Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo ameshinda mkanda wa WBC Africa wa uzito wa super welterweight kwa kumpiga kwa Knock Out (KO) round ya 9 Bondia wa Angola Antonio Mayala
Ongera mwakinyo... Umeonyesha uwezo.. Ila sasa jitaidi kukuza nidhamu yako.. Unanidhamu mbovu.. Mfano hapo mwisho wa pambano hukuonyesha uwanamichezo kwa kumpa mpinzani wako mgongo huku ukikatika kiuono.. Ulitakiwa umpe mkono alafu mkumbatiane kwa upendo..
Kupitia title aliyopata mwakinyo amepata nafac kucheza WBC kumlinganisha na wengine ni sahihi tatizo kila boxer na mtazamo wake na lengo alilojiwekea kuna wanaoforce game na... Kwanza rank tofaut pili uzito na wao waji brand wakashinde away waje na title co kumtaka m2 kwa chuki tu. Good job champez
Mimi nawashangaa wanaotaka kupigana na mwakinyo badala ya kuji brand ili wajitangaze wanaishia kutaka kumfanyia njama mwakinyo anayefanya vizuri kutangaza nchi hii,tunawajua majaji wa Tz wakipigana tu watamwaibisha mwakinyo.
Tofauti ya mwakinyo na hao sijui kina Kiduku, ni moja tu. Mwakinyo ni INTERNATIONAL & PROFESSIONAL BOXER Wengine ni wapiganaji wanaojitahidi kufikia level za Mwakinyooo.😁😁😁😁😁
Huyu jamaa kuna ustaarabu anatakiwa afundishwe hasa napohojiwa na tabia baada ya mchezo kuisha kuonyesha uugwana kwa mpinzani wake kwa sababu mchezo si uadui na kushinda leo haimaanisi kesho hutashindwa ajaribu kujibadili kutoka uswazi alikolelewa na kuwa wa kimataifa
Mwakinyo kazi yako ni nzuri. Na una washabiki wengi maanacdunia inakujua ila jiheshimu utatuboa hapo mwishoni miono yako kama watu wako wa karibu wakushauri utuombe radhi washabiki
@@dullahditali2654ni kama dhihaka fulani kwa mpinzani wake ila mawazoni alifikiri jamaa bado yuko chini kumbe ameinuka ndo ikawa vile dhihaka ikawa fedheha kwake.
Good job my bro, ..from home land Tanga Tanzania!!! Hongera sana bro, ...navyokupenda sasa raund ya kwanza huwa unatupa burudan af raund ya 3 ni udhindi😘😘
Mweee huyu mwakinyo ss siyo mtu mzur atakuja kuua mtu.... yn mwanzon kamlembalemba mwenzie na kisha jamaa alivyolegea akampa za kumalizia pambano😂😂🚶♂️🚶♂️
Mwamuzi sijamuelewa ingawa isingebadilisha matokeo ..Ila hakumtendea haki aliyepigwa .LAIT KAMA ANGALIESABU SINA MASHAKA KAMA ANGESHIDWA KUENDELEA. kwa nilichokiona hapo. Kingine I wish kocha wa Mwaikinyo asome hii... KIJANA WETU ANAHITAJI 'HAND SPEED' TUU KUTOBOA LEVEL ZOZOTE ZILE ZA HIGH LENK
Ndugu zangu msije mkafikiri Bondia wetu mchicha mwiba kwa hilo uno hapo mwisho ni kwamba alitaka kumdhihaki mpinzani wake sasa mawazoni akafikiri jamaa bado yuko chini kumbe jamaa keshainuka mwisho wa siku dhihaka ikawa fedheha kwake but anyway yote ni furaha hakuna baya.