Тёмный

VIDEO:NYUMBA ILIYOKUWA IKIJENGWA NA MFANYAKAZI WA GGML ALIYEUAWA KIKATILI GEITA, JIRANI AMUELEZEA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 224 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 209   
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Год назад
Duh kweli ukipanga ma Mungu anapanga...tumtangulize Mungu katika kila jambo.. Eeh Mwenyezi Mungu tulinde na tuepushe na matukio hatarishi, tujalie afya njema,usalama na maisha yetu,na kubwa kuliko yote tujalie pumzi ili tufaidi matunda ya jasho letu tukiwa na afya njema.. Amen
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 Год назад
Amiin
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Год назад
Ameen
@rahmahusseyn6555
@rahmahusseyn6555 Год назад
Aaamiin yarabb
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 Год назад
Amiin
@agnessvicent6591
@agnessvicent6591 Год назад
Amen
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Subhannallah, mtihani kwakweli
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Год назад
huu ukatili uliopitiliza, Mungu atupe mwisho. mwema, km binaadam uwezi muondoa binaadam mwenzio uhai namna hii, hata km alikua na kosa ww pia uliyemua.kinyama unakosa zaidi.sijui utajibu nini kwa Mungu🙏
@ElygloryKilango-qu1kj
@ElygloryKilango-qu1kj Год назад
Yeye mwanamke anaoaje? Anaeneza mapenzi ya jinsia moja watu wamechoka tabia zake
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Год назад
@@ElygloryKilango-qu1kj hata ww unamapungufu hakuna mkamilifu, na wala hiyo sio dawa wapo na wataendelea kuwepo pengine hata ww.huna kijana wako gay , wanaume wenyewe. kwa sasa hawapo wote mpo wazi
@nassorsalumkambas4181
@nassorsalumkambas4181 Год назад
Atamweleza vzr mungu na huo usagaji wake alio kuwa anaufanya duniani
@ElygloryKilango-qu1kj
@ElygloryKilango-qu1kj Год назад
Kabisa
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Год назад
Mungu sio bunadamu ni mwingi wa rehema.. huezi amini alipokuwa anateseka kukikabili kifo alimuomba Mungu msamaha wa moyoni mwake.. Mungu huhitaji unyenyekevu wa moyo tu..
@simonchristian6319
@simonchristian6319 5 месяцев назад
We una uhakika gani kama akifika huko,atahukumiwa
@vickydan2869
@vickydan2869 Год назад
Pamoja nayote mwenye kuhukumu ni mungu wamemkatili sana
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Год назад
So who is she.Acha serikali ichunguze
@omanmct135
@omanmct135 Год назад
Aaaalllah ndo anampanga kilakitu chabinadamu❤❤aaallah anajuwa zaidi
@nesielias9493
@nesielias9493 Год назад
Walaaniwe milele yote wote waliofanya mauaji haya watangetange Siku zote za maisha Yao wasipate msaada na yeyote
@magrethminja1309
@magrethminja1309 Год назад
Amen ikawe ivo na kizaz chao kisbakie hata Cha kukumbukwa
@merckmdamu2942
@merckmdamu2942 Год назад
Mhh,Weni nani wakuraani?
