Nakemea vikali jaribio hili lkn mungu mpe ushindi Trump ili akomboe vurugu za Aina hii zisijitokeze tena duniani mungu hupanga hupanga ushindi sio mauaji ya yule atakae shinda kwa kuchaguliwa na mungu kama Trump
Please please SNS na dj smaa na brothers wengine hapo studio shalom/bwana yesu asifiwe, Aisee brothers tunahitaji uchambuzi wa mahojiano aliyo fanyiwa yule kijana Joshua okayo raisi wa baraza la wanafunzi chuo cha KSL, mahojiano aliyofanyiwa na kituo cha NTV, baada ya kutekwa na kupatikana. Please please hile interview inavitu Naona Ndani yake. Please please.
Biden hawez hiyo ingeongeza asilimia za yeye kushindwa, marekani inamatajiri wengi ambao Trump akipita atawabana Sana ko hapo kunakamchezo Biden anaweza asihusike kabisa
Siasa za kichovu zinaelekea kujirudia huko marekani. Mfano mzuri uko wapi iwapo taifa kubwa kama marekani linaendeleza siasa chovu. Tupigane kwa hoja kwa faida ya maendeleo ya watu pamoja na taifa. Ukiona kiongozi anatumia mtutu wa bunduki ujue hakubaliki na ni fisadi katika taifa husika.
Mbona hawaoni kama Palestine watoto na wakubwa.., huyo trump ndo wamemuona mtu kuliko maelfu ya watu wanaouliwa kisa kugombea nchi yao🙄ALLAH atawashinda yaa Rabbi 🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤲🏼