Тёмный
No video :(

EXCLUSIVE: BILIONEA WA MPUNGA, MKULIMA ALIEITWA NA BILL GATE, GARI ZA KIFAHARI, JUMBA KIWANDA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 377 тыс.
50% 1

Leo naripoti kutokea Kiwandani Rapha Group Limeted hapa ni Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya, kuna watu wameweka pesa zao, akili, na kila kitu chao kwenye kilimo, nakukutanisha na Raphael Simon Ndelwa maarifa yake na maisha yake yeye ni Kilimo cha MPUNG na uzalishaji wa mchele yaani BILIONEA WA MPUNGA, Uwezo wake wa kukopesheka na BENKI NI BILIONI 3

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 648   
@petermuganda7322
@petermuganda7322 3 года назад
Kama unaamini jamaa nijembe nimfano wakuigwa like hapa
@mustaphahamis2787
@mustaphahamis2787 3 года назад
💯💯💯 nakukubali saana Rafa
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 2 месяца назад
Ongela Kazinzuri Kaka Kuuza Nnichi Zawenzetu Ukunyumbanikwenu Uwo Mchele Adi sikukuu Kwer Wa Tanzania Matumainiyameshalejea Unauzagari Unanunuwagari Niyagani
@mkwizoxsafarisadventures9750
@mkwizoxsafarisadventures9750 3 года назад
Huyu ndugu Raphael ni mzalendo halafu hapendi umaskini kivitendo...Mpaka kuwashika mikono wakulima wa kawaida kuwadhamini sio kitu rahisi kabisa... Mungu aweke hii spirit miongoni mwa vijana wa Tanzania pamoja na kwangu, ameeeni...💪
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 3 года назад
Vijana tuskate tamaa. Mungu niwetu chamsingi juhudi tu. Amen
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 3 года назад
Usilete story za Mungu kwenye mafanikio ya mtu, siri ya mafanikio huwa anayo Anaemiliki mali na watu msibeze elimu kwa kuona darasa la Saba kafanikiwa, akikuambia siri zake utakimbia. Usione mtu ana pesa ukatamani ukaanza kusema sijui na wewe unaweza kuwa hivyo, na sio kwamba vijana hawajishughulishi wanajitahidi Sana ili waondokane na umasikini ila ndo hivyo. Siri anaijua yeye wachache ndo wataelewa hii sms
@NTEMI-OBURUDANI
@NTEMI-OBURUDANI Год назад
Kijana unapotosha uma Mungu anasema fedha na sababu ni vyake anauma ameombae omeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni mtafunguliwa so kwenye mafanikio Mungu kwanza mengine mtaongezwa
@supervan3717
@supervan3717 3 года назад
Asanteni sana millardayo kwa kutupia jicho uyole kwenye kiwanda cha mhele kwa hakika kila aliepata nafasi ya kuangalia hii interview amejifunza jambo kubwa sana
@clemencejames7279
@clemencejames7279 3 года назад
Exellent
@ibrahimhumbotv
@ibrahimhumbotv 3 года назад
nimejifunza vitu vingi katika habari hii, thanx AYO TV , nawasihi vijana wezangu waisikilize hadi mwisho.
@deogratiaskambalile7729
@deogratiaskambalile7729 3 года назад
Nice motivation story
@josephmakau7322
@josephmakau7322 3 года назад
Wewe jamaa namimi nime msikia kaka
@bernadlydia296
@bernadlydia296 3 года назад
Mungu huwainua wanaomtegemea na kumuamini, vijana tuna jambo kubwa sana la kujifunza kupitia kwa huyo kaka, Mungu akubariki Ayo tv kwa kazi nzuri ya kutuonyesha fursa vijana wenzenu.