@khadjamhozya
@khadjamhozya Год назад
Kwaniunaona wamefanya mzuri 😞waraaniwe tu😭
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 Год назад
Mungu atujaalie mwisho ulio mwema kwan hapa duniani tutaondoka na amali zetu na kijisehem kidgo sana cha Ardhi😥
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Год назад
Life is unpredictable😢😢. Live your life and be happy everyday as tomorrow is not guaranteed
@mamasia9741
@mamasia9741 3 месяца назад
Hakuna binadamu mkamilifu ata kama alikua na mapungufu hakustahili azabu hii mwacheni mungu mwenyewe ahukumu. Msihukumu mkaja kuhukumiwa apumzike kwa amani
@mariamwacha6579
@mariamwacha6579 Год назад
kila mtu ana haki ya kuishi,,, na mwenye kuhumu ni Mungu mwenyewe wala si binadamu,,, mnajuaje ck za mwisho angerudi kutubu kwa Mungu wake? very sad,, rest in peace Milembile😭😏😣
@floraluzabiko7679
@floraluzabiko7679 Год назад
Aisee kapambana mwenyewe lkn wamemkatisha mbaya sana pole kwa familia yake na jamaa zake
@officialkamdudu
@officialkamdudu Год назад
mjinga huyu acha asepeshwe ametutesa sana kwa kulamba lba mademu zetu mbwa huyo ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-2cOlV3nGVgg.html
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 Год назад
Kaongea vzr Mzee pia anawivu kabisa babu wawatu 👍
@yusuphibrahim-yq9mv
@yusuphibrahim-yq9mv Год назад
Mungu anajua zaidi wanadamu wapo zaidi yawanyama
@judyngowi391
@judyngowi391 Год назад
Mimi sijaelewa, mnasema alikuwa MSAGAJi? Alikuwa anasaga nini? Mahindi au nini?
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
Daaaa kifo😢mhhh🙌 Nikifikilia sio siri Naumia😭😭😭😭😭yani meri zoteeeee Ulizozupambania kwamda mlefuuuu Uku Ukitoka jaso,machoz yalichanganyika nakamasi ,Mwisho wasiku Unatoka wewe km Wewe 😢zaid zaid ndg wakufuiiliye pesa yako wakununuliye Lisanduku lagharama😢nakaburi lakufunika😢 Mweeee🙆🙆🙆Pumzika kwa Amani ndg yetu😭
@africa7479
@africa7479 Год назад
kweli ukifikiria kuhusu kifo unaweza hata usioge
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
@@africa7479 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nacheka km Mazuri,
@kalemberehema1205
@kalemberehema1205 Год назад
Daaa alikua anapambana mweee pole ndugu yetu kapata maumivu makali san
@abdulrahmankafuku3449
@abdulrahmankafuku3449 Год назад
Duniani tunapita tuu, sisi ni m/mungu na kwake tutarejea , kama vile umeme wa LUKU unavyokatika ndiyo sawa na kifo , kinakukuta sehemu yoyote sote tujiandae na hii safar
@suhailaabdul2579
@suhailaabdul2579 Год назад
Leo Ni yako Ila kesho ni yake #M/Mungu
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Subhannallah
@anethteodos6208
@anethteodos6208 Год назад
Mungu ndiye hakimu wa haki,tuache kuhukumu
@lameckmnanka9330
@lameckmnanka9330 Год назад
Pole sanaa mdogo wetu akupuzishe kwaaman
@jamessakaya1890
@jamessakaya1890 Год назад
Uwenda ni wivu wa maendeleo...maana si wote wanapenda manendeleo yako.
@edgaphabian407
@edgaphabian407 Год назад
Wivu tumzee kabsa
@rosemery3017
@rosemery3017 Год назад
Exactly 🙏
@idrisamngagi284
@idrisamngagi284 Год назад
Hivi huyu ndo yule dada alie muoa mwanamke mwenzie si ndio?
@furahinimbise3382
@furahinimbise3382 Год назад
Wasagaji na mashoga wanalipi la kujifunza hapoo? Ila hali ni mbaya sana savi
@halimaiddy8691
@halimaiddy8691 Год назад
Daa binadam wabaya san jamani 😢😢😢❤❤❤
@nyambuli.mmanyasi6859
@nyambuli.mmanyasi6859 Год назад
Nilikuw nackitik baada ya kuckia hili ,baada yakuona clip anamvisha Pete mwanamke mwenzie na deep kiss hadharan daah maumivu yakapungua kwakweli,apumzike kwa aman sote njia moja
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 Год назад
KWA KWELI NI HATARI SANA
@ElygloryKilango-qu1kj
@ElygloryKilango-qu1kj Год назад
Anajiweka kiume kabisa wamechoka matabia yake
@laurenciazacharia9197
@laurenciazacharia9197 Год назад
Duh kauwawa kinyama lakini
@neemadickson9526
@neemadickson9526 Год назад
Rest in peace mama g 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😔
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Год назад
Awalipe wote fundi mkuu aambiwa hela hamna, kuna nn hapa
@oliverjason4335
@oliverjason4335 Год назад
Mmmh uyo fundi atoe maelezo
@chifuthedoni8889
@chifuthedoni8889 Год назад
Lazima kuna sababu hapo, Watu hawawezi kuamua tu kukuua tu bure bure! Wangeuawa wengi mno! Tuwe tu wastarabu hasa sisi watafutaji! Kila uingiapo na utokapo nenda kwa haki yako tu! Mara nyingi mauaji kama haya hutokana na dhuruma na dharau kupita kiasi! Unajikuta umemchosha mwenzio bila we kujua! Matokeo yake sasa! Wanakuondoa duniani unaacha vyote!
