Тёмный

PROF. TIBAIJUKA: NINA DEGREE 15 | MIKATABA INAYOFICHWA MIBOVU | TOFAUTI YA GEN Z WA TZ NA KENYA.. 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 83 тыс.
50% 1

Aliwahi kuwa Mbunge wa Muleba Kusini, Mkoani Kagera nafasi aliyoipa kisogo Mwaka 2020, Aliwahi kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, na Kwa Sasa ana Degree za Heshima 12.
Hayo niliyokuonjesha kidogo ni Katika mengi ambayo ni mapito ya Profesa Anna Kajumlo Tibaijuka, najua unashauku ya kujua mengi kumhusu yeye.
Kwenye kwenye #PBCloudsFM kutokea Nyumbani kwake Mikocheni , Jijini Dar es salaam tutakuwa naye Profesa Anna Kajumlo Tibaijuka

Опубликовано:

 

20 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 417   
@ramadhandaudaramadhan816
@ramadhandaudaramadhan816 22 дня назад
Utakumbukwa vizazi na vizazi prof tibaijuka ❤❤ nakupenda sana mama
@YunusuKantangayo
@YunusuKantangayo 2 месяца назад
Mpendwa wetu Mh Tibaijuka kusema kweli Ulitujali sana pale ulipokuwa Mbunge ulikuwa hubagui ulimsikiliza kila mtu bila kujali ni tajiri au maskini mama tunakumbuka na umetusaidia sana Mungu akuzidishie akupe Maisha marefu Amina
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 2 месяца назад
Hongera sana mama Anna Tibaijuka, wewe ni mmoja wa wamama ninaowapenda sana unajitambua sana! Vijana hasa wa kike waige mfano wako mzuri mama mpambanaji. Asante sana.
@Rajabuhamisi
@Rajabuhamisi 2 месяца назад
Very insightful interview!!! Namkubali sana Professor Tibaijuka. Very honest and knowledgeable Professor. Alipikwa vyema sana Sweden
@alsam4881
@alsam4881 2 месяца назад
Mmesahau Sakata la Tegeta Escrow la sh. 1.6 billion na ndiyo akavuliwa uwaziri?
@rabsonnamtwanga207
@rabsonnamtwanga207 26 дней назад
Prof. A. Tibaijuka has remained being my very favorite leader she is Sincere on what she says, I wish our leaders especially top leaders who looks to fall short of knowledge and wisdom could gain wisdom and knowledge from her. Live long prof.
@EddoFelson
@EddoFelson 2 месяца назад
Huyo mtangazaji Siza anapenda kumkatisha prof, uwe unatulia basi
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 2 месяца назад
Mama kaongea ukweli sana. Machars mmesikia?
@dismasvalentine9633
@dismasvalentine9633 2 месяца назад
Kweli aisee,huyu mtangazaji anatunyima uhondo.huyu Mama yupo nondo sana.
@dismasvalentine9633
@dismasvalentine9633 2 месяца назад
Safi sana Mama.
@cletkwai4228
@cletkwai4228 2 месяца назад
Kweli huyu Kijana anaharibu interview.​@@dismasvalentine9633
@abrahamdaniel241
@abrahamdaniel241 2 месяца назад
😊​@@dismasvalentine9633
@izamahmasaki4795
@izamahmasaki4795 2 месяца назад
Naipongeza crew mzima ya cloud fm iliyo vyoshiriki kumhoji na kuongea na mama Tibaijuka ,Maswali yote ulikuwa ya msingi na mengi yalizingatia utaifa na uzalengdo ,,❤ GBY CLOUD CREW.
@peterbalyagati7834
@peterbalyagati7834 2 месяца назад
Mimi nakukubali sana, prof kwa kusimamia ukweli mara zote
@stanymccary7136
@stanymccary7136 2 месяца назад
Interview za Prof. Tibaijuka zinakuwaga na viewers nyingi sana uyu mama ni kati ya wasome wazuri sana nchini
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 2 месяца назад
Sio msomi tu anamaarifa makubwa nje ya usomi wake
@ernestmatimba9964
@ernestmatimba9964 2 месяца назад
Kwa bahati mbaya Tanzania hawampi nafasi. Ni miongoni mwa Top 10
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 2 месяца назад
Tanzania ukisema ukweli kwajili ya kutetea watanzani bas jua imepoteza sifa kwaboda wako kszini
@tanzaniasociallightfoundat9053
@tanzaniasociallightfoundat9053 2 месяца назад
HAKIKA KABISAA HUYU MAMA NI MSOMI MZURI SANA.
