Тёмный

MTANZANIA MWENZANGU ALIVYOSABABISHA NIFUNGWE JELA ULAYA | SAFARI YA UKIMBIZI WENGI WALIFIA NJIANI 

Official Dating Assistance
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 109 тыс.
50% 1

Safari ya maisha ya Jasmin kutoka Tanzania na kuhitaji kuingia Ulaya kutafuta maisha
Alipata mchongo wa safari ili akifika Ulaya aweze kujilipua lakini mambo yalienda ndivyo sivyo na kuishia kua Deported akiwa ametua tu Ufaransa hata nje ya airport hajatoka.
Na alipoingia Ulaya mara ya pili basi aliishia kuingia Jela nchini Ugiriki ambako alikaa huko kwa muda wa miezi sita.
Mtanzania mwenzie alimuingiza mkenge na kumsababishia matatizo makubwa kwa kumuibia passport yake.
Lakini hakukata tamaa aliamua kutafuta mbinu za kumtoa Ugiriki ili afike Ujerumani na hivyo alianza michakato ya safari za ukumbizi ambayo haikua rahisi na ilikua na changamoto nyingi na kuishia kukaa jela tena katika nchi ya Albania na Macedonia
Kwasasa anaishi Ujerumani na anafanya kazi huko.
Thank you Jasmin for allowing this to be online
www.oda.international

Опубликовано:

 

13 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 892   
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 4 месяца назад
Nimepitia comment zote za hii interview ya dada jasmine huyu dada simjui ila mambo aliyo pitia yamenipa funzo kubwa mnoo💐 mimi nimpenzi Sana wa hizi content za dada shena na anafanya kazi nzuri Sana Nampa 💐nikagundua Kuna mtu hayupo Sawa kiakili mana Ana comment matusi mnoo anaitaji msaada wa daktari na mungu, jomn sisi tupo humu kujifunza na kuenjoy nasio kuleta chuki humu kama unachuki zako malizaneni huko huko dada wawatu anaweka mda wake na nguvu zake kuakikisha tunajifunza mambo mazuri so tuliheshimu hilo wapendwa📌
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 4 месяца назад
Ql
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt 4 месяца назад
Nikweli kama kuna mtu anatukana coments hizi, ni mpumbavu yeye mwenyewe. Nami nafurahia dada huyu anapowapata na wanatuelimisha mengi.
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 4 месяца назад
Sana dear
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 3 месяца назад
Imergin, yani yanasemwa na roho mbaya zao na bado waona comments mbovu bado
@ginahilary5689
@ginahilary5689 3 месяца назад
😢
@MrSmile255
@MrSmile255 4 месяца назад
Nime fatilia kwanzia mwanzo pole sana Dada Jasmine ila ni kwel nime jifunza kitu Asanteh sana Mungu akubariki
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 месяца назад
Weeeee waafrika kwa ujumla,ogopa,ukiwa nje bora ujitegemee otherwise utaambulia patupu.. Watanzania weeee, roho mbaya ajabu,na inaskitisha sana
@amourmtungo623
@amourmtungo623 4 месяца назад
Asanteni kwa kushea stori zenu, sauti yako imefanana na Saida Karoli😂.
@graceandrew3988
@graceandrew3988 4 месяца назад
Hii ya look like nayo kali ndo naisikia leo,Pole sana my dada..ila una Mungu wako aisee,umenifundisha kitu,kwenye maisha hakuna kukata tamaa.Big up kipenzi.
@bintibaibe1958
@bintibaibe1958 4 месяца назад
This is the best interview I have ever listened from you,, km hujajifunza basi huna lakujifunza ni safari ngumu sn
@dkmhamilawa
@dkmhamilawa 4 месяца назад
Pole saana
@sophiarwehumbiza209
@sophiarwehumbiza209 4 месяца назад
pole sana Dada Jasmin nimejifunza ila hata mimi namuogopa mwanadamu
@mohdnasser3620
@mohdnasser3620 3 месяца назад
Pole sana
@lucaslyaruu8244
@lucaslyaruu8244 4 месяца назад
Nampa pole nyingi sana binti Yasmin kwa yote aliyopitia. Pia nampongeza kwa ujasiri wake wa kutokata tamaa. *Amewashinda hata wanaume wengi waliojaribu kwenda nje bila mafanikio.❤❤🎉*
@abasshajj2727
@abasshajj2727 4 месяца назад
Pole sana dada Jasmin, kwa mitihani ulopitia na hongera sana kwa kutimiza ndoto zako za kufika ulaya much love ❤️. Na hongera sana dada Shena, kwa kazi nzuri unayoifanya kwa kutuletea wageni wetu ili tupate madini ya kutosha. Much love❤. Asante sana 🙏
@ednaJF1028
@ednaJF1028 4 месяца назад
Da Shana muache amtage ndo asiendelee kuwalangai wengine please
@user-st4rb5oj2c
@user-st4rb5oj2c 4 месяца назад
Jamani nimewahi pitia mahojiano lakini hii ya Mwanakaragwe mwenzangu,imeniuma muno but imenipa mengi ya kujifunza. Ahsante Shena kwa hizi interview.
