Tunamshukuru Mwenyenzi Mungu kwa ajili yako mtumishi, haya mafundisho yana nguvu sana na wengi hatukujua nguvu ya haya mafundisho ndo maana shetani amekua akitutesa, sasa tuna mstari wa kusimamia, jina la Bwana lihimidiwe milele na milele.
Nabarikiwa sana Kwa mahubiri yako pastor David. Kwa kweli Uarabuni hatuna church so nimepiga Kambi kwa Mahubiri TV.Asanteni sana Mungu awajaze zaidi mno
Bwana na aondoe dhana zote za kushindwa,kutofanikiwa ,kutoinuliwa,kutoendelea kiuchumi,kutookolewa kutokana na dhambi ambao tumezitenda akajenge mazingira ya ushindi ndani yetu ktk jina la Yesu naomba,Amina
😢 ki ukweli nasikilizaga mahubir ya wachungaji weng ila tangu nizaliwa cjawai muona mchungaji anayenigusa moyo wangu kama ww hakuna je ulishuswa tangu mbinguni ?? Maana ww co wakawaida amen
Pastor nimelia nilivyokuwa nikusikiliza kwenye hili somo,Mungu atusaidie sana Yesu aliwapenda wadhambi lakini leo sisi wanaadam tumekuwa wahukumu kwa kuwaona wenzetu wadhambi
God bless you pastor in a big way you just don't know how you have impacted me since you came to KITI camp meeting...This message was on point to boost our lives let God continue using you
Mch Mbaga,namtukuza Mungu daima kwa huduma yako,Mungu akutunze.Namshukru Mungu kwa ajili ya kisa cha baba yangu mdogo,nilichokitamaani kukiona katika maisha yake anacho,namaanisha Imani katika kristo.Utukufu kwa Mungu wetu milele na milele.
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kweli nimefunguka nilikua napitia mawazo mabaya nikawa naji hukumu sana niliposikiliza tu nimefunguka na nimeelewa Mungu na Roho Mtakatifu aendelee kukupa maarifa zaidi watu waweze kufunguka
Am blessed to listen to the words of God. I believe that my sins are forgiven and I will go to heaven when Jesus Christ will come for the second time 🙏
Mungu wangu Unirehemu, kupitiya somo hili kweli limenigu. lakini mchungaji naomba msaada wa Ombi kwa maisha yangu sababu kuhusu maneno haya siwewe unaye zungumuza ila kuna yule anazungumuza ndani yako . somo limenifariji lakini mara tena limenihukumu kwa matendo yangu maovi ni msikilizaji kutoka hapa Drc Congo
Niombee Pastor nilikaa kwa ndoa sumbuvu mpaka nkaacha kukula meza ya BWANA imani ikarudi nyuma,nikawa na shida kubwa sana but mwishowe nikazidi kumwomba MUNGU nkatoka kwa ile ndoa juu bwana alikuwa akinitesa sana na watoto na nilipotoka hivi BWANA YESU akanifungulia mlango nikaprocess nkakuja Bahrain ambapo natafutia watoto na ukweli nimeona mkono wa Bwana huku niliko.Saa yule mwanamme ameona napata pesa ndo ananipembeleza na roho imekataa kabisa Pastor.Roho imekufa naye kabisa.Nifanyaje?nishauri tafadhaki Pastor.
Rudi kwenye maandiko ukazitafute zile njia ambazo Mwenyezi Mungu alizieleza kwa ajili ya kutalakiana,iwapo haupo kwenye fungu hilo basi ukitaka kumpendeza Bwana huna budi kusamehe na kuirudia ndoa yako. Shadrack karisa-mombasa kenya
Nashukuru kwa Neno kwa sababu mawazo mabaya na moyo kwenda mbio ilikuwa inanijia.But am healed but negative thoughts usually come to me.And I get angry often then later I regret.Your Word has touch me so much.I usually rebuke the devil by talking and tell God l love him.Thank you for your message.From Kenya.