@emmanuelsanga7583
@emmanuelsanga7583 3 года назад
Hakika kuna habari unaweza ukaiona ukaamini kweli suala la habari ni taaruma na sio wanaodhani wakiingia kwakumweka modo wake furani wakati wanashindwa kufata masharti sheria taratibu na kanuni za taaruma ni dhahiri hakustahiri kuwa mwanahabari ninamakunyanzi moyoni mwangu juu ya wanahabari wanaoifarakanisha habari na wadau ila basi tu wameniita mlawiti muuaaji mara 2 mvamizi tena kwa vichwa vikuubwa vya habari iweje hapo
@richardmwandali7722
@richardmwandali7722 3 года назад
Nimerudia mala 3 kusikiliza iyo story big up Sana sir Raphael
@arthurmwabulambo1201
@arthurmwabulambo1201 3 года назад
Mungu anavichagua vinyonge kuviabisha vikubwa ili asiwepo wa kujivuna. Inapendeza Rafael anapomtukuza Mungu ktk mafanikio yake. Na kwa ajili hiyo Mungu pia amemkweza. Kila ajishushae atakwezwa na vice versa. Barikiwa ndugu umekuwa mfano rahisi na wazi kabisa kuelewa na mzuri mno kwa vijana wote ktk Taifa hili. Play your part it can be done. Hongera sana Rafa.
@nicholaskelion1180
@nicholaskelion1180 3 года назад
Mungu akutangulie Mkurugenzi,, mchango wako kwa Watanzania ni mkubwa, Mungu akupe zaidi ya hapo.
@gradientlife
@gradientlife 3 года назад
This is guy is genius, akili yake kubwa sana. Very inspiring. @Raphael Ndelwa Hongera sana
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 3 года назад
Mungu akubariki sana ndg. M.Ayo, wewe unatoa habari zinazoeleweka kwa anahitaji habari zenye mafundisho.
@fredrickallan5437
@fredrickallan5437 Год назад
Safi sana mtanzania mwenzetu kwa mapambano mazuri, Mungu aendelee kukutunza na kusimama imara katika kampuni yako,ufike mbali zaidi ya hapo ulipo.
@hamidjuma2357
@hamidjuma2357 3 года назад
Pia kasema kweli tupu kwamba ukitaka kufika mbali jenga uaminifu ujanja ujanja haukufikishi mbali very true
@dorcasseruhere6875
@dorcasseruhere6875 3 года назад
Mingu akubariki na watu wako wote. Kama una watoto wasomeshe kwa kiwango cha juu. Nakupongeza Unaweza na Mungu awe nawe. Amina
@peterbillas9131
@peterbillas9131 Год назад
Jamaa nimemkubali saana na mungu na wazee wetu wambariki lakini akae mbali na bill na ma gmo hawa matajiri wa ulaya hawana lolote ni mashetani wanataka kukontro mazao duniani na kufanya biashara na nchi za nje ni tishio kwao mimi nakaa sauzi na mchele huku ni mbovu tunakula maplaastiki sizani kama watapenda kuona mchele mzuri hivi ni vita vyakiuchumi
@saidifadhil7397
@saidifadhil7397 3 года назад
Asante Ayo kwa kutuletea huyu jamaa ,nimejufunza sana mungu aendelee kuwapa nguvu ya kutuletea stori zenye mafunzo kama hii.
@edwardemmanuel5552
@edwardemmanuel5552 3 года назад
Miladi Ayo habari zenu si kitoto hongereni sana
@Guled3
@Guled3 2 года назад
I like the attitude of this billionare for acknowledgement of Almighty Allah in his success.
@user-ux6eq4co6i
@user-ux6eq4co6i 3 года назад
Ongera sana nimefurai sana kumuona mtanzania km ulivyo wewe mungu akubariki mim niko oman naipenda sana tanzania mungu aibariki tanzania
@h.rukuba7464
@h.rukuba7464 3 года назад
Jamaaaa liko vizuri hongera Raphael serekali wasupport yeni Hawa jamaaa watusaidia tu create ajira mungu akubariki
@Regan_
@Regan_ 3 года назад
Interview bora zaidi ambayo nimewahi kuitazama. Mungu katika kila sentensi huyu mtu amebarikiwa sana.