@MwalimuShauri
@MwalimuShauri 4 месяца назад
Pole sana dada Jasmin. Asante kwa kutuelimisha kupitia maisha yako, kwakweli dunia ina mambo.
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 4 месяца назад
Harafu ukipendeza watu wanaumia Hawajui umetokea wapi pole mnoooo na hongera umehasoo na umependeza sana na rangi yako ❤❤❤❤❤❤
@AshaKaijage
@AshaKaijage Месяц назад
Nimeipenda
@allyfutto8763
@allyfutto8763 3 месяца назад
Poleyake dadayetu ameteseka sana mungu amlimde zaidi na ampe maisha marefu.
@homeandaway2811
@homeandaway2811 4 месяца назад
Asilimia 99.9 ya WATANZANIA wa Ughaibuni ni wa kuogopa kama ugonjwa wa UKOMA.Mwenye masikio na asikie..Pole sana Jasmine.
@upendogreutert199
@upendogreutert199 4 месяца назад
Ni kuwa makini sana kwa kweli
@dorahisinika7576
@dorahisinika7576 4 месяца назад
Yaani wana roho mbaya kuliko hata shetani mwenyewe😢 wivu sasaaa
@dayana5513story
@dayana5513story 4 месяца назад
Sanaaaaaa
@homeandaway2811
@homeandaway2811 4 месяца назад
​​@upendogreutert199Nilionywa sikusikia,yakanikuta makubwa, NIMEKOMA KABISA, nami nikaonya wengine hawakunisikia yamewakuta mazito.
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 4 месяца назад
Umeongea ukweli kabisa, Huwa Mimi nawaona na mwisho salamu TU ,sitaki mazoez Wala namba zao ,ni kutafuta shida TU, MUNGU atusaidie
@barakamazigo4840
@barakamazigo4840 4 месяца назад
Duuu pole Xn dada yangu kwer unahaki y ku enjoy maixha yako Hii interview ndo namba 1
@MiriamCheche
@MiriamCheche 2 месяца назад
Asante dada Jasmine Mungu akuongoze ktk maisha yako,Mungu akutunze na uzidi kumuomba zaidi na zaidi,mpende sana Mungu na ukatoe sadaka kila unapoona inafaa na atakujazi zaidi,wasaidie wengine wafanikiwe
@blessedaggie9159
@blessedaggie9159 4 месяца назад
Mimi nasemaga siku zote, hakuna sehemu kama nyumbani Africa. Africa kuna maisha mazuri mno, chakula, social life. Mi nitarudi tu nyumbani siku moja. Wanaotaka kuja waje tu wajionee, lakini kabla hujaja make sure una kitu cha kufanya, kama ni shule au kazi.
@naumikabila5880
@naumikabila5880 4 месяца назад
Mimi nikimuambua mtu narudi nyumbani anashangaa sema watu wanaamini maisha ya ulaya ndo mazuri
@blessedaggie9159
@blessedaggie9159 4 месяца назад
@@naumikabila5880 hawaamini kabisa wanaona kama unawabania
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 3 месяца назад
Watanzania wengi wanajua ulaya ndo maisha yapo lkn yanaweza kuwa yapo ila sio rahisi kama unavyofikiria
@mediization
@mediization 3 месяца назад
Hongera jasmine ni mpambanaji mzuri sana
@Winstonfying
@Winstonfying 2 месяца назад
Pole sana Ma’ sista yaani story imeniumiza sana, kuna watanzania wenye Roho za kutu, mapito yako hayakuwa mepesi, umepambana sana 👏mawasiliano kama hutojali!
