Тёмный
No video :(

EXCLUSIVE: UKWELI KUHUSU DARAJA LA MITI LA MILIONI 31 MOROGORO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 199 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 613   
@alkasusjaasus7015
@alkasusjaasus7015 3 года назад
Ukiona video Millard kaivalia njuga mwenyewe ujuwe ni video yenye umuhinu sana. Heko bro kwa kazi nzuri 👏👏👏
@husnahassan2124
@husnahassan2124 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 года назад
Kiukweli anajituma sana,Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi
@jokhasalum6845
@jokhasalum6845 3 года назад
@@m.mmarckus6298 Aaamin
@noelamtesigwa6819
@noelamtesigwa6819 3 года назад
Kabisaa
@mabletandawili4128
@mabletandawili4128 3 года назад
Hatari Sana
@chedielimrutu6955
@chedielimrutu6955 3 года назад
Magogo nlifanya naye kazi ni kijana mchapakazi na mwaminifu. Hapo nmepata Mhandisi. Hongera sana Magogo watu hawaamini Ila hapo umefanya kazi nzuri.
@shabanimagogo502
@shabanimagogo502 3 года назад
Kaka yangu huyo nimchapakazi sana
@richardmpanduji4798
@richardmpanduji4798 3 года назад
@@shabanimagogo502 😂😂😂😂
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 года назад
@@shabanimagogo502 Mungu awasimamie!
@e47fardy44
@e47fardy44 3 года назад
Tuliokuja kwajr ya Millard ayo tujuane
@youngsimba6798
@youngsimba6798 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-DxNfiRPVLw0.html 👆💥💥💥💥💥💥💥👆
@leskarmeikok8956
@leskarmeikok8956 3 года назад
Engnea suka kichanja weka nguzo acha janja janja
@idrixalumany5902
@idrixalumany5902 3 года назад
🔥🔥🔥🔥
@tulimlawa8608
@tulimlawa8608 3 года назад
Tupo,h habari zake ni uhakika
@ombenifataeli7589
@ombenifataeli7589 3 года назад
Tuko wengi
@martinemasunga5802
@martinemasunga5802 3 года назад
Huyu jamaaa yuko vizuri saaana,wanao mkandia hawajawahi ishi morogoro hususani ukanda huoo ambao drj limejengwa tuongee ss tulio wahi kuishi uko..mhandisi uko vizuri mnoooo
@bayekefarijala5042
@bayekefarijala5042 3 года назад
Hongera Hilo daraja ni zuri sana, na gharama ni Sawa Kabisa m31, ni pesa mdogo Sana Kwa kupata mbao hizo
@favorite9134
@favorite9134 3 года назад
Millard ayo hongera sana 🙌 tunaosoma comments uku tunaskiliza tujuane apa kwa like
@ailethmtungi5868
@ailethmtungi5868 3 года назад
Kitu pekee nachofunzaga kwa millardayo kwenye mafanikio yake ni discipline tu..goodluck millardayo
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy 3 года назад
Millard ayo, uko juu. Hivi ndivyo waandishi inabidi wawe. Kutoa sintofahamu kimahesabu na kisayansi kwa kuongea na wahusika wenyewe.
@elizabethelikana7640
@elizabethelikana7640 3 года назад
Kazi nzuri, du linatisha kwa watembea kwa miguu hususani watoto nawengineo watu hatulingsni, uzio pembeni uwekwe.
@jeovangisc7957
@jeovangisc7957 3 года назад
Kwa walevi inabidi watambae
@happynessmulyalya3428
@happynessmulyalya3428 3 года назад
Eng. Magogo unaonesha unazungumza kitu unachokijua, kazi nzuri sana!
@Adeen.1
@Adeen.1 3 года назад
Huyu jamaa Ana details asee...big up sana
@tezuramziray8700
@tezuramziray8700 3 года назад
Big up Engineer na pia kwa maswali ya Millard umejibu vizuri sana. Hakika bado tuna watendaji kazi waadilifu.
