angalia tar napia huu ni msimu wa mvua dar kunanyesha mvua balaa ivyo usiropoke tuu chunguza kwanza hakiki maneno yako kisha useme....amemuuza we ndo umemnunua au acha wivu utazeeka kabla ya siku zako
Mhuu zahili apo shimo mtalifunika na hayo maji, hii sehemu nisehemu ya maji kusema laukweli apo sijuwi kama msingi chini hauko imala maji yatatafuna matofali
Kwa wa tz usiamini hata kidogo vp apewe million 7 ajenge nyumba ya million 15 ..huyo ni muongo hapo ukiteleza kidogo tu umekwisha eti kila kitu anajenga bure