@pricemlay
@pricemlay 4 месяца назад
Funzo kubwa sana .Hakuna kukata tamaa🎉Una nguvu kubwa ya uvumilivu
@vickysteven1172
@vickysteven1172 4 месяца назад
Yes
@alicealen3495
@alicealen3495 4 месяца назад
Huyo kaka aliyekuibia passport na fedha ungemtaja jina ili usaidie watu wengine waepuke utapeli wake, sababu inaonekana anaumiza watu wengi 😢😢 aisee inasikitisha
@tedysimon5400
@tedysimon5400 3 месяца назад
Hakuna kukataa tamaaa
@deboramsuya2940
@deboramsuya2940 4 месяца назад
Jamaniiii pole sanaa dada Jasmine Story yako imenigusa lkn wewe ni mwanamke shujaaa. Hongera sanaa
@LavinaJoseph-ei2tv
@LavinaJoseph-ei2tv 3 месяца назад
Pole Yasmin binadamu mbaya hata hapa nyumbani ni wengi na wengine ni ndugu tuwe makini sana
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 3 месяца назад
Nipo Uturuk kitu nilichojifunza maisha sio rahisi popote duniani ila popote pazur km Mungu akikuchagua uish vizuri
@wariobamussa2462
@wariobamussa2462 4 месяца назад
Hongera kwa Dada Jasmine umevipiga vita na umeshinda.. huyo aliyekuibia hela na passport. Mungu atakulipia.....BIG up Shena what a beautiful, educational and emotional interview
@RebecaRebby
@RebecaRebby 3 месяца назад
MUNGU wa mbinguni nimehuzunika na kujifunza pia pole sana Dada Jasmine, ahsante Shena kwa hii interview hii
@user-dl1ju4ge3x
@user-dl1ju4ge3x 4 месяца назад
Kati ya interview nilizowahi kuzisikiliza hii imenipa funzo kubwa, hongera Shena kwa kutuletea watu hawa
@agnesndemanyisho5291
@agnesndemanyisho5291 4 месяца назад
The best interview I have listen from this channel
@anniafredrick8925
@anniafredrick8925 4 месяца назад
Kila siku naangalia vipindi vyako lakini hiki kimeniumiza sana, aaah pole sana dada Jasmine
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 4 месяца назад
Shukrani
@hamidajay776
@hamidajay776 4 месяца назад
Shukran ya nini wewe Malaya muunza tigo tigo
@marrypius576
@marrypius576 4 месяца назад
​@@hamidajay776wew mbon matusi tena 😂😂
@yeslord2276
@yeslord2276 4 месяца назад
@hamidajay776 mbona unamtukana dada wa watu? au we n moja wa watu uliomtapeli dada wa watu, acha ujinga
@hamidajay776
@hamidajay776 4 месяца назад
Huyo dada muongo sana haseme ukweli
@Jeff_Tz
@Jeff_Tz 4 месяца назад
Dada Shenah, Mgeni wetu wa leo Dada Jasmine story yake ni BAAABKUBWA na inasikitisha sana na ina mafunzo mengi mnooo. Much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
@azaransari7307
@azaransari7307 4 месяца назад
Best interview ever! Big up Shena
@josephifanda5626
@josephifanda5626 3 месяца назад
Dada shena,katika interview ulizowahi kufanya this is the best
@annatemu4488
@annatemu4488 4 месяца назад
Kiukweli huyo mpenzi wake alikua ni Destiny helper wake kabisa
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 4 месяца назад
Guardian angel
@JorynSamuel
@JorynSamuel 3 месяца назад
Kweli
@neemafyumagwa7913
@neemafyumagwa7913 4 месяца назад
Ogopa sana kukutana na Mtanzania ulaya afu ukawa unashida unataka akusidie. Hutopata msaada na wanaroho mbaya Sana .
@sadiqfixer
@sadiqfixer 4 месяца назад
Asante sana da Shena na da Yasmin, nimesoma mengi sana hapa ktk hii interview
@BibianTz
@BibianTz 4 месяца назад
Leo nimekaa chini kwakutulia nikasikiliza mwanzo mwisho na 😢 sana hii story inamengi yakujifunza shukuran sana Sheina kwa haya madarasa. Pole sana kwa Dada etu.