@andrew29468
@andrew29468 3 года назад
Hongera Millard Ayo kwa kufika nyumbani kwetu. Shida kubwa ya huko ni kutokuwa na barabara ya kufumu licha ya kuwa tunazalisha mnoo chakula
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 3 года назад
Aliyependa interview kufanyikia juu ya daraja lenyewe, agonge like hapa
@christiankakungulu2260
@christiankakungulu2260 3 года назад
Millard wewe ni noma
@zuzhabsia3852
@zuzhabsia3852 3 года назад
Nizuri sana wangeweka uzio pembeni kwa usalama wa raia
@egidlukowa5979
@egidlukowa5979 3 года назад
Big up Millard na team nzima..Kwa kufika apo
@imathomas6531
@imathomas6531 3 года назад
Ningeelewa sangapi bila ayo tv moja watu niliyokuwa napinga sana huu ujenzi na gharama zake saiv nimepata somo 👏🙏
@samwelshaban6480
@samwelshaban6480 3 года назад
Hongera sana Millard Ayo kwa utedaji wako mzur wa kazi yako hakika mungu akuinue daima Mile Mile one love brother
@scolasticashirima8692
@scolasticashirima8692 3 года назад
I think this should be one of the tourist attractions in Tanzania.. Big up kwa mhandisi na team Ayo Kwa video hii yenye awareness kwa wote ambao hatukufahamu haya yote..
@subzeronyundopower
@subzeronyundopower 3 года назад
Ml 31 ni nyingi sana sment za ml 5 nondo ml 5 mafundi ml10 mbao ml 5 Iyo 11 itasev vitu vidogo vidogo -tunaibiwa sana watz mungu atulinde
@scolasticashirima8692
@scolasticashirima8692 3 года назад
@@subzeronyundopower kwa upande wangu nimewaelewa sana. Mbao tu ambazo zinaoza kwenye maji, ni ghali sana.. Me naona hata hiyo mil. 31 bado haitoshi.. So ni swala tu la kuelewa.. Unajua ukiwa huku nje, huwezi elewa what's going on, just go and try ndo utaelewa.
@mkonlinetv1785
@mkonlinetv1785 3 года назад
estimation iko sawa kabisa
@muniraahmed624
@muniraahmed624 3 года назад
Milliard ayo nimpambanaji sanaaa Mwenyez mungu akuzidsmishie sana na saha🖖
@omarayoub6564
@omarayoub6564 3 года назад
Upo?
@omarykayanda9138
@omarykayanda9138 3 года назад
nawe ni mpambanaji pia
@oscarmartinavito3167
@oscarmartinavito3167 3 года назад
Munira
@ochendepay9440
@ochendepay9440 3 года назад
Wengi Wenu Hamjui Bei Ya Mbao.
@attunelson8828
@attunelson8828 3 года назад
Engineer nilikuelewa toka Sikh ya kwanza.uko vizuri sana
@lutulalihim1585
@lutulalihim1585 3 года назад
magogo kaweka magogo 🇺🇸
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 3 года назад
Apo kwl akil umetyumik kutmia mbao ambao haiyoz yn lithadumu milele na milele...pnge walio tengeneza hilo drj la mbao.masha Allah
@prosperjuma905
@prosperjuma905 3 года назад
Ukweli mmejitahidi sana kubana matumizi. Mil 31 ni ndogo sama ukilinganisha na kazi iliyofanyika.
@timmysiningi2732
@timmysiningi2732 3 года назад
Ni kwel
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 года назад
Kabisa kabisa
@saambovutv4883
@saambovutv4883 3 года назад
Mm nafanya kazi kiwada mbao mbao zina bei Sana
@kennedjohn5785
@kennedjohn5785 3 года назад
Hongera mh. Mbunge
@lanlady2504
@lanlady2504 3 года назад
@Millard ungeenda na futi kupima huo urefu na upana. 😀 Anyway...tunashukuru kwa jitihada zako👏👏
@isayasway4892
@isayasway4892 3 года назад
Yani mirlad ayo mpo vizuri sana mnastahili pongezi yani kama ungekuta unaweza like kila mara ninge like hata mara laki moja 👏👏👏
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 года назад
Hapo katika Kijiji Cha Ngeta napafahamu sana nimeshaenda kununua mchele ukivuka mbele unaingia Kambi ya JKT Chita unaenda Mlimba kwenye Mradi wa kufua umeme wa Kihansi. Morogoro ni kubwa sana inapaswa kugawanywa mara 2 ili kuwepo na Mkoa wa Morogoro na Mkoa wa Kilombero.
