Princessa Oreo alipoambiwa ana uvimbe tumboni kwa mara ya kwanza, alichanganyikiwa kwa sababu hakuwahi kukutana na hali kama hiyo hapo awali.
Akiwa na umri wa miaka 35, aligundua kuwa ana uvimbe katika kizazi (Fibroid), na akaanza safari ya kutafuta matibabu.
Fibroids ni uvimbeusio na saratani ambao unaweza kuathiri afya ya wanawake.
#bbcswahili #wanawake #afya
subscribed kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
17 сен 2024