@CuteDon-ek9rb
@CuteDon-ek9rb 4 месяца назад
Woow shena Leo ndo umependeza kuliko siku zooooote ❤mwah mwah mwah 💋❤️💋❤️
@Urembomilele_
@Urembomilele_ 4 месяца назад
Uongo😅😅
@user-mr7gl5ox6u
@user-mr7gl5ox6u 4 месяца назад
​@@Urembomilele_😂😂😂😂😂😅😅 jaman kapendeza bhn
@Urembomilele_
@Urembomilele_ 4 месяца назад
😂😂😂kasitirika
@superwomanmwenyeheri.1367
@superwomanmwenyeheri.1367 3 месяца назад
Mwenyenzi Mungu nisaidie na mimi,nisiaibikie bidii zangu na ujasiri wangu ktk kujituma haijalishi napitia mangap,uso wako Mungu uwe na mimi niweze kufikia hatma ya ndoto zangu. Mungu bariki wanawake wote! Wapambanaji.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
Amen amen 🙏
@sauda4505
@sauda4505 3 месяца назад
Amin
@asmakhamis6508
@asmakhamis6508 2 месяца назад
Ameen
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv Месяц назад
Amina
@hildajoel5
@hildajoel5 4 месяца назад
Kuna mtu US aliniambia hayo mambo ya nursing au security ila namshukuru huyu dada nimeelewa vizuri. Ila wabongo nyoko🙌🙌🙌
@chalemofaraji8797
@chalemofaraji8797 4 месяца назад
Huyo dada NI kahaba alikuwa anajiuza patision usiku hapa Athens NI anafanya jamii uwezi kupata boarding pass bila ya passport NI muongo sana
@homeandaway2811
@homeandaway2811 4 месяца назад
​@@chalemofaraji8797 Kajiuze nawewe kama unaona donge, wivu tu unakusumbua
@brendajulius2995
@brendajulius2995 4 месяца назад
​@@chalemofaraji8797mlikuwa mwajiuza wote??? Hebu dadavua
@sekikigosi8265
@sekikigosi8265 4 месяца назад
Kwahiyo unataka kusemaje acha roho mbaya km alijiuza ni yy wewe inakuuma nini hakuna mtu anapenda kujiuza ni shida ilimpata labda akafikia huko sasa ulitaka atuambie alijiuza acha ujinga ww kiroboto.
@chalemofaraji8797
@chalemofaraji8797 4 месяца назад
@@sekikigosi8265 si Malaya mwenzio ndio maana unamuunga mkono huyo NI Malaya kama wewe
@dollymogosi6899
@dollymogosi6899 Месяц назад
Pole sana dada Jasmin kwa safari ngumu sana ya maisha. Nafurahi Mungu alikuwa nawe kukuongoza katika mapito haya. Ni kweli kuna wanadamu ni wabaya sana inabidi uwe makini sana kuchagua mtu wa kumweleza undani wako. Wengine ni watu wema kbs sio Watanzania wote ni wabaya ila uwe makini sana.
@dayana5513story
@dayana5513story 4 месяца назад
WanaKarangwe sis umetuwakilisha vyema pole kwayote uliyopitia ilikua ni daraja ili sisi tupate experience,hongera sana kwakweli umepambana,God bless you ❤❤
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 4 месяца назад
Wakola
@dayana5513story
@dayana5513story 4 месяца назад
@@Jassmin-media-official ❤️❤️
@Ashreystar8465
@Ashreystar8465 4 месяца назад
Hongera sana dada jasmin,kwa hatua uliyofikia nimejifunza kitu kikunwa kwako ❤❤❤❤
@gracekakwezi8941
@gracekakwezi8941 4 месяца назад
Hongera sana 🎉🎉🎉🎉🎉 Sheina ubarikiwa Sana Jasimie hongera sana kipenzi kwa kupambana Mimi nakupa .🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@samiramilky7946
@samiramilky7946 3 месяца назад
Pole sana safari ilikua ngumu lakini tu akuombea maisha ya furaha na afya mzuri. Mungu akupe shifa yaraab 🤲pole dada itawafunza wengi sana!
@elizabethmakaranga218
@elizabethmakaranga218 4 месяца назад
Pole sana mungu ktk ya changamoto huwa anatwalia utukufu ,maana kwake mungu hakuna linaloshindikana yote yanawezekana aminaaaa
@kenty101
@kenty101 4 месяца назад
This was so refreshing to watch.. sad.. but very informative..as well.. something cute about how she talks.. she is so funny...😂😂I love love her.. pole Sana m so happy you are okay now.. thank you for sharing your story with us..
