Changamoto zinaweza kuwepo, lakini ubaya ni kuongeza chumvi kupita kiasi kwa kusema uongo uliopindukia. Hii inapotosha. Mfano hizo stori za kulazimishwa na mbwa. Nahisi ni vizuri huyu mama Global kaja nae afanye tathmini yake.
@@majaliwamussa9268 Kulalamika kama kaonewa au kadhulumiwa sio tatizo. Ana haki ys kugombea haki yake. Lakini tatizo linakuja kuwa kusema uongo tena uliopindukia kuwachafua wengine hiyo tena sio haki. Anakuwa anadhulumu haki ya wengine na kuharibia wengine ya ama watapata toga usio kweli kuwaharibia rizk wengine. Tuwe wakweli kama alivyosema Raisi magufuli “ wasema ukweli ni wapenzi wa Mungu”
Kabla ya miaka 5 nyuma alikuja msichana kutoka Burundi na mimi ndiye niliyempokea alipofika hapa Oman akawa ananihadisia kuwa nasikia waarabu watu wabaya wanapiga na wanatesa na wengine wanaweza kukuuwa yeye ananihadisia hivyo Sasa nikamwambia kama wewe hizo ndio fikra zako Sasa vipi umekubali Kuja??!! Mimi nikamwambia Kuna waarabu wema na Kuna waarabu wasio kuwa wema na hii ndio kila pahali duniani ipo.. Nikamwambia je wakumbuka vita vya wahutu na watusi huko kwenu baina ruwanda na Burundi vipi walikuwa wakipigana??!! Na silaha gani wakitumia ilikuwa mapanga visu bunduki na kadhalika nikamwambia je wale walikuwa waarabu???!! Hakuweza kunijibu na hakua la kunijibu. Kwa hio ukiambia kitu lazima na wewe ujiambie na upime na kutumia akili yako
Kabsa wanatuharibia tuy mbon oman nikuzur tuy hakun shida shida wanajitakia wenyew wanataka kuzurura kufanya zinaa kam wanazo fanya kwao ndo shida ya wa TZ AMBAO WAPO OMAN LAKIN OMAN NIKAM TZ TUY KWAN TZ SII WANATESWAA KWA HIYO DUNIA NZIMA WATUY WAKO HIV KUNA WAZUR NA WABAYA PIA NIKUSHUKURU TUY
Mbwa wapo Oman Tena mpaka wale mbwa wa kizungu wanafuga ndani ya majumba yao wanalala nao mpaka vitandani mwao kama vile wanavyofanya wazungu mm binafsi ninapo fanya kazi mwanae mmoja ane yule wandani wanaitwa Papp kutwa Wana mpakata Tena Wana lala nae kitandani kabisa na kumwengine anao wale wakubwa jamani mbwa Oman wapo na Wala msibishe Oman ya Leo imetawaliwa nanuzungu watu wanaiga uzungu mpaka wanasahau dini yao
Oman ni kubwa na sio waomani wote ni malaika ni binadam kama walivyo wengn na wapo wazuri wapo wabaya wa roho kuna nyumba nzuri sana kiheshima /wastaarabu Sana na zipo washenzi wa tabia so yasemayo yapo kwa walikutana nao wanakosea tu pale kujumuisha waomani wote kwa kosa la mmoja. Na kwa mimi sioni sababu ya wao kubwabwaja kwasababu hawakurazimishwa kuja oman na wasiwaogopeshe wengn wanao taka kuja kila mtu na bahati yake ukianfukia pabaya Allah anakusudi lake ivyo jitathimini.
