Тёмный

VIJUE VIFURUSHI VYA BIMA YA AFYA YA NHIF 

NHIF ONLINE TV
Подписаться 1,3 тыс.
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Jipimie na NHIF kwa Uhakika wa Matibabu

Развлечения

Опубликовано:

 

1 май 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 84   
@adammsanya4230
@adammsanya4230 2 года назад
Habari. Nashauri kungekua na kifurushi cha familia inayoishi bila ndoa.
@johnneema4476
@johnneema4476 2 месяца назад
Wapedwa naomba kujuwa kifurushi cha mama na mtoto Kwa mwaka kinagarimu kiasi gani please
@fredyfile623
@fredyfile623 5 месяцев назад
Kiukweli bima naomba mjitafakari upya bado sijapenda utoaji wenu wa huduma bcz kwanza kujisajili tu ni shidaa sana kila mtu anaongea lake pia malipo kwa hosp za prvt nichangamoto kubwa shirikisheni wadau mbali mbali ili muweze kupata mawazo mazurii.
@Shimdamian
@Shimdamian Год назад
Kwenye TV naongea vema lakini ikifika utoaji huduma mnakuwa very complicated hakuna siku mmenikera Kama leo
@gabrielmosha8928
@gabrielmosha8928 2 года назад
ufafanuzi mzuri sana Hongera sana NHIF
@djmsafii9424
@djmsafii9424 2 дня назад
Mna patikana wap naitaji bima
@aminasaid1655
@aminasaid1655 Год назад
Namba ya huduma kwa wateja haipatikani
@fatmaalmujhairu1977
@fatmaalmujhairu1977 Год назад
Bei yakifurush chatt moja bei gan
@fredyfile623
@fredyfile623 5 месяцев назад
Ishaurini serikali itenge chanzo cha uhakika cha mapato ili kiweze kusaidia hizo gharama zinazo wazidi kwamfano mapato yoote ya mbuga kama ya serengeti yasingeguswa ili yaingie kwenye huu mfuko ili karibia kila m tz apate huduma nzurii.
@sasharamadhani8452
@sasharamadhani8452 2 года назад
Asante NHIF nataka kujua ya familia shngap
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
piga 199 bure kwa maelezo zaidi
@justineaugustino7166
@justineaugustino7166 8 месяцев назад
mimi ni mstafu nataka bima bira ndoa naomba maelekezo
@user-zf8ko7og2h
@user-zf8ko7og2h 2 месяца назад
Samahani kifurushi cha timiz afya.beigani
@fatmaalmujhairu1977
@fatmaalmujhairu1977 Год назад
Tusaidien ss wazaz tulokua njee tunataka kujui bei zavifurush zawatt
@MaengelaDomician
@MaengelaDomician 4 месяца назад
Unapokuwa na bima ya afya ukaugua na kulanzwa nakuongezewa damu inabindi uchangie tena damu
@ernestrodgersmalimbwi7328
@ernestrodgersmalimbwi7328 4 месяца назад
Iko very shallow, mambo mengi hamjaeleza.hizo gharama za vifurushi za 250000 ni kwa mtu mmoja au kwa alio ambatana nao (najali) .gharama ya hivyo vingine hamjaeleza ,mko kama mna tuzugazuga tu, jipangeni mtuelimishe vizuri...
@estherkisamo1351
@estherkisamo1351 8 месяцев назад
Huo uchangiaji ni kila mwezi au kwa mwaka. Na pia mbona hamnaweka sehemu ya mtoto tu!maana kunawatoto wengine hawana wazazi inakuaje
@allmsuya2305
@allmsuya2305 8 месяцев назад
Vip kuhusu bima ya kikund
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 Год назад
Pia ukikata bima ya mtoto pekee kadi inapatikana baada ya mda gani mana inahitajika kwaajiri ya shuleni mtoto anakaa bwenini hivyo anapaswa kuwa na bima ya afya, so je ikikatwa kadi inapatikana ndani ya mda gani ama mnatoa kitu gani cha kuonyesha itapatikana ndani ya siku kadhaa
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
Inapatikana ndani ya siku 90, utapata ujumbe kwenye simu yako ya mkononi
@bilayamakinda7006
@bilayamakinda7006 11 месяцев назад
Mimi nahitaji kujua ikiwa nahitaji bima ya mtu mmoja kuanzia miaka 40 maelekezo
@IrinNimrodi
@IrinNimrodi 10 месяцев назад
Je mtu mwenye bima akishindwa kuilipa iyo gerama inakuaje
@Shimdamian
@Shimdamian Год назад
mnakera mko very complicated
@venusmakbel4679
@venusmakbel4679 Год назад
Leo nimeenda kupima damu naambiwa vipimo vingine havipo ktk bima
@stevinmgendo2800
@stevinmgendo2800 Год назад
Vifulushi vya Voda nitavipateje
@kelyne861
@kelyne861 11 месяцев назад
?????????
@swaumujafary1345
@swaumujafary1345 2 года назад
