Тёмный

VITASA | Nginjanginja za Fadhili Majiha dhidi ya Sabelo Ngebinyana - NGUMI IMENYOOKA 20/07/2024 

Azam TV
Подписаться 2,8 млн
Просмотров 25 тыс.
50% 1

NGUMI IMENYOOKA | Fadhili Majiha amefanikiwa kutetea mkanda wake wa WBC Afrika kwa ushindi wa pointi dhidi ya Sabelo Ngebinyana kutoka Afrika Kusini.
Ni kwenye Usiku wa Vitasa, 'Ngumi Imenyooka Season 2', New City Pub, Mbeya.
#Vitasa #UsikuWaVitasa #NgumiImenyooka #ChoraMstari #VitasaNight #NgumiJiwe #FadhiliMajiha #SabeloNgeminyana

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 57   
@Yassin-z6o
@Yassin-z6o Месяц назад
Nimempenda huyo dada. Anachambuwa ngumi vizuri
@Hamisi-ol1nf
@Hamisi-ol1nf 2 месяца назад
Fadhili nakukubali sana mwanangu mungu akuzidishie hekima😊
@abdalasambe4005
@abdalasambe4005 2 месяца назад
Aah majiha ni bondia mzur uwezo wake unaonekana lakin anakosa baadhi ya mambo muhim Anahitaji kocha mzur Hongera kwa ushindi Mwakinyo is best and very skilled
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 2 месяца назад
Uyu dogo apambana mwakinyo tu , kwanza ana pumzi ya mbwa , noma sanaaaaaaa
@JosephevansLyimoo
@JosephevansLyimoo 2 месяца назад
Like za champion 🏆 majiha
@chisongastephen7299
@chisongastephen7299 2 месяца назад
Majiha hayupo makini sana kwenye upiganaji wake.Amekutana na Sabelo ambaye ni fala tu
@IssaMbaga
@IssaMbaga 2 месяца назад
Saf sana fadhili majiha kiwango kizur sn paka uko vzr sn unajua kufunga njia kwel kwel iyoo boxing umemka mkanyagia kwel
@Yassin-z6o
@Yassin-z6o Месяц назад
Huyu bondia hakuwa sawa. Ngumi zilikuwa zinafika ila hazikuwa na nguvu
@MwazoaMwazoa
@MwazoaMwazoa 2 месяца назад
Hii ndio Tofauti ya mabondia wakali na wakubwa kama fadhili na chipukizi wetu.Watoto wasichoke kujifunza kwa waliowatangulia.Kama kweli una Ari kutaka maendeleo.Ungetaka ushauri kwa wenye matangulio.
@Wahidabdul-xb2pq
@Wahidabdul-xb2pq 2 месяца назад
majiha ataftiw koch mzur zaid
@IddyDaruweshi-jv1fu
@IddyDaruweshi-jv1fu 2 месяца назад
ALAFU ACHENI MANENO MBOFU MBOFU HIVI MAJIHA APIGANE NA CHAMPEZ KWELI AU LAWAMA TU. PUNGUZENI USHAMBA CHAMPEZ NI MMOJA TU HAPA TANZANIA
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 2 месяца назад
Wewe angalia rank, tanzania hakuna bondia anaemfikia majiha hayupo
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 2 месяца назад
majiha ana nyota nne na nusu hakuna bondia anaemfikia huyu, angalia game na pongani huyo hassan mmpeni pongani muone kama hajakaa
@KelvinJoseph-ix9wd
@KelvinJoseph-ix9wd 2 месяца назад