@Donrugi
@Donrugi 3 года назад
WOW NAJIKUTA NAFURAHI KAMA NI MIMI VILE. Hongera sana kwake wacha na sisi tupambane 🙏🏽
@hamisinjuga8573
@hamisinjuga8573 3 года назад
Dar jamaa namkubali sana napenda sana maendeleo Ila vizingiti vya wanadamu aisee wewe unapambana peke yako wao wanapambana na wewe aisee watu bwana
@prettyh7509
@prettyh7509 3 года назад
Mashallah nami nimeelimika kufanya kaz kwa bidii na kumtanguliza Muumba
@Maggie-yx8pw
@Maggie-yx8pw 3 года назад
Big up Kaka Raphael ukimtanguliza Mungu hakika hakutupi Mkono.
@evelyneokwiri6344
@evelyneokwiri6344 Год назад
I read his story 2yrs ago. He is a hard working man with humanity in him
@michaelmakaranga5877
@michaelmakaranga5877 Год назад
Nimefarijika sana🙏🙏🙏 Mungu Ahsante Kwa zawadi ya watu kama Hawa dunian
@rajabmartojr3302
@rajabmartojr3302 3 года назад
Respect broo Millard ayo And much more respect to mr Rafa group
@khadijaally3742
@khadijaally3742 2 года назад
Ayo we ni insperation ya kwanz then uncle mchele ur the best
@JamesKalisa-ht5xm
@JamesKalisa-ht5xm 4 месяца назад
Nimekuelewa kaka
@hassanhusseinally9805
@hassanhusseinally9805 3 года назад
Masha Allah ukimueka mungu mbele kila kitu kinawezekana insha Allah keep it up Mr Rafael
@alikhamis6326
@alikhamis6326 3 года назад
Brother nimependa jinsi unavyojieleza vzr hongera kaka na ss tutajifunza kupitia jitihada zako mungu awe pamoja na ww pia nimependa kaka jinsi unavyotembea majendo yako
@TijoMediaCom
@TijoMediaCom 3 года назад
Mzee ukishakuwa na hela hakunaga kutetemeka, tutafute pesa tuu yaan
@adophndelwa4885
@adophndelwa4885 3 года назад
Big up professor keep grinding you deserve god will do the rest
@alex_james8244
@alex_james8244 3 года назад
very good entrepreneur, you are smart in talking....inspirational man ever happened 2021
@Papaahansmo
@Papaahansmo Год назад
Naomba namba zako Raphael tufanye biashara ya mchele
@agreyaloyce432
@agreyaloyce432 3 года назад
I love that kila sentence Mungu yupo kwenye kichwa chake
@wafulatom104
@wafulatom104 2 года назад
Even me iam amazed at the way he begins with God in every thing. Nashukuru saana from Uganda
@christianchando7041
@christianchando7041 3 года назад
Kweli nimeamini Akili si elimu. Huyu jamaa anajua kujieleza, anajibu maswali yote vizuri
@maalimjaffar5563
@maalimjaffar5563 3 года назад
Kweli usemavyo,,, kwasababu wasomi wengi wanatumia ufundi wa kupanga maneno matamu,lkn wenyewe wanakua na malengo yao ya siri,huyu jamaa anaongea kwa uwazi na kwaushahidi,,,hadanganyi.
@kawawamamaya8543
@kawawamamaya8543 3 года назад
Na sio msomi imagine
@fundamengo7970
@fundamengo7970 3 года назад
Sema shule sio akili lakini elimu ni Bora tofauti ni elimu ya aina gani elimu ya wazazi ni Bora Sana
@yusufumajinge59
@yusufumajinge59 3 года назад
Sasa ndiyo ujue busara na elimu ni vitu viwili tofauti kabisa.