Naomba vingezo vya bima ya afya
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 2 года назад
Unatakiwa kuwa na namba ya kitambulisho cha Taifa NIDA
@hassanjuma1837
@hassanjuma1837 Год назад
Nataka kifurishi mnapatikana wapi nipeni namba
@user-fb9xl8dz4w
@user-fb9xl8dz4w 6 месяцев назад
Mimi nipo Pemba office yenu Iko wapi?
@irenehusein1316
@irenehusein1316 Год назад
Shida yangu kulipia bima ya mwanangu muda umefika nafanyaje
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
Unaweza fika kwenye Ofisi zilizo karibu nawe au ukapiga *152*00# na kufuata malekezo ya namna ya kulipia
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
Utapata control namba utakayoilipia ili upate uhakika wa matibabu
@venusbby
@venusbby 2 года назад
Nmeona kwenye website mmeandika kwamba mtu anaweza kulipa kwa kudunduliza kupitia benki washirika, hapa malipo yanagawanywa vipi?
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 2 года назад
Hapa unapewa kipindi cha mwaka mmoja na unaweza kulipa kwa kipindi cha miezi mitatu mitatu.
@ashamfinanga727
@ashamfinanga727 4 месяца назад
Kwa nini mmeondoa bima ya watoto wachanga miaka 0-5?
@leylamark4483
@leylamark4483 2 года назад
Jaman naulzia nikishakata bima huwa naweza kutumia baada ya muda gan???
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 2 года назад
Ukishakata bima unaweza anza kutumia baada ya mwezi mmoja,
@salhaatwaha7452
@salhaatwaha7452 Год назад
Hbr naomba maelekezo ya kifushi cha laki2
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
karibu, piga namba 199 bure kwa ufafanuzi zaidi
@stellahbenard2475
@stellahbenard2475 Год назад
Je ukikata bima tayar inatumika Kwa miaka mingap
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
kila mwaka unalipia kulingana na kiwango cha kifurushi ulichochagua
@ramsdenjames9782
@ramsdenjames9782 2 года назад
Kama mzazi anataka kumlipia bima mtoto wa miaka 7 peke yake utaratibu upoje
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 2 года назад
gharama yake ni 50,400 kwa mwaka, passport size 1 kitambulisho cha kuzaliwa kadi itakua tayari kwa matumizi baada ya siku 90 NIDA ya mzazi
@yusufsalumu9505
@yusufsalumu9505 Год назад
Tunataka mawasilionoo ilii tujuwe tunajiungaje tunahitaji
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
Piga 199 bure, karibu
@munasaid1429
@munasaid1429 Год назад
Mueke na namba
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
piga namba ya 199 kituo cha huduma kwa wateja, namba hii ni bure
@munasaid1429
@munasaid1429 Год назад
Dada ang anataka bima ya afya
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
karibu, piga 199 kwa maelezo zaidi.
@zainabumohamedi9015
@zainabumohamedi9015 Год назад
Naomba kufahamu kama nikijiunga, bima yangu inaanza kufanya kazi kwa muda gani?
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
Vifurushi inaanza kufanya kazi baada ya siku 30 toka umefanya malipo, na kwa Toto Afya kadi inafanya kazi baada ya siku 90 toka siku uliyofanya malipo
@munasaid1429
@munasaid1429 Год назад
Mnapatikana wapi
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
tuna ofisi kwenye Mikoa yote Tanzania bara na zanzibar, piga namba 199 kwa msaada zaidi
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 Год назад
Je kwa wilaya ya ubungo ofisi zenu zinapatikana wapi
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
PSSSF tower opposite na Mlimani City
@assilaibra4563
@assilaibra4563 Год назад
Nahitaji Bima Ya Mtu Mmoja Wa Miaka 60
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
piga 199 kwa maelezo zaidi au fika katika ofisi za Mfuko za mkoa uliopo.
@marylusinde6717
@marylusinde6717 Год назад
Bima ya mmoja mtu mzima ya miaka kumi inakuwaje na gharama zake???
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
fafanua swali, kwa maelezo zaidi piga 199 bure
@emmanuelyoramu7804
@emmanuelyoramu7804 2 года назад