@khadijamwenda1851
@khadijamwenda1851 Год назад
Hii comment kama umeniandikia ndugu Kuna mtu namuwazia ubaya kaniumiza mfano hakuna maisha YANGU yamekosa muelekeo
@happymvula
@happymvula Год назад
@@khadijamwenda1851 kila nafasi ya kuishi ni mwanzo mpya, achana naye anza upya!
@fatumajumanne5961
@fatumajumanne5961 Год назад
Yaan huyu ukiacha huo utopolo wake Kuna la Nyuma ya pazia wivu au wafanyabiashara wenzake.
@daimavlog
@daimavlog Год назад
Hata kama siyo umuue mtu hivi
@daimavlog
@daimavlog Год назад
Lakini umesahau, wivu ni kitu kibaya kuliko dhuruma. Watu wanawivu wanakuua kisa wivu tu, inaweza kuwa wivu na wala siyo dhuruma . Kaangalie huko kenya, mwanamke na mumewe wameishi Marekani miaka Mungu, wakajenga ghorofa kenya, kufika tu Kenya Watu wakaja wakawaua vibaya. Hasidi hanaga sababu ndugu tafute ela upate maadui, kama hujawapata basi ujue wee bado maskini
@daimavlog
@daimavlog Год назад
Dah kweli binadamu wabaya jamani😢😢😢😢
@jacquelineadrian6436
@jacquelineadrian6436 Год назад
Duuh maskin ingeisha hiyo ingekuwa boonge la sehemu
@HadijaMzuzuri-ls3wf
@HadijaMzuzuri-ls3wf Год назад
Nasra said kambangwa
@masatumgeta196
@masatumgeta196 Год назад
Pesa ni nzr lkn uangalie na hizo pesa umezipataje
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Baba anabana ila marehemu inaonekana alikuwa hataki masihara huna kazi ndani hamukuhusu ndo dunia mbele yake nyuma yetu tuombe hatima njema inshallah
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 Год назад
kweli kabisa inaonekana huyu marehemu alikuwa siliasi sana kwenye mambo yake tu kiasi kwamba hata majirani walikuwa hawana uhuru nae na yawezekana hata wafanyakazi wa mtaa wake hakuna aliepewa hata kubaruwa katika hiyo kazi, sasa hiyonayo ya kutojichanganya huwa ni mbaya sana unajitengenezea ubaya na majirani zako wao ndo wa kwanza kukurinda na haohao ndo wa kukuwekea chuki na nirahisi sana kukumaliza hayo ni mawazo yangu tu ila yote yanawezekana hapa kilichobaki ni selikali ifanye kazi yake juu ya hili ili iwe fundisho kwa wengine mbele yake nyuma yetu poleni sana family yote kwa ujumla na wanageita wenzake na jamaa zake wote wa karibu pumzika kwa amani dada yetu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@hamiduhamisi2371 Watanzania ni wanyama wana roho mbaya sana ya kichawi watanzania huwa hawapendi mtu afanikiwe maishani watakutafutia sababu kukumaliza, ndio maana nchi iko nyuma kimaendeleo
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 Год назад
@@kabwelasutiviraka4765 mhhh😳😳😳😳🙆🙆🙆🙆 mie ni mtanzania ila siwezi changia kwa hii kauli yako sipo razi, isipokuwa kila mtu anafahamu uhalisia wa maisha yake anayoishi yeye na jamii inayomzunguka kwa ujumla, kumbe vingine vinaepukika ukiligunduwa hilo sizani kama litakusumbuwa sana japo mwenyezi mungu ndie anaejuwa kuishi kwa binadamu ila hata sisi inatakiwa tujuwe kwamba tuko wapi, tunafanya nini, na tumezungukwa na watu gani hivo tu. ila ck ikifika halina mpinzani hata kama wote tungehamia ikuru tukaishi kwa ulinzi wa kutosha bado tutakufa tu 🙋🙋🙋🚶🚶🚶🚶🚶
