Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri UTAPENDA WOLPER ALIVYOTAMBULISHA FAMILIA YAKE USIKU WA HARUSI YAO #Bonatv #Exclusive
Utajua tu Jackleen Wolper amezoea Camera na amezoea kuongea mbele za watu kutokana na kazi yake ya uigizaji bongo movie, hongera sana umechangamka na umetambulisha ndugu zako vizuri sana, ikawe ndoa ya kheir Amminna inshallah
Piga kelele wamamapy usifananishwe nakiroboto chochote jaki nijaki nahakuna jaki mwengine wewewe who is nandy nandy harusi yake sura imenenepeana puwa kubwa mashavu hayo sura imepoza kama ftari yamagimbi tumbo huko tumakalio tumechongoka kama vile tumebandikwa uturuki alafu mnapimanisha nawolper angali mtoto kanyoka mrefu anambambamba nyooooo
Huyu Richi ndiyo kaolewa manake anbuluzwa tu yeye toka shuguli ianze hatujaoona familia yake wala kusikia wanajitambulisha mmm🫢haya yetu macho na masikio
Aaaah harus ya nand ilikua nzur Zaid hii kwanza imepoa hawa walichopendeza ni kuvaa tu kiheshima lkn lkn kwa upande wa sherehe imekua boad sana hlf bi Harus anaongea sana
Tuna uprof ktk kutathmini hii harusi imependeza sana kwanza ameifanya kiheshima hakuweka makashkash ya ustaa amependa iwe harusi ya watu mana yeye nae ni mtu wa watu.