Majiha n bondia mzur lkn sio skilled boxer na wengne wote ndyo maan wakienda nje wanapigwa .... Na skills znafundishwa na trainer mda gan uwe offesnve mda gan uwe defensive na jinsi ya kuswitch ili uweze kushinda pambano pia shidah ambayo mabondia karbia wote wa bongo wanakwama n finishing ... Boxer ameshapigwa sawa lkn je kumalza pambano hawajui wengi wanaend enda tu na wengne unakuta wanapigwa badala ya kumalza
@BarnabasFabiani
@BarnabasFabiani 2 месяца назад
Kaka tu enda nje hatupigwi ila kuna mipango ambayo ina tengenezwa na wazungu ili ww upoteze
@sheyosquad5755
@sheyosquad5755 2 месяца назад
Majiha yuko vizuri..apigane na bwanga
@MwazoaMwazoa
@MwazoaMwazoa 2 месяца назад
Bondia mkongwe anawekwa fit tu kisha anapelekwa ulingoni.Mavirigiza ya Ulingo anayafanya mwenyewe.ila tuna tatizo kubwa sana nchini ya Mabondia wetu kutokua na Target.ngumi nyingi sana zinapotea hewani.Hata hivyo hongera sana kwa ushindi mkongwe.Ushauri tu msiwapende sana mabondia wa South Africa kwa sababu viongozi wa mikanda mnayochezea wanatamani Boxers wao wapande kupitia fight zetu.Ndio maana yupo Boxer wetu Anyan,ganywe ubingwa Airport.Ndio maana huyo Amekaa kwa ngumi na anagusa capert kisha anaambiwa kateleza
@mtengwadj9390
@mtengwadj9390 2 месяца назад
champion
@mcnjovu3525
@mcnjovu3525 2 месяца назад
Hapoo mbeya wanapoozwa na kabaridi ka mbeya ndo maana walipiga show kweli kweli nockdown hiyooooo
@mindicarrashid3131
@mindicarrashid3131 2 месяца назад
Majiha apewe pialali, tuone nani nani
@KelvinJoseph-ix9wd
@KelvinJoseph-ix9wd 2 месяца назад
Bongo boxer wapo lakin trainer hakuna .... Boxer wengi wanapigana kutokan na akili zao tu zinavyowatuma lkn coner zao hazina msaada .... Hvo unakuta bondia akikutan na boxer mwngne ambae akawez kumsoma vzur bondia anashindwa kubadlka na kujua nin afanye
@SaidiYahya-t1c
@SaidiYahya-t1c 2 месяца назад
Sijaona ngumi za ufundi ni mikota kota tu
@AllyAmour-nu1js
@AllyAmour-nu1js 2 месяца назад
🎉
@HamadBashir-bs5wo
@HamadBashir-bs5wo 2 месяца назад
Maiti imekatalia muoshaji 😂😂😂
@HamzaMakame-vm2tm
@HamzaMakame-vm2tm 2 месяца назад
Jaaman niwaulize huyu sindo yule alopigana na mwakinyo alopigwa knockout
@allymwachipanga2486
@allymwachipanga2486 2 месяца назад
Kwani mpk muoge ulingoni?
@mwarashakassim7381
@mwarashakassim7381 2 месяца назад
Mnaleta mabondia wabovuili muwapige aiwezekani kilasiku sabelo mnatuletea walevi ili mshinde
@BarnabasFabiani
@BarnabasFabiani 2 месяца назад
Mlete mama yako mkwee nipande nao ngumi sio kama unavyo amini wewe ina itaji kujifunza na kuelewa huu mchezo
@MapeneMoshi-r2k
@MapeneMoshi-r2k 2 месяца назад
Dada mchambuzi roho mbaya hiyo unataka majiha aongeze pawa kwenye kugonga inamana hiyo bado haitoshi?