Na kama huna kitambulisho cha nida inakuwajee
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 2 года назад
Unaweza kufika katika ofisi za mwenyekiti wa mtaa kujaza taarifa zako, na kupata utaratibu wa kupatiwa kitambulisho au namba ya NIDA baada ya kusajiliwa.
@agnesschao5699
@agnesschao5699 Год назад
Mambo ya rufaa ndo yananichoshaaaa
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Год назад
Naomba kuuliza bima kubwa ambayo naweza kuingia Agakani,TMJ, bila ya rufaa nikifuurush gn na Cha bei gn?
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
huduma za Bima ya Afya/ vifurushi vya bima zinaanzia ngazi ya chini kwenda juu, mfano unaanzia kituo cha afya au hospitali ya wilaya na kadhalika.
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Год назад
@@nhifonlinetv5525 mm naitaji kubwa niipi
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
@@zuwenasalim2794 hapa unachagua kifurushi kati ya najali afya, wekeza afya au timiza afya, lakini pia unaangalia na upo katika umri gani kwa sababu virushi vimegawanywa kwa umri kuanzia miaka 18 -35, miaka 36-59 na miaka 60 nakuendelea.
@Until835
@Until835 Месяц назад
​@@zuwenasalim2794pia utaangalia kama ni wewe na mtoto au mweza . Utachagua humo
@marylusinde6717
@marylusinde6717 Год назад
Vp bima ya miaka kumi ni bei gani??
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
karibu, unaamanisha bima ya mtu mwenye umri wa miaka kumi au kipindi cha miaka kumi, naomba ufafanue
@marylusinde6717
@marylusinde6717 Год назад
@@nhifonlinetv5525 na maanisha kipindi cha miaka kumi inakuwaje gharama zake kwa mtu mmoja
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
@@marylusinde6717huwa inalipiwa kwa mwaka , yaani kila mwaka unahuisha uanachama wako, lakini pia unaweza kupiga namba ya kituo cha huduma kwa wateja 199 bure kwa maelezo zaidi.
@leylamark4483
@leylamark4483 2 года назад
Jaman naulzia tu ukikata bima hyo ya NHIF inakaa muda gan kutumika
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 2 года назад
bima hii inatumika kwa muda wa mwaka mmoja, na mwanachama anahuisha uanachama wake kila mwaka
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 Год назад
@@nhifonlinetv5525 Kwa mwaka kuhuwisha ni sh.ngapi?
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
Kuhuisha inategemea na aina ya kifurushi ulichochagua kujiunga nacho
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 Год назад
@@nhifonlinetv5525 Sory.Unaweza nipa hata mfano.Ili kuinuliwa ndani ya Moyo wangu.Tafadhali.
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
@@saimonijonas1471 gharama za kujiunga kwa mwaka ni kuanzia 192,000 kwa mwaka
@florayohana4620
@florayohana4620 Год назад
Mimi ni kuanzia miaka 36 adi 59 naomba kujua Bei yangu nmjasiliamali mdogo
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 Год назад
Unachagua kifurushi kati ya Najali 240,000 kwa mtu mmoja, Wekeza Afya 444,000 na Timiza afya 612,000 kwa mwaka.
@IrinNimrodi
@IrinNimrodi 10 месяцев назад
Je mtu akiwa na bima tyr na akashindwa kulipa iyo garama mnamfanyaje
@GoldenMxang-je4rn
@GoldenMxang-je4rn 11 месяцев назад
Mnapatikana wapi mtu akitka kujiunga
@nhifonlinetv5525
@nhifonlinetv5525 11 месяцев назад
tunapatikana kwenye Mikoa yote Tanzania Bara naZanzibar, au piga simu ya bure 199 kwa msaada zaidi. karibu
Далее
VIJUE VIFURUSHI  VYA BIMA YA AFYA
13:34
Просмотров 4 тыс.
JE  USAJILI WATOTO KWENYE BIMA YA AFYA UMEONDOLEWA?
8:52
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
Просмотров 2,8 млн
Я ПОКУПАЮ НОВУЮ ТАЧКУ - МЕЧТУ!
39:05
Выпускаем трек? #iribaby
00:14
Просмотров 378 тыс.
NHIF INAVYOSOGEZA HUDUMA KWA WANANCHI
14:00
NHIF YAENDELEA KUWASOGEZEA HUDUMA WANANCHI
7:42
FAIDA ZA MAKUBALIANO BAINA YA ZHSF NA NHIF
14:56
FAHAMU KUHUSU KIKOKOTOO KIPYA SEHEMU YA KWANZA
14:16
Приятного аппетита 🤣
0:15
Просмотров 8 млн
настоящий чемпион
0:59
Просмотров 2,4 млн