@emmanueltillya2017
@emmanueltillya2017 2 месяца назад
Huyu ndio mwana CCM mwenye msimamo.ni professor anaejiamini.big up kwako professor.ametangaza rasmi mikataba ni mibovu ndio maana haipelekwi bungeni.na watawala wamekua kimya hawajamjibu kwa sababu ukweli wa hiyo mikataba wanaijua wao.haya mjibuni professor
@ramadhandaudaramadhan816
@ramadhandaudaramadhan816 22 дня назад
Na kuongezea amesema anae pinga aje adharani 😂😂😂
@ludeelectronics
@ludeelectronics 2 месяца назад
This is my real Boss. I appreciate you Prof Ana u deserve what you have
@lusubilomwaisunga3893
@lusubilomwaisunga3893 2 месяца назад
Nakupenda Sana Prof.ulinipokea vizuri Sana muleba kipindi chose nilichokuwa muleba nilipata maarjfa mention Sana toka kwako. mungu akuweke Dada yangu
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 2 месяца назад
In 1993 Convocation of the University of Dar-es-Salaam,I happened to meet the lady while facilitating the economic agenda of the regional activities as part of her input from her experience in economic research of the country.I admired her intellectual resources.God bless her life.
@BernadethaMihele
@BernadethaMihele 2 месяца назад
Uko juu mama .mungu akupe maisha marefu.
@rosembwambo6079
@rosembwambo6079 2 месяца назад
Kwa kweli mama Mungu amemjaalia ..msomi mzuri na makini...Mungu ampe maisha ya amani na marefu...Ameen
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 2 месяца назад
Asante saaana mamangu kwaushauri wako mzuri mwenyezi mungu akuogezee maisha marefe
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 2 месяца назад
Mama Profesa uko vizuri sana tena ingefaa uwe kiongozi wa pekee kuwaelimisha wananchi na wanasiasa. Kuna waioelewa na kuna wanaoelewa lakini wanaharibu makusudi kutokana na vyeo na vyeo hivyo kikubwa maslahi ya binafsi. Mama msomi saidia nchi yako maana usomi wako ukiutumia vizuri utabarikiwa na hiyo ni njia ya kufika mbingini. Viongozi wengi wanatafuta maisha yao binafsi akili zao zinawaza madaraka napesa hivyo kuelewa ni kugumu. Wasiolewa waelimishwe.
@PeterMsuka
@PeterMsuka 21 день назад
Hongera mama kwaujasili wakuzungumza ukweli ndani yaselikali yetu
@justinmashala6944
@justinmashala6944 2 месяца назад
Prof. Nimekuelewa sana hasa kwenye hoja wamasai pamoja na uhifadhi ..
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 2 месяца назад
Yaani mkiisha kuondoka madarakani.. Mnakuwa watu wazuri sana.. Hongera professor
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 2 месяца назад
🇹🇿Yeah !Huyu mama ❤Tibaijuka ni❤ hazina ya Tanzania.
@patrickmbogo3029
@patrickmbogo3029 2 месяца назад
She's a straight talker, whether your like or not .Great leadership during her stint at UN Habitats in Nairobi. Loved by Kenyans
@salesiomweda1747
@salesiomweda1747 2 месяца назад
Muito obrigado mãe, foi uma grande aula, aprendi muito com essa aula
@emmanuelmalongoza1496
@emmanuelmalongoza1496 2 месяца назад
The best interview I have ever heard.
@joshuamwalusambo2391
@joshuamwalusambo2391 2 месяца назад
Mbadilike kusumbua waheshimiwa na hayo ma Mike ya kizamani
@NicodemusNkiami
@NicodemusNkiami 2 месяца назад
Mama upo juu sana big up unajua kutumia taaluma yako na unajiani safi sana. Mifumo mibovu inawatega wasomi wasiojiamini na maisha na kukosa uzalendo.
@stn4873
@stn4873 2 месяца назад
Ila pale jangwani aisee kweli walio idhinisha pale kituo kijengwe ni 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@alexmakomere6693
@alexmakomere6693 2 месяца назад
We love you mom...God bless you, Nairobi.