@allymwachipanga2486
@allymwachipanga2486 2 месяца назад
Huyu majiha akikutanishwa na haidary mchanjo au mchanja yohana atapigwa sana
@BakariHelefu
@BakariHelefu 2 месяца назад
Kazi yenu kuletewa mabondia viazi ili muwachape kizembe😂
@RoseSehodi
@RoseSehodi 2 месяца назад
Amna bondi wakumpiga magia Africa
@careemissa2502
@careemissa2502 2 месяца назад
Huyu majiha ana pumzi sana ila hana skilis za ngumi akikutana na mtu kamaa saidi bwanga au salimu mtango km uzito wao n sawa anakaaa wale madogo wanajua ngumi bwana
@christophermgifi2026
@christophermgifi2026 2 месяца назад
Kweli kabisa
@aishakhalifan4960
@aishakhalifan4960 2 месяца назад
Said mbwanga ana skill gani
@nuhhumwakanyamale4771
@nuhhumwakanyamale4771 2 месяца назад
Acheni upuuzi kilasiku ulingo unamaji yaani mnaandaa pambano afu mshindwe kumlipa mtu wa kufuta hayo maji apo, au mpaka cku bondia avunjuke mguu?. 😟
@FatimaFati-pu4lb
@FatimaFati-pu4lb 2 месяца назад
Hakupashwa atetee mkanda na sabelo ilitakia aletee bondia mkali fadhili ni bondia mkali sana nampenda lakin hapa huyu sia tep yake
@KhamisiMohamed
@KhamisiMohamed 2 месяца назад
Boss wa ule mkanda ni msouth Kwa iyo lazima majiha akiutetea boss aninilishe anayepigana naye bondia Bora
@CharlesNestor-j6n
@CharlesNestor-j6n Месяц назад
Unasema sio typ yake wakati kavuka round 7
@henrysangiwa1731
@henrysangiwa1731 2 месяца назад
Majiha akamkande mwakinyo aache mbwembwe, alafu watangazaji wa matokeo dahhh huwa wanaboa wajifunze kutoka kwa wenzetu sentence chache tu Tanzanza mshindi refa keshanyoosha wewe bado unavuta and theeeeeee winnaaaaaaaaaaaaaaaa, thethaaaaaaaaaaaaa😅😅😅😅😅fazzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz mpaka mic inatetemeka
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp 2 месяца назад
Nani kasikia wimbo wa taifa ni Sawa na south africa 🇿🇦 sounds
@nuhhumwakanyamale4771
@nuhhumwakanyamale4771 2 месяца назад
Hongera kwa kujua leo
@japharythabiti8762
@japharythabiti8762 2 месяца назад
Nyimbo zote za Taifa Africa beat linafanana
@sheyosquad5755
@sheyosquad5755 2 месяца назад
MAJIHA VS BWANGA
@FatimaFati-pu4lb
@FatimaFati-pu4lb 2 месяца назад
Huyu sio levo yake fadhili afadhali angepigana na mwakinyo mara 💯💯
@maalimseifk-gumuadui123
@maalimseifk-gumuadui123 2 месяца назад
Duuuuh….🤔,kitu gani hicho umeandika aseeee😮
@KelvinJoseph-ix9wd
@KelvinJoseph-ix9wd 2 месяца назад
An super bantam weight apigane na middle weight 😂😂😂 Aya bhn
@maalimseifk-gumuadui123
@maalimseifk-gumuadui123 2 месяца назад
Yan 55kg na 72kg wapigane 🤔
@abelmwakipesile9868
@abelmwakipesile9868 2 месяца назад
Shabaki maandaz
@MussacharlesSongo
@MussacharlesSongo 2 месяца назад
Unagonwa
@josephminja7953
@josephminja7953 2 месяца назад
Amewtahili
@MapeneMoshi-r2k
@MapeneMoshi-r2k 2 месяца назад
Sabero kayatimba
@AthumaniLenadi
@AthumaniLenadi 2 месяца назад
Mnatak mwakinyo afie ulingoni nin
@ShannyBrowntz
@ShannyBrowntz 2 месяца назад
Mwakinyo mwehuuu tuuu Mwakinyo awezii kufika kiwango cha Majia hata Nusu
@SadickHusein
@SadickHusein 2 месяца назад
We kiazi kweli yan
@MapeneMoshi-r2k
@MapeneMoshi-r2k 2 месяца назад
Dada mchambuzi roho mbaya hiyo unataka majiha aongeze pawa kwenye kugonga inamana hiyo bado haitoshi?
Далее
小丑调戏黑天使的后果#short #angel #clown
00:16
FULL FIGHT! Ben Whittaker vs Ezra Arenyeka
37:45
Просмотров 3,7 млн
MAUMIVU [5]
21:36
Просмотров 1,8 тыс.
MASAI APAGAWA NA YANGA | NG'OMBE WANGU NAWAPA YANGA
14:25