@miotv8308
@miotv8308 3 года назад
Vipi kuhusu kilosa wewe? Ushahidi unao kweli
@marwawilliam3648
@marwawilliam3648 3 года назад
Moro ni kubwa inawapa shida watawala. Igawanywe tu
@susanlazaro8323
@susanlazaro8323 3 года назад
Nimemuona Mamba pale Majini nimesisimka na Nimeogopa Sana congratulations Millard Ayo 🙌🙌
@samwelhechei8537
@samwelhechei8537 3 года назад
Hongera sana Engineer. Gharama hiyo ni sahihi kabisa
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 года назад
Big up bro, thank you for the update
@mcibralipuli640
@mcibralipuli640 3 года назад
Ahsante Millardayo kwakutujuza zaidi
@tinnojoachim8712
@tinnojoachim8712 3 года назад
Millard Ayo hanaga kazi mbovu ajawahi Kula MB zangu bule.like zangu kwa wale walio kuja kushuhudia mamba walio lipwa mafao yao
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 3 года назад
Hongera Sana bwana mubuge mungu akulinde pia bila kusahau ichinia walie pamban kujenga daraja bila kuliwa na mamba kaka miladi ayoo hongerasan kwa kutupa habari kila pembe ya dunia
@Kobe_254
@Kobe_254 3 года назад
Iyo daraja kwa kijijini iko safi kabisa
@saitawilson7307
@saitawilson7307 3 года назад
Ubarikiwe mheshimiwa mbunge
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 3 года назад
Daraja la mbao, Lori linapita la ton7 bila shida! Sasa unaebisha jiulize material ya mbao zenye uwezo wa kupitisha ton7 bila kudondoka sio mchezo
@paskalimhapa5176
@paskalimhapa5176 3 года назад
Isago kwet
@francisemmanuel1551
@francisemmanuel1551 3 года назад
Miaka 60 ya uhuru kwa daraja hili ni vichekesho sana hii inaonyesha ni jainsi gani Africa na Tanzania pamejaa ufisadi
@abdihq4228
@abdihq4228 3 года назад
Sawa sawa
@moonam1063
@moonam1063 3 года назад
Ayo nakukubali mpaka umeifungia safari we saruti hongera Kwa kazi Yako kaka nikienda otongowa nitafika isago
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 3 года назад
Millard ayo hongera sana mbunge wetu mtarajiwa 2025
@partnersah8802
@partnersah8802 3 года назад
Insha Allah
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 года назад
Tunamuombea
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 3 года назад
Jimbo gani
@Official83640
@Official83640 3 года назад
Saluti kwako ndy maana ktk watangazaji wa Tz ww ni no 1 huna mpinzani Millard Ayo
@jothamkibona2919
@jothamkibona2919 3 года назад
Tunataka watu Kama ninyi mnafanya kazi nzuri tungekua na wabunge wa hivi nchi ingekaa sawa hii
@agnettakamugisha4984
@agnettakamugisha4984 3 года назад
Hongerani sana wote💪🏼👌🏼👏🏼👏🏼👏🏼 Hatutakusahau Magu! RIP🙏🙏
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 3 года назад
Kwa nn
@kulwahance9226
@kulwahance9226 3 года назад
Miladi Ayo yuko vzr hiii channel haijawahi kuniangusha,,,kwa taarifa za kweli zinapatikana hapa
@Hanskapella
@Hanskapella 3 года назад
Mbona kazi ni kubwa zaidi kuliko ata hela yenyewe.
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 3 года назад
Kazi nzuri
@phightv2816
@phightv2816 3 года назад
Kazi kubwa kote ... Big up Millard ayo
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 3 года назад
Kumbe kuna mengi yaliyokuwa hayajulikani 👏👏👏🙌🙌
@jothamekisouke8199
@jothamekisouke8199 3 года назад
Aaaah iko njema,mbao nazjuwa ghalama ziko juu,31Mil ni ndogo sana
@hadijalukas5959
@hadijalukas5959 3 года назад
😳😳😳😳😳😳 anaeamini kwamba hilo daraja siyo rafiki kwa kupitisha magari bila kizuwizi weka like hapa tujuwane mana siyo kwa kumchungulia izilaeli kwa kioo we daraja bai 🙋🙋🙋🙋🙋🚶🚶🚶🚶🚶
@shamsajahagandhi3800
@shamsajahagandhi3800 3 года назад
Hongera sana Mkandarasi kazi nzuri sana.