@zuhuzuli.5150
@zuhuzuli.5150 Год назад
Pumzika kwa amani kweli binadamu hatujui kesho yetu inauma sana kukatisha maisha ya mtu hata kama unamdai au vip sio sahihi😭😭😭
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Yesu wa msalaba. Km ni mtu basi afanywe km alivyofanya na tunakuomba mfalme tujibu tushuhudia kwa macho. Ya sirini unayajua wewe Mungu wetu fanya km ni mtu/watu basi wawekwe hadharani
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 Год назад
Asante Yesu
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 Год назад
INgawaje marehem hasemwi ila kwa hili hata kama awe ameuawa sio kwa ajili ya hayo mambo yake ya kishenzi ila mi nasema amestahili kufa kwa sbb hayo aliyo kua anafanya ni mabaya hayafai na alikua anazidi kueneza mbegu ya ufuska mbaya kwa mabinti
@khairatsuleiman4606
@khairatsuleiman4606 Год назад
Sahihi Hawa viumbe wauliwe tu
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Год назад
Hii na ukahaba wa kujiuza Haina tofauti lakini mbona la wale wanaojiuza hamuwasemi?
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 Год назад
Hizi takataka zilizomkatisha maisha huyu dada wanyongwe
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 Год назад
Huu utakuwa ni wivu wa maendeleo tu hakuna chochote.hayo mengine fit ina tu.
@AnglLedman-gy6jc
@AnglLedman-gy6jc Год назад
Kama nikweli wanasema alikuwa akisagana na walikuwa wanajua kwanini hawakuenda kutoa taarifa pahala usika achukuliwe Sheria mnasubili kafa ndoumna sema
@kilimohub580
@kilimohub580 Год назад
Wats the point ? Showing her house
@jimmylema8830
@jimmylema8830 Год назад
Is the place where they found her body
@mwitamalwa2773
@mwitamalwa2773 Год назад
Duuuuh binadam bwana shida tupu mtukajijenga vzr lakn kakatiswa ndoto zake jaman
@pauloropian2367
@pauloropian2367 Год назад
Mwehu huyo anaonekana kama msagaji bora apunguze ili tuinusuru maangamizi ya taifa juu ya hasira ya Mungu.
@officialkamdudu
@officialkamdudu Год назад
hana maana mjinga huyu ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-2cOlV3nGVgg.html
@AnglLedman-gy6jc
@AnglLedman-gy6jc Год назад
Mwonekano usikuchanganye mungu pekee ndoajuaa
@officialkamdudu
@officialkamdudu Год назад
@@AnglLedman-gy6jc hata sisi tunajua muangalie huyu hapa 👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-2cOlV3nGVgg.html
@billgussy6099
@billgussy6099 Год назад
Atakua kauwawa na wanao mdai au majambazi walio dhani ana pesa nyingi za kuwalipa wafanyakazi
@aminaamina9568
@aminaamina9568 Год назад
Kama ni kweli alikua na vitendo kama ivyo vya usagaji Alistair tu kuuwawa maana ili janga ni hatar sana kwa dunia hii kwa ujumla ikiwezekana kwa yeyote atakae bainika kua ni shoga ,msagaji,wanao walawiti watoto,na vitendo vyote bya ivyo wapewe adhabu ya namna hii nadhani baada ya miaka kadhaa dunia itabadirika kwa uwezo wa Allah
@obadiajohn668
@obadiajohn668 Год назад
sapoort
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Год назад
Jamani jamani,Kwann tunakuwa kama hukumu ni juu yetu? Sisi ni wasafi?