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 4 месяца назад
Glad you enjoyed it!
@atuamohamed9664
@atuamohamed9664 3 месяца назад
Ni kweli maisha hata katika nchi zetu za Africa nimazuri kuliko ulaya mtoto wangu unasema ukweli
@salehkhamis3000
@salehkhamis3000 4 месяца назад
Mie nawashauri ndugu zangu Watz mnaosafiri kuweni makin na Watz mnaokutana nao nje ya inchi wengi wao Wana tamaa mtu badala ya kukusaidia anakuzidishia matatizo kw tamaa ya pesa ndogo tu na kukuharibia maish yako yote.
@user-hg9xh8es1o
@user-hg9xh8es1o 4 месяца назад
Duh pole sana Jasmine, hongera kwa ujasiri.
@zainabkazige7388
@zainabkazige7388 4 месяца назад
Very nice story ina mafunzo mengi sana.. pole sana kwa changamoto ulizozipitia
@gracecolyvas392
@gracecolyvas392 4 месяца назад
Dada kwa kweli, Mungu akubariki sana,kweli mpambanaji sana unatupa shule asante,dada asante sana kwa kutuletea hawa wa dada
@rahmajaffar7007
@rahmajaffar7007 4 месяца назад
story yako ni nzuri tumeenjoy kusikiliza inafanana na movie itaitwa the swimmers pole sanaaa kwa changamotoo ulizopitiaaa lakini Mungu ni mwema kakuvusha koteee
@franklinbernard4367
@franklinbernard4367 4 месяца назад
Ni kweli😢 tena hiyo movie nimeiangalia wiki iliyopita tu
@rahmajaffar7007
@rahmajaffar7007 4 месяца назад
yaani kujilipua ni kujitoa muhanga haswaaa @@franklinbernard4367
@jovovichmedia9424
@jovovichmedia9424 4 месяца назад
Wabongo bana
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 4 месяца назад
Pole sana Jasmine! Allah akuhifadhi muda wote.
@peninamisungwi1564
@peninamisungwi1564 3 месяца назад
Duniani kuna mapito kweli kweli, hongera sana da Jasmin umesimamia malengo yako na Mungu kakuwezesha; thumbs up Shena.
@NananaCoolCool
@NananaCoolCool 4 месяца назад
Hii RU-vid channel is the best!! Just discovered it but I can't stop watching!
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 4 месяца назад
Thank you dear, share to other people wa enjoy na kujifunza pia Karibu sana 🥰
@flavianakanga4726
@flavianakanga4726 4 месяца назад
Dada pole sana kwa yaliyokupata.There is light at the end of the tunnel and i believe you light.
@MwajumaIddy-nk1gn
@MwajumaIddy-nk1gn 4 месяца назад
Jmn dada maomba no ya uyo dada please
@armstrong_007
@armstrong_007 4 месяца назад
@@OfficialDatingAssistance YOU ARE VERY BEAUTIFUL GORGEOUS LADY OF EAST AFRICA AND CENTRAL AFRICA
@MsMasola
@MsMasola 3 месяца назад
For sure hata mimi nimeipenda sana hii channel kuna mengi ya kujifunza. Watu wanapitia sana mambo magumu. Pole na hongera kwa dada kwa yote uliyoyapitia hata dhahabu lazima ipite kwenye moto ili iwe safi. Mungu azidi kukupigania na usiache kumshukuru kila wakati.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 4 месяца назад
USIJALI MAMBO MAZURI MAJARIBU NIMAKUBWA SANA.
