NGUMI IMENYOOKA | Fadhili Majiha amefanikiwa kutetea mkanda wake wa WBC Afrika kwa ushindi wa pointi dhidi ya Sabelo Ngebinyana kutoka Afrika Kusini.
Ni kwenye Usiku wa Vitasa, 'Ngumi Imenyooka Season 2', New City Pub, Mbeya.
#Vitasa #UsikuWaVitasa #NgumiImenyooka #ChoraMstari #VitasaNight #NgumiJiwe #FadhiliMajiha #SabeloNgeminyana
14 окт 2024