@aminaamina9568
@aminaamina9568 Год назад
@@jovanafidelis2802 kama ni kweli unataka Aya mambo yaendelee au maana tuna janga la kitaifa linekisir Kila kukicha au wewe upo dunia gani
@mohdali2408
@mohdali2408 Год назад
​@@jovanafidelis2802 alicho sema dada ni sahihi siku akilawitiwa mwanao ndio utajua ukweli na ubaya wa huruma yako
@RickshabyVlogs
@RickshabyVlogs Год назад
Unakuta kapiga madini ya watu cheza na waponcher
@happinessmillanga982
@happinessmillanga982 Год назад
Kuna misiba mingine ukisikia ata hushituki Kuna dhambi ukiwa unafanya Kwa kumkosea adi Mungu uumbaji wake mwisho uwa mbaya tu
@peninacharles9757
@peninacharles9757 Год назад
Eti Nasikia alikuwa MSAGAJI 🤧🤧🤧
@ElygloryKilango-qu1kj
@ElygloryKilango-qu1kj Год назад
Ndio na anamwanamke amemuoa kabisa
@mafurumatijo8803
@mafurumatijo8803 Год назад
Msagaji wa mahindi au mtama?
@Jonas-kk4bh
@Jonas-kk4bh Год назад
NIMEAMINI KWELI KUMBE HII TV WASENGE NA MMILIKI WAKE WOTE MASHOGA
@lilianmsofe1339
@lilianmsofe1339 Год назад
Dah
@ezekiellameck3559
@ezekiellameck3559 Год назад
R.I.P MAMA 😥😥😥
@iwishtv7907
@iwishtv7907 Год назад
Nimeona Video za Afisa manunuzi wa GGM aliyeuawa, Alikuwa analitia laana na unajisi Taifa letu, Alikuwa anatuchafua kama Taifa, Wakati mwingine ni heri kupoteza mmoja ili wengi wawe salama. Nawaomba Watanzania na Waafrika wote tuoneshe hasira kali dhidi ya Ufuska na Uchafu wa Ushoga na Usagaji.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Yaaan Mungu atusamehe sana maana ni hatari sn
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Год назад
Ndio yule ambae media zingine waliripoti kuwa aliachanisha ndoa za watu Kwa kufanya MAPENZI ya jinsia moja au huyu ni mwingine????Sasa kama ni kweli alikuwa anajihusisha na mahaba ya jinsia moja na ameharibu ndoa za watu ,bisi waandishi kemeeni kitendo alichokuwa anakifanya yeye ,Kisha mkemee na kitendo alichofanyiwa yeye ili jamii ijifunze Kuwa makosa yote mawili hayafai.
@jasminyabdully499
@jasminyabdully499 Год назад
Ndo huyo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Ndiyo alikuwa msagaji
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Год назад
Ni yeye
@joycekalago532
@joycekalago532 Год назад
Hata kama alikua mkoboaji lakn alikua na akili za kujitenvenezea mqisha duh
@wiseman-or8xv
@wiseman-or8xv Год назад
Huyu dada week iliopita yule mangekimambi ilikua na mpost Kila mda
@josephlucas2786
@josephlucas2786 Год назад
Dunia Ina Siri sana msione watu Wana mafanikio ujui nyuma yake Sizan kama nimeeleweka UNAYO YAONA MACHON MWAKO NI ROBO YA YAONEKANAYO NYUMA YA MACHO YAKO
@rahamamohd3075
@rahamamohd3075 Год назад
Upo sahihi
@ustawiwetu
@ustawiwetu Год назад
Watanzania wengi wana roho mbaya hawataki mtu afanikiwe
@maryamtan682
@maryamtan682 Год назад
Dunia mzima iko hivyo sio watanzania tu, hiyo yote ni kukosa hofu ya mungu.