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
Nzur
@bernarda.ngonyani-tma7170
@bernarda.ngonyani-tma7170 3 года назад
Usipoelewa utaona ni uwongo, ila kwa uchambuzi huo hands up
@glorytemu6996
@glorytemu6996 3 года назад
Asante Mungu tumepata wakumtuma,,Sasa ivi kitu atukielewi tunamtuma Millard Ayo big up bro
@gloryleon4187
@gloryleon4187 3 года назад
Injinia shikamooo, alafu hongera sana kazi kubwa sana kwa gharama nafuu sana, wanao ongea waache waongee, maana yaonesha walikimbia umande wakati ww unaenda shule utatumia nguvu kubwa sana hadi wakuelewe, milad ayo big up
@edwinfelix6298
@edwinfelix6298 3 года назад
Ongereni sana
@samsongechamet5374
@samsongechamet5374 3 года назад
Eng.na Mh.Mbunge Hongereni Sana.
@mawazomwamba2667
@mawazomwamba2667 Год назад
Hongera 🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️
@jacolaztv4108
@jacolaztv4108 3 года назад
Wangapi tunamkubali MillardAyo. Twende pa1 kwa like nyingi HAPA
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 3 года назад
nimejirizisha na maneno ya engineer👏👏👏 pesa makaratasi hasara roho 31 mln imeenda sahihi kabisa
@henryxavery1713
@henryxavery1713 3 года назад
Hiyo Pesa Ni Sawa Tu,,Ujenzi sio Michezo..
@chimbokiswaga8662
@chimbokiswaga8662 3 года назад
Safi Millard Ayo hiki.ndicho.nilicho kuwa nataka👍
@ramadhanimahundumla1005
@ramadhanimahundumla1005 3 года назад
Hongereni sana mmeweza kuliko watu kuliwa na mamba
@nickmoshi8243
@nickmoshi8243 3 года назад
Hongera sana Kunambi, ndio wanasiasa tunaowataka
@victormkama5485
@victormkama5485 3 года назад
Safi
@abuumakamba887
@abuumakamba887 3 года назад
Saf sana millad kwa kutujuza uko vzur
@hujjatulasrsocietyoftanzan8420
@hujjatulasrsocietyoftanzan8420 3 года назад
P1 sana bro ayo, nakubali sana unavyo watafuta hawa watu hua unatutoa maswali mengj tulio kua tunajiuliza
@boscomtani1006
@boscomtani1006 3 года назад
Hii gharama ni ya kawaida sana. Nadhani gharama hii ingeweza kuzidi. Hawa watendaji ni waaminifu sana.
@itwaaky75
@itwaaky75 3 года назад
Tuchangie tozo ya miamala ili wajengewe la zege au chuma
@willeydavid2108
@willeydavid2108 3 года назад
Niujenzi mzuri ila bado ni hatari kwa watembea kwa miguu walitakiwa waweke nguzo pembeni watu huwa wanajikwaa anaweza kudondoka , hasa hofu yangu kwa watoto nazani mnawaona hapo wanaweza kuwa wanakimbizana hapo wamalizie kuwaka ukuta wambao pembeni ili mtu anavyotembea awe comfortable 🙏
@tumainiezekia5873
@tumainiezekia5873 Год назад
Daaah Kaz nzur kak nakuelew San 🙏🙏
@raphaelnkwabi9676
@raphaelnkwabi9676 3 года назад
Mwanasiasa mwana siasa tu, Mzee magogo kaelezea vizuri sana ila njomba sasa😂😂😂
@chazleetz9861
@chazleetz9861 3 года назад
kazi nzuri bro Millard
@Ray-vk7bp
@Ray-vk7bp 3 года назад
yupo sawa mti wenyewe dawa unauzwa milioni moja hilo daraja lina mita 40 na linapitisha tan 10
@lazaroletion2420
@lazaroletion2420 3 года назад
Tujadili hili daraja msimu aa mvua, tuseme kwa sasa tuacha daraja lihudumie
@sultannassor4868
@sultannassor4868 3 года назад
Hongera ayo tv kwakweli uahitaji tuzo
@fatumanguva904
@fatumanguva904 3 года назад
Kazi nzur kuokoa maisha ya watu
@aidanmhume446
@aidanmhume446 3 года назад
Siwez bisha huyu jamaaa yupo sahihi kabisaa kwanza pexa ni ndogo
@allykingo3558
@allykingo3558 3 года назад
Kazi nzuri kijana huo ndio uandishi wa Habari
@Waytozanzibar
@Waytozanzibar 3 года назад
Watu wa mitumbwi watapata ajira wapi Sasa 🥺🥺😂
@shabanfitnesstv3977
@shabanfitnesstv3977 3 года назад
😂😂😂😂😂Asante
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 3 года назад
Ita bidi wajipange kidogo....