@Winifridainturkey
@Winifridainturkey 4 месяца назад
UGIRIKI NI UTURUKI ILIYOCHANGAMKA CHANGAMOTO, NATURE YA KAZI NA MALIPO, UPATIKANAJI WA MAKAZI YAANI WALE WATU NI WATURUKI TYPICALLY 😢 POLE NDUGU YETU KWA CHANGAMOTO NA HONGERA KWA UZIMA BAADA YA CHANGAMOTO ZOTE
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 4 месяца назад
Yani tunajifunza kila siku 🥰
@brigitajohn8102
@brigitajohn8102 4 месяца назад
Dada jasmin hongera sana 🎉 wewe ni mwanamke jasiri love from italy
@zainabwage4658
@zainabwage4658 4 месяца назад
Kuna meng tunajifunza kupitia hii chanel mungu akubarik dada endelea kutupa vitu vzr zaid
@masekebabere3282
@masekebabere3282 4 месяца назад
Best interview ever dear Shena
@mariamsouleymane2121
@mariamsouleymane2121 3 месяца назад
Pole sanaa Dada Jasmim kwa yote iliyo pitia dhu Allah azidi kukuhifadh.na ongera sana Da shenah kwa kazi nzuri Allah akuhifadh na akubariki
@wizardmobile5493
@wizardmobile5493 4 месяца назад
Maashaallah sheina umependezaje hijab inakupendezesha Ramadan Kareem
@fatumakalunga2852
@fatumakalunga2852 4 месяца назад
Pole sana dada jasmin kwamatatizo uliyo yapata, ila Mungu amekuwa msada mkubwa kwako.
@mwanaharabu82
@mwanaharabu82 4 месяца назад
Pole sana Jasmine kwa uliyopitia, Mungu yu mwema sana. Alhamdulillah 🤲🏽
@user-fh7wu8vx1y
@user-fh7wu8vx1y 4 месяца назад
Ma shaallah shena endelea kujistri hivohivo
@sindiswanombulelomvene7951
@sindiswanombulelomvene7951 4 месяца назад
Oh Jasmine dada yangu so proud of you. You are a strong, beautiful person .
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 4 месяца назад
My sister from day one look where we are now 😍
@SophiaAthumani-ri4lu
@SophiaAthumani-ri4lu 4 месяца назад
Pole sana ndugu story yako ni ushuhuda wa kutosha natamani uandike kitabu cha kusimulia historia yako na wengine tujifunze zaidi
@user-wf2np4ch6l
@user-wf2np4ch6l 4 месяца назад
Story tamu chungu jamn mdadakapambana kiumee kafanya utalii mgumu bila kupenda. Daaaaah mungu asimame naye kwa kweli.
@INMYKITCHENJIKONIMWANGU
@INMYKITCHENJIKONIMWANGU 4 месяца назад
Nimekupeeeendaaaa bure. Unaongea kiswahili vizuri hata hujifanyifanyi umesahau lugha. Nimefall in love na lafudhi yako
@vanessamshana4144
@vanessamshana4144 4 месяца назад
God is great .hongera dada jasmine
@Urembomilele_
@Urembomilele_ 4 месяца назад
Wakenya wengi wanajidaia wanatujua watanzania sana wakati si kweli
@annamussa185
@annamussa185 4 месяца назад
Yani wanakiherehere Cha Hali ya juu 4G kiherehere siwapendi jamani wanajifanya wanarujuwa wakati hawajawahi hata kukanyaga Tz wanaisikia tu nyau hao
@naturelle1097
@naturelle1097 4 месяца назад
Mtu mmoja anaweza wachafulia nchi nzima jina.
@janetmwikali5477
@janetmwikali5477 3 месяца назад
​@@annamussa185yaani umeongea kama mjinga kweli
@SalumSadallah
@SalumSadallah 3 месяца назад
Pole sana Jasmin mungu akuongoze Kwa Kila jambo jema mbele Yako .
@mabulamasunga7378
@mabulamasunga7378 4 месяца назад
Hongera sana dada umepambana sana. Mwanamke wa shoka.
@asiamohamedy2643
@asiamohamedy2643 3 месяца назад
Dada assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh umependeza wallah VAZI la stara watu hupendeza
@praxedaandrewkato7472
@praxedaandrewkato7472 4 месяца назад
Official your interview always good may god bless you 🙏
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 4 месяца назад
Thank you 🙏 Amen 🙏
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 4 месяца назад
Pole Dada Jasmin mimi niliingia kwakuolewa
@ashikfidahusein8189
@ashikfidahusein8189 3 месяца назад
Pole sana tena Sana bibi jasmin baada ya dhiki ni faraja
@EstellaSebastiaoAntonioJ-fh2qg
@EstellaSebastiaoAntonioJ-fh2qg 4 месяца назад
Ooooh!. Pole Dada Jasmin. History yako imenifundisha kitujamani daaah!.