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 года назад
Ukiwa na pesa lakizima uwe na confidence
@benjaminsamwel5059
@benjaminsamwel5059 3 года назад
Mimi mtu wa uyole tunakua na tunaona mafanikio yako hongera sana unatumotivate
@charlesrongo3615
@charlesrongo3615 3 года назад
Mungu akubariki niliwahi nunua kwako mchele n mzuri good package mchele mzuri safi ur my role modal
@severinmbanza4950
@severinmbanza4950 Год назад
Kuna kitu nimekinukuu kwa Raphael, ni ukiamka sa mbili au sa tatu huwez kufanikiwa kwenye haya maisha kamwe❤
@africaendlesscruising
@africaendlesscruising 3 года назад
Huyu kijana hata kama ameishia Darasa la Saba kwa sasa ana elimu ya kiwango cha digrii ya Chuo Kikuu katika biashara na uongozi. Hata anavyoongea kwa kujiamini na ufasaha ni wazi biashara anaijua vilivyo. Hongera sana Bw Rafaeli...!!
@immanuelkalleshi6153
@immanuelkalleshi6153 3 года назад
Mungu akupe nguvu zaidi na maarifa Na zaidi mm nimekuwa pamoja na ww kaka nimeona hekima na busara zako.Mungu akupe zaidi afya na hekima.
@getrudeambilinyi4505
@getrudeambilinyi4505 3 года назад
Hongera sana mjomba wangu namuomba Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi
@kavishe2009
@kavishe2009 3 года назад
Nimeshangaa sana jinsi ulivyo na uwezo mkubwa wa kujieleza kuliko Profesa wa chuo kikuu.
@kawawamamaya8543
@kawawamamaya8543 3 года назад
Daaah 😁
@marylyimo7546
@marylyimo7546 3 года назад
Hongera sana Raphar unaonekana hunamajivuno umejibu maswali vizuri sana, MUNGU akulinde na watu wenyenia mbaya.
@juhudijotham6741
@juhudijotham6741 3 года назад
Big up Sana Mr Ndelwa ,pambana ufikie ndoto yako, Mungu akupe ulinzi Hakika.
@farijanibakari9018
@farijanibakari9018 2 года назад
Safi sana
@wafulatom104
@wafulatom104 2 года назад
Iam so inspired by this determined person to uplift mtu wa chini
@mwlpierre
@mwlpierre 3 года назад
What an Excellent patriotic investor!
@filomenambilinyi5471
@filomenambilinyi5471 3 года назад
Hongera sana ndelwa ubarikiwe na yesu mpaka ushangae.
@gracerossiejohnny9887
@gracerossiejohnny9887 3 года назад
Mungu amlinde jmn...maana ukitafuta shida..ukikaa bure shida...mungu akulinde
@abochejuniorhutingwa223
@abochejuniorhutingwa223 3 года назад
Hongera sana kk Raphael Mungu akufanyie sawasawa na maombi yako
@dannywiston6391
@dannywiston6391 3 года назад
Namjua jamaa yuko simple Sana na roho nzuri Sana, kazini kwake kajenga mpaka sehemu ya ibada
@marylubuv8202
@marylubuv8202 3 года назад
Kumbe aseeeeh ndo mana anabarikiwa
@hellenmawere9284
@hellenmawere9284 Год назад
Hakikaa amejua kumtafuta Mungu Kwa bidii zote. Nimejifunza kikubwa mno Leo.🙏 imebarikiwa mikono isiyotenda Kwa ulegevu + na juhudi + unyenyekevu. Mungu atusaidie sana asee.
