Ubarikiwe na bwana PR mafundisho yauzima yananipa moyo hata nikiwa nimekosa amani nikisikia mafundisho haya huwa napata tumaini jipya maishani Mungu akubariki na akutende mema 🙏
Ninapenda sana kazi yako, tangu nmeanza kusikia mahubili yako yamenibadilisha sana ninamtukuza Mungu kwa namna anayokutumia kutusaidia, ubarikiwe pastor mbaga
Mchungaji wangu mungu akubariki sana unipa faraja kubwa ambayo sikuwai kuambiwa namtu yeyote yule kuanzia leo najitamkia ushindi bwana ndie muchungani wangu sita pungukiwa nachochote nijapo pita magumu kiasigani mungu wangu ataniokowa❤❤
Asifiwe YESU...Mtumishi...hii changamoto sijaliona ktk biblia...Mwanaume kusema uongo wa umri wake Hadi kufikia ndoa Hadi wazazi kumsaport..baada ya ndoa ndo inagundulika mwanamke ni mkubwa zaidi miaka 15...mwili wake ni mnene hata haujui ni mtoto...ni changamoto kubwa
Kuna wakati unakua na Imani kabisa na unaona mkono wa Mungu lkn unakarbia kuyaona matumain yanakuja gafra linatokea jambo ambalo linakuvunja vunja moyo unamuona kabisa Mungu amekaa pembeni kabisa je nifanye nn ikinipata na ukiangalia yesu mwenyewe alizdiwa msalabani had akalia je mimi ni nan?