We nae hujaelezea vzur umeelezea jujuu tu, watu wafikiri n pambano rasmi, floyd mayweather alishasitafu ngumu kitambo, hilo lilikuwa kama bonadha tu, la kutangaza chapa ya kampuni, na pia hakuna mpiganaji wa ulingoni akaamru refa kuondoka ulingoni. Na kingne angalia umri Mayweather miaka 47 anayepigana nae miaka 31 hakuna wiana hapo na hawezi kufanya pambano la uzito wa juu kw tofauti hiyo ya miaka.
We nae acha makasiriko, floyd mayweather alishasitafu ngumu kitambo, hilo lilikuwa kama bonadha tu, la kutangaza chapa ya kampuni, na pia hakuna mpiganaji wa ulingoni akaamru refa kuondoka ulingoni. Na kingne angalia umri Mayweather miaka 47 anayepigana nae miaka 31 hakuna wiana hapo na hawezi kufanya pambano la uzito wa juu kw tofauti hiyo ya miaka.