@rubebandihai6207
@rubebandihai6207 3 года назад
Kazi nzuri, lakini Bill Gate siyo mtu wa kuamini. Msiweke GMO tafadhali🙏🏽
@josaphatlukwaro2378
@josaphatlukwaro2378 5 месяцев назад
GMO Ninini ndugu
@magrethelisha5460
@magrethelisha5460 3 года назад
Anatembea vizuri 😊 hongera sana Kaka👍
@hellenmroso6786
@hellenmroso6786 3 года назад
Mwendo wa pesa 😆😆😆
@aminakasim1198
@aminakasim1198 28 дней назад
Aseee mwendo wa tajir😂😂😂😂
@oliverkyando9897
@oliverkyando9897 3 года назад
Kweli umetoka mbali sana ,Tena unaroho ya huruma ulikuwa unatugawia hata sisi wakiwango cha chini unatupatia debe moja tunadunduliza maisha yanaenda, Ndio maana Mungu hajakuacha
@SHUFEJOGROUP
@SHUFEJOGROUP 2 года назад
Hongera sana Mr Raphael, mungu akujaalie zaid kuna kitu nimejifunza kwako.
@kdpretoria780
@kdpretoria780 3 года назад
Ni matajiri wachache wanaoamini kuwa si huwezo wao bali ni uwepo wa Mungu katika kutenda miujiza wengi huamini ni uwezo wao ila huyu kamuweka sana mbele Mungu am proud of him.
@agnesndetaramo7209
@agnesndetaramo7209 3 года назад
Nipo botswana kaka nakula Mchele wa Raphael kazi nzuri Sana nimejifunza mnoo kupitia huyu kaka Raphael
@yusuphadmin1005
@yusuphadmin1005 3 года назад
😂😂😂 ya kwer hayoooooo
@yusuphadmin1005
@yusuphadmin1005 3 года назад
mmmh wewe😂😂
@otmarmkali8883
@otmarmkali8883 3 года назад
Maelezo yamenyooka ila huyo muhindi kaku push sn. Hongera
@leverimlaki5667
@leverimlaki5667 3 года назад
Safi sana ndugu. Wewe ni mfano wa kuigwa katika biashara
@amosicronery7730
@amosicronery7730 Год назад
Shukrani sana, nimemwelewa sana Rafael Group
@agnessmkoma1761
@agnessmkoma1761 3 года назад
Mr. Raphael.... uko smart akilini..... very smart... yaan unaongea vizur we baba.... uko na furaha wakati wote, unaongea kwa sauti ya ujasiri Sana......nimetambua juhudi zako baba...... endelea na safari, Mungu akawe kiongoz wako
@inomaxsemu7765
@inomaxsemu7765 3 года назад
Hizi ndio habari tunazoziitaji sio zile za nani kamshika tako nani... Binafsi amenipa motisha sanaa kama kijana, na kilichonifurahisha anaamini nguvu ya juhudi.. Big up sanaa
@amaniomballa1855
@amaniomballa1855 3 года назад
Marafki sometimes wanakuwa Ni zaidi ya Ndugu Ni vema kumuheshimu kila mtu..ktk haya maishaa..
@yusufumajinge59
@yusufumajinge59 3 года назад
Busara na elimu ni vitu viwili tofauti kabisa.
@jamsonkanyiki6038
@jamsonkanyiki6038 3 года назад
Big up. big boss. salute kwako pamoja na watendaji wako wote. Kazi iendelee
@maleojoseph5272
@maleojoseph5272 3 года назад
Am sorry to say this..but Bw Rafael ana ukakamavu, uzalendo, maono ,na msisitizo chanya kama ya Rais Magufuli
@kennethngoleka517
@kennethngoleka517 3 года назад
Hongera sana brother nimeona kuna kitu nilichojifunza hapo inatakiwa kufanya kazi kwa bidii,ushirikishaji,na maarifa makubwa na bila kushindwa changamoto ni moja ya kujifunza,hongera bro.
@godfreymsendo5812
@godfreymsendo5812 Год назад
Nimependa sana jinsi anavyomtanguliza MUNGU Kwa Kila jambo lake..... Am inspired to him
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 Год назад
Hongera sana. Mungu Azidi Kukutangulia. Umewafungua Vijana Macho. Hongera Ayo.
