Kabla ya kuoa ni muhimu kufanya umakini na utafiti , kuna wanawake dizaini hii sio wife material na huwezi kuwabadilisha , udangaji ndio nature yao upo ndani ya damu na hata umpe dunia nzima bado atachagua kudanga iko ivo, huyu ni wale wa kutafuta booking za wanaijeria wa Dubai, asafirishwe wiki na wamtumie vibaya alimradi tu apate hela ya kumantain BBL na kuishi maisha ya kufake mtandaoni.
huyu interviewer yuko juuu sana hauboeki kuangalia akihoji mtu anajua sana ku drive interview kaka kazi nzuri SnS itakuja kuwa big channel sana 🔥🔥🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Mdogo lakini amejiaribu mapema na Amekubuuuuuu....DOOOOH..?.Nah umekuja kwenye interview ya nini km no comments, na kwanini unaniuliza hivyoo.....why yr here....?
Hizo nchi alizokutajia huwa wanaenda kujiuza South Africa, Nigeria huko kote alipotaja ndipo wanaenda kujiuza, shape kajiharibu mitako mikubwa mno mihipsi yaani kajiharibu sasa angalia hivyo vimiguu kama vijiti mwili umemezwa mitako surgery sio urembo ni kumkosoa mungu hivi ulivyoniumba sivyo hata sijui wananawa vipi? Kafanya hiyo surgery Kwa ajili ya biashara ndio wakina poshi hao matokeo yake wanaenda kulala na kina harmonize ,nayule mwingine Nicole mwenye miboga huyo kitengo chake Nigeria biashara yake na chauzi
Yani maskin huyo mwanamke hajielewi hata unavyojibu anajubu uongo tu ila kama ametamani kuzaa nje ya ndoa kuliko ndani ya ndoa kiukweli ni mtihan sana ndio mana amesema sajari ni urembo 😂
What Belongs to the Street will always be on Street ( Huyu Anafanya kazi Gani ? Mwanamke Asie na Kazi Rasmi yeye na Mtandao ) Huyu sio wakuwa Mke, Eti kajitengeneza Kabisa, Huyu kuna Business Anafanya Huwezi ukamuweka ndani. 😎
Wanaume cc tutapata tabu sana special tunaopenda tusiivyovijua ndani ya wanawake .ukitaka maisha mazuri tafuta mtoto mbichi mzuri anaejua kupika utaenjoi life lkn awa wanaofata shepi na mionekano watasubuka sana
kwa iyo ndo umekwenda kuwavutia wanaume hahahaaaa pole kujipenda ni kujitunza vile maumbile alokupa Mungu ukajiweka vizuri basi sio kuvichoma choma kila sehemu
nimefatilia interview ya momo anasema ako na watoto wawil na uyu nikaja uku uyu mara mtoto mmoja mara watoto mara no comment je ni swali kwa wanaowajua vzr uyo mtoto momo alosema ana miaka 12 ni wa uyu malaika ama ni wa momo kwa mke mwingin mbon sielew
Mwanamke yeyote mwenye kupata pesa hawezi kukaa kwenye ndoa anaona anabanwa sana na mwanume kipindi hicho anaraka kukaa huru ili yauze uke wake kujipatia kipato
Jamani wadada ni Vizuri mkaelewa kuwa mwanamke mrembo huwa ahitaji matakata ya kujipambia na ukiona mtu anajiwekea kucha ndefu kama shetwani mara makope kama Bata mzinga mara wigi yaani zote hizo takataka!
Wanawake kama hawa huwa hawaiwezi ndoa ana muda wa kumuhudumia mume na hizo kucha anajichambishaje kwa mfano hiyo ni midoli uliweke ndani ukilitazama tu si lakupika wala kuvua yy ajipambe tu