@kichongetogoro1621
@kichongetogoro1621 Год назад
Sio kweli asee ingekuwa hivo kusingekuwa na matajir Tanzania hapo ukichunguza vzr Kuna maslah binafsi na ubinafsi huko kazn kwake ndo sababu za mauaji ya hivo ila Ni mtazamo na maoni yangu.
@eyabdimaha3698
@eyabdimaha3698 Год назад
Bora wangemuita kwanza wakamkanya kwa kumuelekeza pengine kama hayo alokua nayo angewacha bila ya kumdhulumu nafsi yake
@jacquelineadrian6436
@jacquelineadrian6436 Год назад
Alafu kaz ya kuhukumu sio yetu....
@bensonlucas7607
@bensonlucas7607 Год назад
Ndo Ramani gani hiyo
@zamzamhassan4159
@zamzamhassan4159 Год назад
😂😂🤣🤣nilijua Peke yngu nimeona kumbe nawewe
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 Год назад
Kumbe alikua anafanya Kaz GGM
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Год назад
Uyo mwanamke alikuwa anajiweza kitu kingine matajili waki Africa walio wengi Wana zulum awajali maskin tajil
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Ameuliwa kwa sababu alikuwa lesbian Watanzania wana roho mbaya sana ila mafisadi wanaowaibia mabillioni mnawachekea na kuwakumbatia mtabakia mavi kunuka milele !
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Год назад
@@kabwelasutiviraka4765 aaah kweli wanasiasa wanaiba mabi wanachwa awachkuliwi hatua zozote wana chekelewa ila kwa uyu wameona anamakosa zaidi
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 Год назад
@@kabwelasutiviraka4765 tumia akili wewe mwizi hufa na wizi wake wala hashawishi wala kuambukiza jamii wizi lakini lebisian ni sumu inayo haribu jamii kubwa hata wewe inaweza ikakutembelea kwa hiyo mtu mmoja anaeta uharibifu mkubwa katika vizazi kama unaakili nzuri utagundua kwanini Mungu aliwateketeza wote wakati wa Luti
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Год назад
Hahahaha wangemwacha kidogo apambane na ujenzi uishe nyumba zipate na wapangaji ndiyo kazi iendelee lazima tuwatokomeze nimeona zile video za kuvalisha mwanamke Pete nikapata hasira zaidi nlijua wanamsingizia kumbe Kweli
@roswitaexavery3378
@roswitaexavery3378 Год назад
Kuuliza alijenga mwaka Gabi inakuhusu Nini
@omarmwapanahd4819
@omarmwapanahd4819 Год назад
Mshenzi baladhuli huyo mungu amchome vzr maluuni huyo
@aminaamina9568
@aminaamina9568 Год назад
Innalilah wainnalilah rajiun 😭😭
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Год назад
Nyumba 4 kwa Wakati Moja? Mmmmmmmh
@mophatsamwel6587
@mophatsamwel6587 Год назад
Mshenzi uyo alikuwa anaharibu wake za watu Kwa kusagana. Mwanamke aliye zoea kusagana hatamani mwanaume kabisa. Sasa inasemakana alikuwa akiwa rubuni wake za watu Kwa kutumia pesa Kisha kuwafanyia usagaji
@asiamwarabu440
@asiamwarabu440 Год назад
Uliwah mshka akisaga mtu
@reginamanyangu7258
@reginamanyangu7258 Год назад
Inauma sana 😢😢😢😢
@mwalimukhamisi1680
@mwalimukhamisi1680 Год назад
Hamna ushahidi wala uthibitisho kwamba kauwawa kwa sababu ya huo ubaradhuli, hizo ni comments za watu tu baada ya kifo chake. Mbona wakati yu hai hakukuwa na tuhuma zozote , Kwa msingi huo inawezekana pia kauliwa na barazuri wenzake ili kuipaka matope serikali. Suala uchunguzi nani kahusika sio jambo la haraka, hamna mwenye ushahidi wa moja kwa moja , tuwaache wenye mamlaka wafanye kazi yako. Lkn pia pia ikumbukwe ya kuwa tayari sheria zinazowahusu hao mabarazuri zilishatungwa kitambo , na hukumu yao sio sio kupelekwa ulaya kula Bata. Labda tu utekelezaji ndio ulikuwa umesinzia. Wabunge wao wameonesha hisia zao namna walivyoguswa na kukerwa na jambo hili. Sio Qur an wala biblia inaruhusu ushoga. Hivi mnavyodhania ilija adhabu ya Mungu kuna nchi yeyote inaweza kuzuia ? Kama ipo ikaamze kule sodoma na gomora . waende wakawafukue waliokandamizwa ili kutetea haki zao.
