Тёмный

UTASHANGAA!! NYUMBA KUBWA AMBAYO HAINA GHARAMA YOYOTE| MABATI YAKE HAYAPAUKI JUANI 

Maximum Tv Online
Подписаться 454 тыс.
Просмотров 13 тыс.
50% 1

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 63   
@WemaMwinshehe
@WemaMwinshehe 6 месяцев назад
Nimependa kazi yako kaka
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 6 месяцев назад
Maa shaa Allah ❤❤ Nyumba nzuri
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 6 месяцев назад
Mmh mbona hiyo sehemu ina maji maji
@skolastikamoses63
@skolastikamoses63 6 месяцев назад
Uko vzr sana. Nyumba ni nzr mno
@ZuwenaSoni
@ZuwenaSoni 6 месяцев назад
Nyumba mzuri sana
@dalilaabdulkarim4458
@dalilaabdulkarim4458 5 месяцев назад
Mashallah zuri sana nyumba
@mariammariam5723
@mariammariam5723 5 месяцев назад
Mashaallah yani hii kama niliojenga mm hii raman
@mangofish9079
@mangofish9079 6 месяцев назад
Not good enough for business ilitakiwa uingie ndani uoneshe sio kuchungulia ktk madirisha
@maximumtvonline
@maximumtvonline 3 месяца назад
Kweli kabisa
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 Месяц назад
Nyumba nzuri sema eneo lina chemchem hapo
@khadijahali4837
@khadijahali4837 5 месяцев назад
Hongera
@AmAlialaa
@AmAlialaa 6 месяцев назад
Kazi.nzuri.jee.hapo.imegarimu.milioni.ngapi
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 5 месяцев назад
nenda inbox kisha utaelewa
@SaidyAllyAbdallah
@SaidyAllyAbdallah Месяц назад
Ndo alitakiwa atuambie sasa yeye ana sema mjengo wa ghalama nafuu
@mgenimoosa5252
@mgenimoosa5252 6 месяцев назад
Jee ikiwa nataka kujegewa lkn Zanzibar inawezekana?
@seifseifmohamed7118
@seifseifmohamed7118 6 месяцев назад
Suala zuri sana tunataka tujue
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 5 месяцев назад
Kwa Zanzibar sidhani kama bei itakuwa ivyoo Zanzibar bei za vitu ziko juuu
@mmake30
@mmake30 6 месяцев назад
bati ni g ngapi? na ni kampuni gani?
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 5 месяцев назад
Iloo eneo sio Zuri linakaa maji, ila kazi zako nzuri
@marrymchaki9025
@marrymchaki9025 День назад
Umetumia bando ngap
@reginaldmakene5987
@reginaldmakene5987 6 месяцев назад
Umemuuza mbona shimo la maji taka limejaa maji,? Umempeleka bondeni ahangaike na mafuriko huyo
@seifseifmohamed7118
@seifseifmohamed7118 6 месяцев назад
Ni sehemu ya swampy maji tu
@Gamba81
@Gamba81 6 месяцев назад
Watanzania hamkosi cha kusema
@reginaldmakene5987
@reginaldmakene5987 6 месяцев назад
@@Gamba81 kwani huna macho, hilo shimo maji yamejaa kutoka wapi kama si eneo lenye chem hem.
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 5 месяцев назад
angalia tar napia huu ni msimu wa mvua dar kunanyesha mvua balaa ivyo usiropoke tuu chunguza kwanza hakiki maneno yako kisha useme....amemuuza we ndo umemnunua au acha wivu utazeeka kabla ya siku zako
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 5 месяцев назад
​@@Gamba81hilo apo juu akili halina wivu unataka kumuua nyumba nzur hayapongezi yanaponda
@shabanidunda5390
@shabanidunda5390 2 месяца назад
Umetumiwa shilingi ngapi ?
@issajumaali4009
@issajumaali4009 5 месяцев назад
Hiyo nyumba gharama zake zikoje hadi hapo?
@MelinaMpanduji
@MelinaMpanduji 5 месяцев назад
Unapatikana wapi
@al-mamarial-mamari5457
@al-mamarial-mamari5457 6 месяцев назад
Zanzibar jee utajenga
@LidyaAdof
@LidyaAdof 6 месяцев назад