@mickymbano390
@mickymbano390 2 месяца назад
Moja ya interview bora sana
@izamahmasaki4795
@izamahmasaki4795 2 месяца назад
Professor your right ,mikataba yote inayofichwa ni ni batili na inahujumu nchi.
@injilinjeyakutazakanisa
@injilinjeyakutazakanisa 2 месяца назад
Barikiwa sana Prof. Tibaijuka, well said Mama. Nakupenda na Yehova akuweke
@benswai8099
@benswai8099 16 дней назад
Sisi ni mbumbumbu na tunapenda umbumbumbu. Pole sana mama msomi. Tunajua tunavyokuudhi
@tandesanga4195
@tandesanga4195 2 месяца назад
Ubarikiwe Prof Tiba
@cnkinternational4548
@cnkinternational4548 2 месяца назад
Nakutakia maisha marefu tuzidi kuvuna maarifa.
@MargaretLuseko
@MargaretLuseko 2 месяца назад
I can listen to her all day 🙏🏾
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 2 месяца назад
Mama very professional 👍👍👍👍
@ibrahimobedi4498
@ibrahimobedi4498 2 месяца назад
Mtangazaji wakiume Tatizo ana anamapepe atoi nafasi ya Proff kumaliza maneno
@frenkmbepera6095
@frenkmbepera6095 2 месяца назад
Uko vizuri prof
@JasonRuhangisa
@JasonRuhangisa 2 месяца назад
Ni bahati mbaya sana kuona watu km Prof Tibaijuka au Prof Joyce Ndalichako, hawako kwenye nafasi muhimu zaidi za kutusaidia..!
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 2 месяца назад
Big up kwa wazigua kwenye kueneza Kiswahili
@lavidamoconsultancy3012
@lavidamoconsultancy3012 2 месяца назад
SALAMU DADA YANGU PROFESA ANNA TIBAIJUKA, ASANTE SANA KWA MAELEZO MAZURI NA HISTORIA HALISI... LAKINI NAPENDDA TU NIKUSAHIHISHE KWA JAMBO MOJA : INCHI YA KONGO ( DRC LEO ) HAIJAWAYI KUWA KOLONI LA MJERMANI, ILIKUWA KOLONI LA UBELJIJI.... KOLONI ZA MJERMANI KABLA YA VITA YA KWANZA YA DUNIA ZILIKUWA : TANGANYIKA, RWANDA, BURUNDI, NAMIBIA, CAMEROUN...........
@tgeofrey
@tgeofrey 2 месяца назад
Leopardville
@JuliasSambia
@JuliasSambia 2 месяца назад
wa congo mnachelewa kuelewa
@anthonykawamala1572
@anthonykawamala1572 Месяц назад
I always admire you mkaile
@htx1873
@htx1873 2 месяца назад
I love her , she is very intelligent woman
@Geofrey-k3g
@Geofrey-k3g 2 месяца назад
Hongera sana prof
@makumbushoHub
@makumbushoHub 2 месяца назад
Kaka Kaizari, wakati mwingine jitahidi kitambua uwepo wa mwenzako. Umemfanya mtangazaji mwenzako kuwa backup yako. Yani ninafuatilia mahojiano huku ninahuzunika kwa mtangazaji mmoja kidominate. Siyo vizuri.
@BabaFarzan-ml4er
@BabaFarzan-ml4er 2 месяца назад
Huyo Siza ni mpuuzi sana
@rithersospeterkati3355
@rithersospeterkati3355 2 месяца назад
ONGERA MM TIBAIJUKA. ❤❤❤❤🇸🇪🇸🇪🇹🇿🇹🇿 MUNGU JEHOVA HAKULINDE.
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 2 месяца назад
Asante mama Ujumbe umewafikia
@ibrahimusanga1269
@ibrahimusanga1269 2 месяца назад
Prof kwa Habari ya mikataba nimekuelewa safi sana
@TheresiaakaroAkaro
@TheresiaakaroAkaro 2 месяца назад
mama upovizuri sana mungu akubariki
@andrewmaiga4331
@andrewmaiga4331 2 месяца назад
Safi sana mama Tobaijuka
@EdwigaMkenda
@EdwigaMkenda 2 месяца назад
Mimi ninakutafuta sana mama Anna Tibaijuka.