@@Fathasssane-vs2thkumbe ww ulishalala na mbwa basi ukiitwa sehem husika toa ushahidi na unyeshe nyumba yenye mbwa binaadam nyie mnakazi kwakweli hivi mbwa wakufuga ww unaweza kumsogelea au unaropoka tu siatakukata tako kabla hujamgusa hata mbwa chokoraa akiona mtu anakimbia acheni unafiki mashetani msio na fadhila kwanza mbwa wa njiani kila leo wanauliwa na police
@@Fathasssane-vs2thkwanza umejibebea umbea tu pengine hata Oman hupajui pakoje mtakufa na chuki zenu Oman nchi yenye amani nawatu wanafaidika wenye chuki mtakufa maskini kwa roho mbaya
Sigikitu kama hayo yote ni sahii maana tunakavo elewa kuna baadhi ya familiya yako ya dam wanalia na njaa kila mtu anakielewa hicho na kwanini hukurlezea kuhusu watoto wako una idadi ngapi ya watoto na wanaishi wapi na vipi maisha yao kabla ya kujisifia.
Mashallah SAID amefafanua vzr sanaa Sisi WATANZANIA NA WAOMAN ni ndugu Mtanzania ni mama kwa muoman Na muoman ni baba kwa mtanzania ALLAH AKUHIFADHI Said 😊
@@lenniefei6710 unaona ajabu ya ndugu waliochanganya damu kutokea mapinduzi na mauaji na kufanyika biashara ya utumwa enzi hizo ..Ni vitu vya kawaida ktk maisha. Hata mapacha waliolala ktk mfuko mmoja tumbo moja hukosana, hufarakana hadi kuuana kwa vitu vya kidunia.. palestina na Israel leo hii wanauana mtu na binamu yke ukipatikana wasaa watu wanasameheana na maisha yanaendelea
@BibiClassic-rl2jo Kweli kabisa ila wanasemeheana baada ya aliyefannya kosa kukubali kosa lake na kutubia ila kila mwaka tunaona aliyefanya kosa analisherehekea na kuzidi kujinaki kwa kosa lenyewe. Hio imekaaje nayo ?!
Ww unajua maisha ya Philipino unasema tu maisha yao magumu pesa yao ni ndogo matumizi makubwa zaid na la pili hwa wanafundisha watoto destur na tabia sasa nyie wengine mwafundisha nn zaid kubinjua midomo na ujeur na wao wanapenda watoto sna sna
Hongera dd Zari hila ukweli kira nyumba inachangamoto yake na kira binadam ànaroho yk jinsi gn kaumbwa kwaiyo changamoto zipo na wapo wanaopitia achana na hizi ndg ndg za kuchambwa kwa kitu kdg sa ingine waaribu watt wao hila ytaonekana ww na matusi juu azitusumbui tunàpambana nazo yt yaende
Huyu Zari sio professional journalist...nadhani ni wale wa habari udaku. 1) Kabla hajafika Oman hakuna research yoyote kafanya kuhusu idadi ya WaTz waliopo Oman angalau official data toka Uhamiaji 2)Anapohojiana na baadhi ya vijana lengo kuu ni kutaka kujua unyanyasaji wa wasaidizi wa nyumbani hapo kapoteza mwelekeo. 3)Ubalozi wa Tz upo Oman hakufanya juhudi yoyote kuwauliza ni changamoto zipi wanazopitia WaTz hapa Oman Angefaa pia akapitia sheria za Kazi za Oman ili apate mwanga nini inahitaji WaTz wanaotegemea kuja Oman kikazi wakitegemee kisheria. Bado ana kazi kubwa uelewa wake ufanikiwe.. Naomba kuwasilisha..