naomba namba yako kaka nmependa kaz yk
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 5 месяцев назад
mpendwa namba inaonekana hapo kwenye video chukua
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 месяцев назад
Umemuingiza Mkenge
@AminaHasan-n6l
@AminaHasan-n6l 6 месяцев назад
Kaka mbona husemagi bei gani jamani . Uweunatoa na bajeti
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 5 месяцев назад
nenda inbox kma unania watafute
@estakapufi7582
@estakapufi7582 6 месяцев назад
Mhuu zahili apo shimo mtalifunika na hayo maji, hii sehemu nisehemu ya maji kusema laukweli apo sijuwi kama msingi chini hauko imala maji yatatafuna matofali
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 5 месяцев назад
dar saivi mvua nyingi
@luluwabinthamed2860
@luluwabinthamed2860 5 месяцев назад
Sema ukweli uwe na hofu ya mongu kaka yangu
@JrNsummy-xk8xe
@JrNsummy-xk8xe 5 месяцев назад
Makisio bei gani kama hiyo?
@selemanimushi6575
@selemanimushi6575 5 месяцев назад
usisahau kutuambia hapo kuna bwawa la kufuga samaki pia 🤣🤣
@cobraff7943
@cobraff7943 5 месяцев назад
Vipi ikiwa unataka kujengewa zanzibar unawezekana
@maximumtvonline
@maximumtvonline 3 месяца назад
Nakujengea popote boss ww tu
@MariamLucas-p2r
@MariamLucas-p2r 6 месяцев назад
Naomba namba yako Kaz yako nimeipenda
@omanoman2044
@omanoman2044 6 месяцев назад
Kataja namba et ten naomba namba eeh mtihan
@zainab8251
@zainab8251 6 месяцев назад
😂😂😂
@omanoman2044
@omanoman2044 6 месяцев назад
@@zainab8251 unacheka mwezie anaomba namba watuy hawajitambui hata kidog
@Dafetty
@Dafetty 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@fanni-ck6do
@fanni-ck6do 5 месяцев назад
gharama ya kupauwa kama hivo bati mbao bei yake
@aminasalum-yh4fh
@aminasalum-yh4fh 5 месяцев назад
TUAMBIENI NA BEI ZAKE
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 6 месяцев назад
Mimi nahitaji uniambie kwanza nahitaji kiwanja
@mohdnasser3620
@mohdnasser3620 5 месяцев назад
😅Hiyo ni mwanzo ukiteleza kidogo atapigwa na kitu kizito
@imeldastephano9221
@imeldastephano9221 5 месяцев назад
Tumpe maua yake jamani, kumbuka ndg wanaliza
@queenqueen-en1ds
@queenqueen-en1ds 5 месяцев назад
Vipi hali je hujambo no yako ni ipi ilinikupate
@mohdnasser3620
@mohdnasser3620 5 месяцев назад
Kwa wa tz usiamini hata kidogo vp apewe million 7 ajenge nyumba ya million 15 ..huyo ni muongo hapo ukiteleza kidogo tu umekwisha eti kila kitu anajenga bure
@KhadijaManyika-d1o
@KhadijaManyika-d1o 5 месяцев назад
Hiyo pesa katolea mfano tu sikiliza kwa makini usikoment km hujui
@MerryRenatus-ck4lz
@MerryRenatus-ck4lz День назад
Tapeli huyu
@mohdnasser3620
@mohdnasser3620 5 месяцев назад
Niliisha pigwa na kitu kizito kichwani
@josephbureta5952
@josephbureta5952 5 месяцев назад
Hapo kaz anayo panajama ziwa la mpunga
@mohdnasser3620
@mohdnasser3620 5 месяцев назад
usiamini mtanzania yoyote hata akiwa ni Malaika ukijuwa katoka tz basi usimuamini
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 5 месяцев назад
Kwanini
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 5 месяцев назад
Mbon bwawan
@dicksonelisa867
@dicksonelisa867 5 месяцев назад
Kweli kwa hadithi hio msimamamizi wa jengo haruhusiwi kuingia ndani anachungulia kwa dirisha poleni mnao mnao jichanganya
Далее
다리찢기 고인물⁉️😱 Leg Splits Challenge
00:37
ujenzi unaendelea wa bei nafuuu
2:45
Просмотров 10 тыс.