Mze wa Belton missour Nakuuliza Ukiwa una Green card ya DV na ukitaka uraia hio miaka mitano usitoke nje ya nchi au unaweza kutoka na ukaingia Km kawa na ukapata PS ya USA
Ahsante na samahani kwa kukusumbua na swali kuhusu ds 260. Ni kuhusu swala la watoto je wanataka kujua ni watoto wangapi kwa ujumla hata na wale ambao umri wao ni wa juu ya miaka 21, nawajumulisha hapo? Ahsante.
ASANTE NA POLE NA MAJUKUMU. EBM MIMI NAITWA DERICK NIMEKUTAFUTA SANA NINA ISSUE PRIVATE KIDOGO NILIHITAJI KUONGEA NAWEWE ILA NIMEKUTUMIA UJUMBE KWENYE EMAIL LAKINI SIJAPATA MAJIBU NAOMBA UNIPE NAMNA NTAONGEA NAWEWE BABA 🙏
Mambo vipi kaka EBM ninaomba kuuliza swali,Ikiwa mtu ana miaka mi5 ya ndoa na amepata green card je hapo hatapaswa kusubiria miaka miwli ili aombe uraia? au atapaswa asubirie tena miaka miwili ndio aombe uraia?