Duuu mtoto mmoja na Yule mwingine jamn uwiii jamn turuke tuanagike tufunge ndoa Hawa watoto WA nje ya ndoa Sio mtoto acha msubilie ndoa ndio nitotoe haya mayai
We nae kwani Karen ni mtoto wa ndani ya Ndoa???Gadner hakupata mtoto kwenye ndoa hata Karen ni wa nie ya ndoa, huyo mtoto ilikua ni kiki tu hata Karen alisema hamtambui, eti mtoto wa nje ya ndoa sio mtoto looh mtoto ni mtoto
@@LeeLian95marehemu na mama ake Karen walifunga ndoa japokuwa walimzaa Karen kabla ya ndoa. Nilishuhudia sendoff na harusi ilifungwa Tanga kwa wazazi wake Gardner lakini sikuhudhulia nilisikitika sana walipoachana.
Nashangaa Gadner alisema ana mabinti wa 2 sa mmoja huyo yuko wp jmn sijamwona tokea msiba utokee wkt anasema ana mabinti wawil kutw na namwona madam Careen tu
@@estermwakatundu3028Jaydee alifunga nae ndoa gani? Ya serikali? Nilishuhudia ndoa yake na mama careen ya kanisani, Lutheran church huko Tanga wakati careen akiwa mchanga, mmmmh. Tulifanya sendoff Kimara, Galax hall miaka hiyo
hawa watu maarufu sijui wanamatatizo gani katika kuwa na watoto,mbona wasifu unamapungufu mengi sana alizaliwa wapi sasa?taaluma zake alizipata wapi mwaka gani?
Sio wengi wanapenda kutoa full details, hata mimi nimesema sitaki historia yoooote as if unadaiwa. Na tamaduni hii sijui umeipata wapi. Niko Ulaya nimehudhulia misiba mingi ya wazungu hawana haya mambo hata kufungua sanduku kuuaga mwili ni kitu gani hicho 😭😭😭😭