unataka Dem wa JayMo? Maana nasikia ulikuwa ushirikishwe na JayMo kwenye wimbo wake wewe ukaibuka na wako😂😂😂. Ila cha kushukuru Mungu zote zilikuwa hit