Tazama mambo yalivyokuwa kwenye pambano kuu kwenye usiku wa VIP Boxing Night kati ya Mtanzania, Ibrahim Mafia dhidi ya Sabelo Ngebinyana.
Ni pambano la mkanda wa ubingwa wa Afrika wa WBC. Matokeo katika pambano hilo ni droo.
Bondia Sabelo Ngebinyana atema 'mchuzi'
13 сен 2024