@jameskitheka5702
@jameskitheka5702 3 года назад
Millard Ayo uwa namkubali..much love from Kenya
@consoafrica1350
@consoafrica1350 3 года назад
Such an inspiration🍾🍾
@RaymondMahundi
@RaymondMahundi 10 месяцев назад
Raphael brother keep going..naufaham moyo wako wewe ni mtu napo sema mtu na maanisha.hongera brother 🙏🙏
@amanimaeda6304
@amanimaeda6304 3 года назад
Salute to you Brother.
@amanibonus3141
@amanibonus3141 3 года назад
Big up Bro RGL u inspired us and me personally matamanio yetu sku moja tuwe ka we and Millard Ayo Isack.M twakushukru pia kwa good news naiman one day to see u na tuhojiwe ivi Mungu atujalie ...katka hili
@khadeejaalmahri6217
@khadeejaalmahri6217 3 года назад
Big up kaka umejibu vizuri swali LA sangoma kama ulivyosema ukweli wavivu hawakosi sababu Mara watasema kafanikiwa sababu ya sangoma Mara watadai hela ya kukopa ilimradi hamshushe mtu
@JamalJamal-ol5js
@JamalJamal-ol5js 3 года назад
best interview 2021
@agustinocharles2650
@agustinocharles2650 3 года назад
Brother God bless you
@anselmokidaboma9328
@anselmokidaboma9328 3 года назад
The guy is Soo Bright, kweli subira yavuta heri.Tz inahitaji watu Kama hawa 2 kila mkoa Tz itakuwa imenoga mno
@fadhilahussein3581
@fadhilahussein3581 3 года назад
Mungu akitaka Kupa hakuletey barua
@getrudewillson308
@getrudewillson308 3 года назад
Kiukweli kaanza viizuli namuombea kwa MUNGU wetu amalize vizuli zaidi nami naomba kazi.
@alexedward7709
@alexedward7709 3 года назад
Umeeleweka vizuri. Asante sana.
@luganomwaigomole8849
@luganomwaigomole8849 3 года назад
Nimekubali Sana brother.. nimejifunza mengi kaka.. TANZANIA FUNGUKA...
@paulmhando2661
@paulmhando2661 3 года назад
Kwa kweli mimi nimefurahishwa sana na huyu Kaka, Mungu akubariki na kukuongezea Hekima kaka Raphael. Unagusa maisha ya watu wengi sana. Ni mnyenyekevu na una maono makubwa. Mungu akujalie uhai na afya njema ili uyafikie. Hizi ndio interview vijana tunahitaji. Ahsante sana timu nzima ya Ayo TV.
@jetridakyekaka8117
@jetridakyekaka8117 Год назад
Nimevutiwa sana na Billionaire Raphael, hakika wewe ni mtu ambaye Mungu alikuinua kwa kusudi maalum kama alivyomuinua Musa ili awatoe wana wa ISRAEL utumwani.Mungu ameziona juhudi zako za kuwasaidia wakulima wadogo. MUNGU akuinue zaidi na zaidi ili hatimaye ndoto zako za kuwa Billionaire Mkubwa wa Kimataifa zifikiwe.
@judithvicenty3410
@judithvicenty3410 4 месяца назад
Hongera mno Ndugu
@selekiwande64
@selekiwande64 3 года назад
Mwamba anachokitu cha ziada ndio kimemfikisha alipo Kitu uaminifu kujiamni, na Ana nyota yakupendwa kuaminiw kujituma na anandoto kubwa pia anamoyo wakusaidia wengine na ndiomaana anazid kupata baraka za mungu
@fideahyera2599
@fideahyera2599 2 года назад
Hongera Sana. Nimependa namna unaongea. Nimejifunza Mambo mengi
@juliussaibulujuliussaibulu5740
@juliussaibulujuliussaibulu5740 3 года назад
Maisha ni bidii ya mtu big up sana brother kwa bidii yako.
