Apo bd hajamfata mungu angekuwa muislam ndoo angempta mungu wa kweli lkn siii apa katika ukirsto bd san trna bd sana asilim kama kweli yy anamtaka mungu
Cha kwanza kabisa ni kuokoka...pili akae kwenye mafundisho sahihi ya imani...kubatizwa kujazwa Roho Mtakatifu. Kuishi maisha ya ushuhuda safi ya kumpendeza Mungu. Hiyo story yake katokewa tu na vibwengo
Hehe hehe hehee😂😂😂😂 Ata mimi naotaga sana ivo... Matapeli wapo kazini, KUNALIPA HUKO 😂😂😂😂 Mnhhhhhhhhhhhhhhhhh.... Director Uwoya Kaamua kutengeneza MOVIE ya mwaka....
Yani kila leo nyinyi mungu wenu uko busy kutafuta watu wakuongea nawo walete ujumbe kwa Tz ama kenya mbona usiwe umetumilizwa kwa ulimwingu ama hizo inchi zengine hakuna kwa kristo ama atamtuma mwengine huko kwa wazungu ww ni wa Africa tuu 😂😂😂
Yani wakristo😢mmenishinda tabia,nilikua namkubali JPM lkn nikifikiria ni mkristo nachoka kabisa,😢mtu mwenye akili kama JPM anakuaje mkristo 😢pole cnania ya kuwatukana lkn mnawezaje kuamini mambo ya uongo kiasi hicho,kwanini hamtaki kusoma mjue ukweli japo kwenye hivyohivyo vitabu vyenu?maana hata humo upo ukweli na mmeandikiwa kiswahili ni kusoma tuy
Kama hana kanisa hao wafuasi anawapeleka wapi. Hata Mtume alibiwa na mkewe awaambie watu ndoto aliyoota ni Mungu amemtokea au hujui chanzo cha Mtume Mohamed alivyoanza utume wake?
Wanapenda sana kurukia imani za wengine😂,yaani hata hayajishtukiagi yani. Alafu wakiambiwa proud to be wakishalawitiana kwenye madrasa wanakua wakalii@@MsAggie5
Kwanini watu wa kristo wanapenda kuwa matapeli kwa kutumia jina la mungu ati ameskia sauti ya mungu ya ni kweli na we mtangazaji ukachukua mdaa uje kutueleza huwo urongo na upuzi mungu upi huyo anapeana no za simu jamani 😂😂😂
alicho mfanyia ndikumana nukukubwa mno nafsi inamtesa ndio mana kaamua kuokoka..watu wengi wanaokokq baada ya kupata matatizo..hivihivi niuongo...asitupange.
MAKAFIRI KWA KUTUNGA STORY WAMENISHINDA 😂😂😂 SASA UTENGENEZE STORY NDEFU YOTE YA NIN WOYA SI USEME TU NIMEAMUA KUJENGA KANISA LANGU NIPIGE PESA ZA WAJINGA 😂😂😂 TOSHA ILA STORY NDEFU ILI HALI UWAINGIZE MKENGE KIRAISI 😂😂😂 WAJINGA
Chunguza mzee we unaamini din yko tu ulowekewa mipak kutojua mengne ili km kpotea upotee vzr.kua makini mzee.unawez kupitwa n vitu muhim san kweny maisha yko .sabbu y mipak ulojiwekea.dunia pana san
Allah alileta mitume. Na utume hakuna tena. Kama Allah alitaka utume uendelee asingesema Nabii ISSA atarudi. Angekutuma iren uwoya tuu. Allah hakuongea direct na mitume wewe nani aongee na wewe direct