@zayneryassin6054
@zayneryassin6054 Год назад
Fact
@AnglLedman-gy6jc
@AnglLedman-gy6jc Год назад
Kwel kabs
@winyfireehammy2335
@winyfireehammy2335 Год назад
😊
@yohanapaul652
@yohanapaul652 Год назад
Muwe munawasogezea maiki tusikie we ukiongea unasikika..!
@rebekakalondji2576
@rebekakalondji2576 Год назад
😢😢
@farajikitihu4558
@farajikitihu4558 Год назад
Dunia inaenda wapi kuuwana kinyama hivyo.
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Год назад
Mhm anajenga nyumba kubwa hivi na hana gari?? Na aliye muita site ni nani? Na also walipa waliondoka? Na je walimuacha na nani? Ukweli utajulikana bana hao kwanza
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 Год назад
Naskia magar anayo meng ty
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Год назад
@@priscamlyuka5531 Mhm sa bajaj alichukua ya nini? Story zinachanganyikana.
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Год назад
@@priscamlyuka5531 aliye muita kuwa kuna tatizo site akamatwe. Atasema yote
@happymushi1682
@happymushi1682 Год назад
Gari anazo labda alipanda bajaj kwa maamuzi tu
@merykusekwa7755
@merykusekwa7755 Год назад
Wamemuonea wivu tu
@pelusiemanueli6926
@pelusiemanueli6926 Год назад
😭😭
@edinalihedule7609
@edinalihedule7609 Год назад
Binaadam jamani 😭 unamtoa uhai mwenzio 😭😭😭
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Год назад
😭😭😭😭😭😭😭 jaman
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Mamae ndio maana nilihama huko Tanzania ya mavi kunuka mko na roho mbaya sana hamna tofauti na wanyama au wachawi , sijui mlitaka mle nyama yake maana mmewauwa ndugu zetu ma albino na wazee sasa mmeimgia kuwauwa hao wasagaji na mashoga , mko na unafiki sana mbwa nyie utafikiri nyie ni watakatifu
@hassanihussein4479
@hassanihussein4479 Год назад
​@@kabwelasutiviraka4765 bado na wewe kuma wewe mashoga wote ukiwemo na wewe ukijichangaza lazima tukutenganishe kiwiliwili chako na mwili wako chako wewe
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@hassanihussein4479 nipe tigo uone kama sijakutoa mavi fala wewe, ngoja siku ndugu yako auwawe ndio utaona faida ya kuwa wauwaji maana mmewauwa ma albino wazee sasa mmeanza kuwauwa hao watu , na msikifirie Tanzania ni kisiwa dunia itawaangalia tu endelea kuuwa hiyo LGTBQ community na muone reaction ya dunia .
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@hassanihussein4479 unaona ungeisaidia police vipi ulikula na nyama yake baada ya kumuuwa does it make feel good after you killed her ?
@ivonaalex2549
@ivonaalex2549 Год назад
Huyu namjua maskin😭😭😭
@MtuSafi
@MtuSafi Год назад
na dem wake ndo nini?..Kwani ni mwanaume huyo?