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 месяца назад
Mother anakichwa kizuri sana huyu "so bright"
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 месяца назад
Iwe heri kwako mama Tibaijuka
@Mzalendo01
@Mzalendo01 2 месяца назад
Knowledge is power, 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
@gwantwamwalyaje8515
@gwantwamwalyaje8515 2 месяца назад
Uko Vizuri Sana Tibaijuka
@crelincharles9358
@crelincharles9358 Месяц назад
She is highly like my mother daah uwa nikikuangalia namuona mama angu
@samsonyuves7923
@samsonyuves7923 2 месяца назад
Kunongona😂😂😂😂 nimekupenda sana mama
@KariakooSpareParts
@KariakooSpareParts 2 месяца назад
Huyu mama angefaa kuwa Raisi wa kwanza mwanamke ni mchumi na anamipango mikubwa anaondoka na mambo hayo mazuri kichwani kwake Angepewa hata miaka mitano tu Mama Tia nia 2025
@ustawiwetu
@ustawiwetu 2 месяца назад
Kabisa, Samia minne inatosha
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 2 месяца назад
Unamjua eeh
@VivianiKessy
@VivianiKessy 2 месяца назад
Sana yuko vzr
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 2 месяца назад
Apewe nafasi gani zaidi ya alizopewa....
@abdulomari4932
@abdulomari4932 2 месяца назад
Angekuiba mpaka wewe
@DaudiMwangati-id1tk
@DaudiMwangati-id1tk 2 месяца назад
Uko vizuri mama .
@JosephOlomi
@JosephOlomi 2 месяца назад
very positive interview
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 2 месяца назад
Uyu mama mi nampenda sana anauwezo wa kupambanua mambo
@noelnoel4916
@noelnoel4916 2 месяца назад
Huyu mama kiongozi Mimi nampendaga sana, siku moja naomba nimshike Mkono wa heshima
@JohnShitindi-zf1xz
@JohnShitindi-zf1xz 2 месяца назад
Mama Yuko vizuri sana
@mariamihanjo969
@mariamihanjo969 2 месяца назад
Nimekuelewa sana mama
@peterjovit7342
@peterjovit7342 2 месяца назад
Sawa Prof
@babuufesto754
@babuufesto754 2 месяца назад
Huyu mama ni Hip Hop 100% kinyama. Jah ambless miaka mia...!
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 2 месяца назад
Huyu Mama Tibaijuka haogopagi kuongea lolote huyu ,,ana misimamo Mpina haingii humu🎉
@festomapanga4720
@festomapanga4720 2 месяца назад
Mama kanyooka sana
@SamiirrRamadhan-s5l
@SamiirrRamadhan-s5l 2 месяца назад
Wewe nae mpina kaingiaje hapa kinacho endelea hapa ni mahijiano ya mama tibaijuka mpina hapa hayupo kama unaitaji comment zinazo mhusu mpina nenda kwenye interview zinazo mhusu mueshimiwa mpina
@EsterKiyabo
@EsterKiyabo 2 месяца назад
Mmmhh Mpina! Mpina ni namba nyingine bwana,labda sema anamzidi digrii tu
@PoulFred
@PoulFred 2 месяца назад
Sasa mpina haingii humu kivipi yaani unamanisha?Sasa wew unaingia wapi shenz
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 2 месяца назад
@@PoulFred ndo maana mamako alifirwa ukapatikana ww..Nguruwe wa kienyeji ww...mpaka uparamie comment yangu wapi nilitukana au kutoa lugha mbaya?? Firaun ww ulojawa laana ,usirudie kutukana watu Nguruwe ww
@mollelMeroy
@mollelMeroy 2 месяца назад
Hongera Sana mama yangu
@RyobaMasubo
@RyobaMasubo 2 месяца назад
Wanalinda Ajira hawafanyi kazi
@PULKERIAIZIDORY
@PULKERIAIZIDORY 2 месяца назад
Hakika huyu mama ni muwazi sana na anasemaga ukweli tofauti na viongozi wengine
@godfreymrosso2051
@godfreymrosso2051 2 месяца назад
nawapongeza waandishi ila huyo kaka awe anatoa nafasi kwa prof kuzungumza anamkatisha kila wakati naona haijakaa sawa next time atoe room
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
mama kamaliza chief God love apewe Degree yake
@EstherYoram
@EstherYoram 2 месяца назад
Kutojua Sheria hakukufanyi uvunje Sheria
@MuzniSaidi
@MuzniSaidi Месяц назад
Alhamdulilah
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
I can't wait kikeke kumuhoji huyu mama ambae ni Tunu yetu ya taifa.