ingekuwa audio ningekuelezea vizuri kwa sbb gani wanapitia kuhoji sehemu kama hizi,wanajua wakiwaruhusu kuhoji wafanyakazi wa ndani mengi yatagundulika
Hapo dada zari ungeweza kuwapitia wa Dada ambao Wewe mwenyewe ulipewa changamoto zao ila kiukweli Oman asikwambie mtu kunachanga moto nyingi mno na kwakweli hatuna mtatuzi ila kama Wewe umefika jifuze wakupeleke kwenye nyumba zenye changa moto Kwanza Oman mabosi wengi hawafati mkataba pili mfanyakazi akiumwa hawajali utapewa Panadol na pia utaentelea na Kazi Kwa hiyo utajifuza hukuhuku
Ni muoman upo mama yake muoman baba yake muoman kama umjuwi mtu nyamza funga domo lako kama bakuri la kunawia maji shughulini mty umjuwi wajiropokea msanii alikuimbia nyimbo wewe uyo ndo said kidoa mwenyewe mwingine hakuna Oman
Binafsi na viomba vyombo vya habari vya Tanzania hasa Global tv, wapunguze kuwa karibisha na kuwahoji mabinti wanao shindwa kazi na kurudi kisha kuja kuongea utumbo, tulioko huku wote tunaonekana vilaza, pakiwa na tatizo lolote kwanza waripoti polisi au Ubalozi
Mm kuna rafiki yangu yupo huku oman anaamka saa 10 kila siku muda wa kupumzika hana usiku kulala saa 5 na wakichelewa kula usiku hata saa 5 usiku anaamshwa kuosha vyombo huu ni unyanyasaji asubuhi kwani hawezi osha wakati anaamka saa 10 alitaka kutoloka nimemsihi usitoloke omba msaada ili usaidiwe
@@salimali-rf9er hayo siyo majibu mazuri kwani yeye yamemkuta siyolengolake kunyanyaswa. Kwani hata kama tz wapowanyanyasaji ndiyo hakiyake hiyo. Siyovizuri hataww ungekua unanyanyswa nazani using e vumilia tuangalie namajibu tusijione sstumefika. Kwani wanyanyasaji wowote watahukumiwa Na. Allah. Je kamani hakiyake kwanini Allah atampaaAbu. Intakillah wwe
Yy ndo aliwaendekeza naakaleta uoga ndo maan anafanyiw hivo mbon kwa maajent tunaambiw mwisho saa nne ni yy amejoachilia maradhi yakuamshwa usiku nauoga wake
Sasa wewe dada hayo mambo ya mahari yanakuhusu nini? Nyinyi ni watu hamjielewi , kuna baadhi ya mambo yanawahusu watu wenyewe tu , Mkaja wa bibi na kitenge kwani upo Tanzania, watu wana tamaduni zao haziwahusu
sema simpo tu nikama kufanya kazi muomani na mzungu mnafanya kazi moja kazi iyo iyo mzungu anapata mshahara zaid ya muomani muhar mengi ni ujinga tu dini aikusema kabila flani mahar iwe nying kabila flani mahar iwe ndogo ujinga na tama za kidunia na binadam ndo maana ndoa nying hazina barka sababu ya tama dini aikusema ivyo jikune unapo weza sio kuka lifisha nafsi yako
DADANGU ZAI NIKIRUDI TANZANIA Nita kutafuta ila ukweli nikwamba HUKU WANAFANYAKAZI wanao tumia changamoto wapo sana tena sana tena sana ila watu unao wafanyia mahojiano hawawezi kwambia ukweli Kwa kuofia kufukuzwa kazi Mimi mmoja wapo niliyo PITIA changamoto na Oman Ili uweze fanya kazi ujifanye huna akili timam zaidi ya hapo huto weza fanya kazi
@@RitbayRitbay Sasa hiyo ndio sababu ya kweli ndio mana mtu akiwa nchini KWAKWE Huwa huru Kuna watu Wana chukia ukweli ila ubaguzi upo na watu wanao pitia mateso wapo NILIPENDA SWALI LA DADA ALIPO MULIZA YULE JAMAA YAONYESHA PICHA YA NYUMBA YAKE ALIYOSEMA KAJENGA KISHA KAHEPA😂😂😂
Nikweli unakuta wafilipina na wabagradeshi wahindi wanakipwa mishahara mikubwa kukiko sisi waafrika Kenya Ethiopia burundi Uganda Tanzania mishahara midogo sana arafu kazi ndozile zile pia waafrika ni wasafi tunajituma kwa moyo mmoja asikwambie mtu wahindi Filipino wachafu balaa Yani hatari