@nguchichiswai5936
@nguchichiswai5936 3 года назад
hongera kazi nzuri sana
@TrendNewstz
@TrendNewstz 3 года назад
Hongereni sana, Kazi Nzuri, pesa ndogo
@hundamania2831
@hundamania2831 3 года назад
M31 tsh kwa Kivuko hiki mbn ni ndogo sana au kwa kuwa tu watu wengi tz sio mafundi Big up kwa Injinia huyo ila tu htr moja kuwa halijazibwa pembeni jpo kajieleza kuwa kuna ssb za kufanya hvyo Hao wanaojiita mabos na kumuwekea mashaka mshkj huyo hawana walijualo
@elviraramadhan3900
@elviraramadhan3900 3 года назад
Big up Millard ✍️
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 года назад
Manshallah nimeipenda sna hii interview maana niliiyona hii Mada fb na nikashare ila mguzo lilikuwa nyingi sna kwa wanajamii👍 wengi wao hamjui bei ya mbao mngetuliza kidg tunaojenga vibanda vyetu uko bongo 🇹🇿sio poa unaishia kukuna kichwa tu
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад
pembeni wangeweka miti kuzuia inaogopesha hasa wanaotumia miguu lakini hongereni kazi nzuri
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 года назад
Kazi nzurir lkn hamkuweka magogo kuzuia pembeni kwa usalama zaidi
@mbonjamaestro7782
@mbonjamaestro7782 3 года назад
Big up millard ayoo
@peterkimati7003
@peterkimati7003 3 года назад
atariii sana hii
@hashimsaid5546
@hashimsaid5546 2 года назад
Gharama ni sahihi Ila naona Kama hela ndogo Sana ilipaswa iwe walau milioni sabini
@florianhenry7198
@florianhenry7198 3 года назад
Yote heli Tumshukuru Mungu kuepusha misiba .Amen
@aishachambo3293
@aishachambo3293 3 года назад
Hongereni sana kazi nzuri sana
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 3 года назад
Jah blesses Brother
@davidmaisely7487
@davidmaisely7487 3 года назад
Tumwachie Mungu aisee
@eischerschwederm7876
@eischerschwederm7876 3 года назад
Haijalishi kama pesa imetumika kisahihi au hapana..Daraja la ambao is a joke..no bora angeitisha harambee tuchangie but it's a shame kwasasa kuweka mbao.. liko kama la kwa bibi yangu huko igwachanya miaka hiyo
@itwaaky75
@itwaaky75 3 года назад
Changia tozo za miamala
@francismaliyao2175
@francismaliyao2175 3 года назад
Hivi mmeingea kwa undani ila najiuliza Kama serikali miti yote iko chini ya serikali, Kama serikali ina magari yakuweza kusafirisha magogo hivyo gharama zingine hazina mashiko. Na watu wa kijijini wako tayari kujitolea kabisa, hapo Kuna ufujaji wa hela za umma.
@alfolasengineeredsecurity5925
@alfolasengineeredsecurity5925 3 года назад
Wamejitahid hongeren sana watu hawakujua uhalisia safi
@veronicakalondji2375
@veronicakalondji2375 3 года назад
Poa sana Millard ayo
@imasigaro2968
@imasigaro2968 3 года назад
Mkandarasi yuko smart..some times we have to trust the process
Далее
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 6 млн
A Minecraft Movie | Teaser
01:20
Просмотров 20 млн
😱ЖИВОЙ Чехол на Айфон🤪
00:38
Просмотров 257 тыс.
Ifahamu Ifakara Mjini
17:21
Просмотров 4 тыс.