Тёмный

Unyanyasaji wa kingono kwa wanaume Burundi 

BBC News Swahili
Подписаться 619 тыс.
Просмотров 1,3 тыс.
50% 1

Andy Wilson Mberincuti ni kijana wa miaka 33 kutoka Burundi ambaye alipitia unyanyasaji wa kingono akiwa na umri wa miaka 11.
Alikuwa akifanyiwa unyanyasaji huo wa kingono na kijana jirani yake ambaye alikuwa akimlawiti kwa muda wa miaka mitafu mfululizo hali iliyomuathiri kisaikolojia.
Mwandishi wa BBC Cyriaque Muhawenayo amezungumza naye na kuandaa taarifa hii.
#bbcswahili #burundi #unyanyasajikingono
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2   
@IOSARBX
@IOSARBX 3 дня назад
BBC News Swahili, I subscribed!
@ELOGERUHIMBASA
@ELOGERUHIMBASA День назад
Bona Tanzania ndo inaongoza 😂
Далее
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
28:21
Просмотров 5 тыс.
Duniani Leo
29:56
Просмотров 2,8 тыс.
Jose Chameleone: Gwiji wa muziki Afrika Mashariki
2:59
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
28:10
Просмотров 7 тыс.