@katigeneralenterprises2348
@katigeneralenterprises2348 3 года назад
Rapher group yuko vizuri sana hasahasa kwenye mahusiano (lugha)na wakulima na wafanyabiashara wa mazao wote anastahili kupewa zaidi na zaidi kwani ni msaada kwa wengi ukifika ofisini kwake huwezi amini ni milioner
@abedysteven5397
@abedysteven5397 3 года назад
Ubarkiwe brother
@happyfoya546
@happyfoya546 3 года назад
I'm very inspired for sure I wanna be a bilionea
@chekakids
@chekakids 3 года назад
I am enjoying it!!! Loving this video, Thanks for the great videos! I like❤️❤️❤️!!!
@monicaluziro1288
@monicaluziro1288 5 месяцев назад
Nimejifunza kitu hapa, kwamba boss wetu amesafiri. Yaani wafanyakazi wote mnakua sawa kabisa kama ni vumbi vumbi juingia kazini wa kwanza kutoka wa mwisho.
@kanglade1049
@kanglade1049 3 года назад
Am inspired for this Salute
@goodluckfelix6501
@goodluckfelix6501 3 года назад
Safii sana am inspired one day YES
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc 3 года назад
An inspiration guy 👍
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 3 года назад
True
@alextercisio5477
@alextercisio5477 3 года назад
Wow cograts heko kwako bundah ...cheers from kenya
@johnmwakipesile9046
@johnmwakipesile9046 3 года назад
Hongera sana My Big Boss umetufungulia milango vijana wako wa Raphael Group nasi tunatembea vifua Mbele
@eliastephen2776
@eliastephen2776 3 года назад
Mchele mnauzaje kwa gunia la kilo 100?
@johnmwakipesile9046
@johnmwakipesile9046 3 года назад
@@eliastephen2776 grade 1 @1750 kwa kilo 1 na grade 2 @ 1350 kwa kilo
@husseinmambo6739
@husseinmambo6739 3 года назад
Na grade unaijuaje
@johnmwakipesile9046
@johnmwakipesile9046 3 года назад
@@husseinmambo6739 kutokana na package grade 1 tumeiweka kwenye mfuko wenye nembo na grade 2 ipo kawaida haina nembo
@user-jh8sb9ms8w
@user-jh8sb9ms8w 2 месяца назад
​@@johnmwakipesile9046Naomba namba yako ya Sim nikuulize kuhusu mchele 🙏
@fatmakombo7584
@fatmakombo7584 3 года назад
Mungu aibariki Tanzania mungu mlinde mamma yetu raisi wetu nä shari za kila kitu Kaka mungu azidi kukubariki kwani unaitanzania tanzania kwa kuwasaidia vijana
@jhonchege7258
@jhonchege7258 3 года назад
Mungu ni mwema wakati wote 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 года назад
Wow brilliant
@justokweka2340
@justokweka2340 3 года назад
Mr Rapha uko powa Sana bro daaaah nimejifunza Mengi Sana
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 года назад
Hivi ndio vitu vya kuweka kwenye Chanel sasa
@gipsonmmehwa1637
@gipsonmmehwa1637 3 года назад
NMERUDIA KUSIKILIZA MARA 3,HABARI IMENITIA MOYO SANA KATIKA MAPAMBANO YANGU
@buye5436
@buye5436 3 года назад
Anamwamini Mungu and that's good.
@ariceandshinelivearse5359
@ariceandshinelivearse5359 3 года назад
Mungu akuinue
@godfreyndelwa
@godfreyndelwa 3 года назад
All the best
@danielamosi2553
@danielamosi2553 3 года назад
Mafanikio hayahusiani na elimu..hongera sana wasomi wengi wanayo njaa wape mchele wakale
@davidmwita9472
@davidmwita9472 3 года назад
nikweli unachosema ila dunia inabadilika enzi hizo sw lakini sasahivi sizani
@coletashirima2193
@coletashirima2193 3 года назад
Hahah
@isikesamike
@isikesamike 3 года назад
😂😂😂😂
@josephineasende9140
@josephineasende9140 3 года назад
😂😂😂😂
Далее
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36