Kazi nzuri sasa kwa kuwa wewe ndio umesimamia ujenzi mwanzo mwisho twambie garama yaiyo nyumba mpaka iko hivyo ili ututamanishe tujipange ili mtu aone kumbe nikiwa kiwango hiki ntapata nyumba
Uwe una fafanua hatua kwa hatua na gharama zote za hatua kwa hatua,,.Sasa unatuambia ukiwa na kiasi kadhaa mara kiasi kadhaa. Sasa tutajuaje bei ya vifaa vya ujenzi Kwa Sasa kama huweki wazi,, Nadhan utakua mpigaji wa chinichini kama mafundi wengine wahuni
Zahir Kuna mdada ulixha wahi kumuoji kile kipind Cha mwanzo kabsa akawa anasema ametupiwa jini na alikua anaxhndwa kutembea vzur tunaeza mpata Kwa kweli manake video zake umefuta naitaji kumsaidia