@user-rq9yg7sp3z
@user-rq9yg7sp3z 4 месяца назад
I love your channel queen ❤❤❤❤
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 4 месяца назад
Thank you 🙏
@rahaburahabucreophace9783
@rahaburahabucreophace9783 3 месяца назад
Plz nisaidie no ya jasmine
@user-gy6xz5xh3f
@user-gy6xz5xh3f 3 месяца назад
Pole Sana Dadangu Yasmin Nimejifunza Mengi Sana Kwa Story Zko Nakutakia Good Live Maisha Yko
@user-ig1ds2eq4d
@user-ig1ds2eq4d 3 месяца назад
All in All never give up in Life❤❤❤ Thank you for sharing Dear😊
@marymwasaru7983
@marymwasaru7983 4 месяца назад
One of the most outsanding interview. True story. It is work that gives money. Education is empowerment to whatever work you do.Pole Sana Jasmine.
@joelirunde2823
@joelirunde2823 4 месяца назад
Umenipa experience nzuri sana ya Greece naenda mwezi 5 Athens. Lakini kwa mkutano wa kidini. Lakini kutakua na tour za Thessaloniki na Macedonia
@alexandriamwanga2717
@alexandriamwanga2717 3 месяца назад
Mwenye masikio na asikie. Dada amenena, Mungu ambariki na wanaoelewa hii lugha nao wasikie. Mungu akubariki Dada, umepitia mengi na uendelee kubarikiwa.
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 4 месяца назад
Hongera sana pia pole sana
@OlyUpowerfuljesus
@OlyUpowerfuljesus 4 месяца назад
Busy enjoying to listen to my Nyambo accent ❤ weza mpola bhambe😢
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 3 месяца назад
Pole Sana mkabila mwenzangu kwa changamoto uliyo pitia hakika mungu amtupi mja wake 🙏🙏🙏
@mitawilliam264
@mitawilliam264 4 месяца назад
An awesome and touching jasmine story.
@sweetbertalbogust7112
@sweetbertalbogust7112 3 месяца назад
Unajua kitu kilicho kubeba, wewe ni mtu mwemma, kwa kuwa Mungu anajua ya rohoni ndiye aliye kuokoa ktk harakati zote. Hongera sana
@jacquelinelukambuzi5085
@jacquelinelukambuzi5085 4 месяца назад
We dada Mungu anatupenda Sanaa Pole sana kwa yote uliyopitia ila Nina Imani itafika mbali Sanaa we ni mwanamke jasiri
@muthekimutheki
@muthekimutheki 2 месяца назад
Dada asante kwa kutupatia hii story yani umetufungua macho sana dear. Mungu akuangazie, Vile vile Alieyechukua pass yako, 😊Mungu amlaani, Mungu amunyime amani kabisa..Yani kuna watu wanaroho mbaya.
@restyrose1574
@restyrose1574 4 месяца назад
Nimempenda Sana huyu dada jamani
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 4 месяца назад
Pole sana dada binadamu kazi sana
@user-kr8ye8cj7b
@user-kr8ye8cj7b 4 месяца назад
Dah really painful my sister pole sana jamani nawapata kutoka south Africa 🙏
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 месяца назад
Asante Sana dada kwamada yaleo ninzuri Sana tumejifunza vitu vingi vizur Sana
@user-vs5cv6ox9w
@user-vs5cv6ox9w 2 месяца назад
Pole sana ndugu yangu nimependa maongezi yako na ukweli wako hongera sana
@giboncebarnabas9667
@giboncebarnabas9667 4 месяца назад
Hii interview ni nzuri sana. Tunajifunza mengi sana kupitia channel hii. Keep it up Sister
@mamaabduly
@mamaabduly 4 месяца назад
DADA JASMIN ZAIDI YA MWANAJESHI.... MUNGU AENDELEEE KUKUPIGANIA
@dn.n4983
@dn.n4983 4 месяца назад
Hii masikitiko sana na chakujifunza kuwa mbali watu wa nchi yako ni wivu sana ukiona mtu anamaendeleo na ndoa bado hipo hangaiki nacwatanzania so sad.
@allyfutto8763
@allyfutto8763 3 месяца назад
mashaAllah huyu Dada Jasmin ni kichwa sana Mungu ni mwema sana.
Далее
MY WIFE LEFT ME WITHOUT NOTICE- PK KARITEI
1:19:01
Просмотров 42 тыс.
Копия iPhone с WildBerries
01:00
Просмотров 283 тыс.