Igandu, msagali na gulwe fanyeni utaratibu wa kusafirisha abiria kwa mabasi kwa treni haito wezekana mvua nzina nyesha maji ni mengi sana yamehalibu miundombinu ya reli
Ndugu yetu Kadogosa anataka tumwamini na kitu kikubwa kama SGR na wakati haya ya mkoloni yanamshinda ...ikiwapendeza endeleeni nae ila msitegemee maajabu uko mbeleni...hawa watu hawana jinsi ...wanatumia huu usafiri basi tu iweje