How to Claim Your Free Consultation: YOU MUST RESIDE IN THE USA 1. Visit our dedicated page: ebmscholars.com/finance/ 2. Fill out the form with your details to schedule your consultation. 3. Sit back and relax - a financial expert will reach out to you to arrange your free session Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/
EBM nazipenda sana darasa zako.Kitu kimoja hujaelezea vizuri.Ukiwa transiti khaswa kama unakwenda USA wafanyakazi wa uhamiaji ya usa ndio wanaangalia tiketi,pasipoti,mizigo na umebeba kiasi gani cha pesa. Ukisafiri vaa vizuri Sio ndara na soksi bokta na t-shirt.Mavazi ndio heshima yako.
Sehem sahihi ya kupandia ndege ni Rwanda 🇷🇼 au South Africa, ila hizi Nchi zingine Zina mashaka saana ktk Air port zao , Kenya , Uganda na Tanzania yanayotokea pale air port ni aibu, Kuna siku jamaa ananiomba rushwa kisa mizigo mingi 😂😂😂 nikamuuliza mizigo mingi? Au uzito mwingi? 😂😂 nikamwambia mizigo imejaa mitumbua na Chapati tu ikabid jamaa acheke tu
Yalinishanikuta pale Jk Nyerere Airport eti anasema hii viza mimi sijawahi kuiona akatuweka pembeni na familia nikamwambia unatuchelewesha tu utaturuhusu mwenyewe. Sahihi kabisa wengi ni roho mbaya na hawajui kitu.
Bro EBM daaa kiukwl unatusanua sana unajitajidi kila ck kutupa update nzuri km hizi maana watu wengine hivi vitu hatuvijuii kbsa ila mungu Akubariki sn
Kuna kitu umeongea hapa Bro EBM kwel maofficers wengi pale airport hawajasafir na si km wanashindwa ila utamadumi tu hatuna wa kusafir ko akiona mtu unasafiri wanakuletea roho mbaya tena haswa hawa wadada na wamama wanaongoza kw roho mbaya
Mimi lilinikuta hamsadam nkarudishwa unaenda wapi Spain kufanya nn sijui utafikia wapi sijui jamani ni kweli ila nilitaka kushuka spain alafu nchukue usafiri wa kutambaa hd Greece ndiko niendapo lkn nkawa sijakalili pindi nikifika kuulizwa ilikua bahati mbaya na ilikua trip ya pili kupanda ulaya
Yaaani hii imewai kunikita kwa yellow fever card kutoka rwanda 🇷🇼 kuingia tanzania via rusumo 😢 waliwai kuniambia hawaijui document yangu lazima ni nunue ya tanzania 😂
kuna watu wengi hata kwenye ukaguzi inakua shida ukianza na yeye acha baggage, viatu havieleweki ngua shida, mkanda ,saa kubwa ,ukivua mkanda suruali inadondoka🤣
Ebm..mm nilirudishwa Amsterdam kwa sababu ya mualiko wangu uliandikwa natakiwa kusafiri mwezi August 2023 lakini nikasafiri mwezi wa February 2024 wakapiga sim Canada na maswali kuhusu huo mwaliko na wakaniambia hawajaridhika na majibu..Jr nikisafiri tena kwa kutumia Conference je changamoto ya kwanza ninaweza kuipitia..?
Duuu vinaumaaaaa lad Sunday kijana alirudishwa Amsterdam na Alisha check inn cleared to boarding the flight…..what went wrong God knows ……hope alifanikiwa kwenda usa 🇺🇸
EBM naomba unisaidie kitu hivi baada ya kuomba B2 na kupata risiti na applicate confirmation Je appointment confirmation page inapatikana Vipi ili kuwenda nayo kwenye interview?
EBM anasema : Usiombe ukutane na Black American English akiongea halafu wew hujui chochote akiongea unakaa kimyaa unashangaa akicheka na wew unachekaaa 😂😂😂😆😆😆 dah nimechekaa mbavuu zangu