@ivonaalex2549
@ivonaalex2549 Год назад
@@MtuSafi n mwanamke ila alikuwa na demu
@MtuSafi
@MtuSafi Год назад
@@ivonaalex2549 😀😀Alimfungulia duka?..Sasa mlijuaje kama ni demu wake je, kama alikuwa mfanyakazi wake mlitambuaje hilo?.
@michaelkipara8205
@michaelkipara8205 Год назад
huyo dada alikua msagaji mashughuri geita,alikua ameoa wanawake kibao
@reganmartin5485
@reganmartin5485 Год назад
Nawe alikusaga?
@HelenahSian-hl5ue
@HelenahSian-hl5ue Год назад
Mdada tapeli
@r14kgroup68
@r14kgroup68 Год назад
Pumzika salama
@BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT
Rip
@officialkamdudu
@officialkamdudu Год назад
waliomcharanga mapanga nawapongeza sana sana sana Mungu awabariki. mjinga huyu alikua ana pesa za kuchezea mademu zetu vinembe acha akavune alichopanda pimbi huyo. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-2cOlV3nGVgg.html
@zuleyvendor6577
@zuleyvendor6577 Год назад
We utaishi milele au siooo
@officialkamdudu
@officialkamdudu Год назад
@@zuleyvendor6577 kila mtu atakufa na atavuna alichopanda. au na wewe alikuzagamua nini ? maana pisi kali kama nyingi ilikua ndio zake kuwalamba mate 👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-2cOlV3nGVgg.html
@frankmushi8892
@frankmushi8892 Год назад
Atariii
@ericahrey-hj8wh
@ericahrey-hj8wh Год назад
😢😢😢😢
@amourmohamedfaki4506
@amourmohamedfaki4506 Год назад
Kikatili sana
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
💔
@joyceassey2347
@joyceassey2347 Год назад
Duuuuuh aise,,tunasema wazungu ndo wanashadadia ndoa za jinsia moja,mbn na tz uyo dada akimvisha mtu Pete watz kabisa ndo wanashangilia,,looooh
@winnifridaashery4449
@winnifridaashery4449 Год назад
We acha tu ndg yangu ht Tz majanga yamekithiri Kwa kasi Mungu atunusuru tu
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 Год назад
Tena kitambo eti 2009 jamani mimi nimezaa mtoto yupo fom 3 sasa yeye kaoa mwanamke mwenzie na uongozi upo kimya
@maryamtan682
@maryamtan682 Год назад
Iyo ndo hatima yk aliyoandikiwa kufa hivyo, ss ngoja akajibu yl aliyoyatenda, kwa maana matendo yk yataamua wapi aelekee.
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Kafa kiukatili
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 Год назад
Alizid na yeye
@witnesssabato5457
@witnesssabato5457 Год назад
Kazidi nn jamni, mtu asifanye maendeleo basi ni mbaya he "
@FreeGod368
@FreeGod368 Год назад
@@witnesssabato5457 alikuwa msagaji maarufu Tanzania ingawa hakustahili haya
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@FreeGod368 sasa kama msagaji si maisha yake wewe mbwa au alimsaga mama yako mzazi , mna roho mbaya sana na wakatili ndio maana Tanzania iko mavi kunuka hamna hata mpango
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 Год назад
wivu huo, ndo maana hauendelei, unafanya kazi kubwa matunda kidogo,
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@sleeprelaxation8431 mbwa hao wana roho mbaya roho za kichawi tu ndio maana mimi niliondoka Tanzania mavi kunuka
@RuthSarakikya-nf7lh
@RuthSarakikya-nf7lh Год назад
😥😥
@lizzybahati3739
@lizzybahati3739 Год назад
😢😢😢
Далее
САМАЯ ТУПАЯ СМЕРТЬ / ЧЕРНЕЦ
1:04:43
When Khabib dropped Conor McGregor 👀 #nocommentary
00:59
Special report: Hurricane Milton tears across Florida
10:38
САМАЯ ТУПАЯ СМЕРТЬ / ЧЕРНЕЦ
1:04:43