@richardfina7222
@richardfina7222 2 месяца назад
Upo vizuri
@seneu.2128
@seneu.2128 2 месяца назад
Prof. Anna Tibaijuka ana sifa lukuki zakuwa Rais wa tz kama kweli tutaongozwa na mwanamke 2025 mpaka 2030 nchi yetu ingekuwa salama na maendeleo ya kweli zaidi chini ya prof. Kuliko ilivyo maana huyu ana uzoefu mkubwa anajua Kila idara ya serikali, ana uzoefu wa mambo ya kimataifa ni msomi wa Hali ya juu kabisa, lakini kama mnavyojua Rais atachaguliwa kwa uchawa wa CCM na tutaendelea kumpoteza rasilimali za nchi yetu zaid na zaid
@Alphonce223
@Alphonce223 2 месяца назад
Mama unahakiri sana nyinyi ndio watu mliyopewa karama
@rwakyenderajulius3861
@rwakyenderajulius3861 2 месяца назад
Nakumbuka kuna siku ulinishauri nisimpeleke binti yangu kwenye shule isiyo ya kiwango bora, hongera.
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 2 месяца назад
Hawa ndo wanafaaa kuwa wakuuu wa Nchi sasa
@TeklaNkwaju
@TeklaNkwaju 2 месяца назад
Nakupendaga mama
@CharlesGilbert-w8t
@CharlesGilbert-w8t 2 месяца назад
Very nice
@sembamaneke6553
@sembamaneke6553 2 месяца назад
Safi sanaaaaaa
@MehmetMtonga
@MehmetMtonga 2 месяца назад
Congratulations mother
@AlenKinyina
@AlenKinyina 2 месяца назад
Mimi nakukubali sana professor, we ni role model wengi, scandal ni vita ya kawaida katika siasa
@deogratiasrugaba9271
@deogratiasrugaba9271 2 месяца назад
Wewe ni hazina ya maarifa. Ni zawadi na rejea ya muhimu ( library) iliyo hai. Jamani Tanzania Mwenyezi Mungu atupe nini kama hatuwatumii watu wa aina hii ambao tunao wa kutosha? Tukumbuke siku wakimaliza safari zao itakuwa kama kuungua kwa library na hazina yote iliyomo tutapata wapi mwendelezo wa hizi hazina? Jamani ni high time tuanzishe utamaduni wa kuheshimu hawa watu wenye hazina za taifa na maono na kuwatumia kurithisha kizazi kinachofuata. Library zilindwe historia isije kutuhukumu kwamba tulizichoma kwa kutozitumia zilipokuwa available.... @ DEOGRATIAS JOHN RUGABA
@mpefu_4936
@mpefu_4936 2 месяца назад
Mmhongeraaaaaaaaa sana
@mollelMeroy
@mollelMeroy 2 месяца назад
Hongera sana mama yangu!
@stevinmwanzaa1785
@stevinmwanzaa1785 2 месяца назад
Uyu mama ni muelewa sana anatakiwa awe kiongozi
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 месяца назад
Kweli mama hapa wanatoa habari zilizo chujwa kulinda CCM na viongozi wake. Lakini hata Waziri alitudanganya kuwa hakitaendelea lakini mpaka leo kinachoendelea kuendeshwa. Kwa nini Waziri alituongopea? Wakati alikuwa anajua kabisa kuwa kitaendelea na kinachoendelea mpaka sasa hivi si hata Raisi amesema kuwa atakuwa chura yaani atafunga mudomo.
@RenatusMatungwa-o7c
@RenatusMatungwa-o7c 2 месяца назад
Mama Tibaijuka
@karushakamusa5525
@karushakamusa5525 2 месяца назад
Safi mama kajumuro
@MartinLilenga
@MartinLilenga 2 месяца назад
Mama tibaijuka we ni kichwa
@maisha24TV
@maisha24TV 2 месяца назад
Nimekukubali sana Prof. Tibaijuka. Na mimi nipo nyuma yako huku msomi mwingine😂
@richardmaxwell3991
@richardmaxwell3991 Месяц назад
Professor anafunguka sana, Tawala watamuona adui kama wanavyompinga Mpina
@GrceLaurentkaboigora
@GrceLaurentkaboigora 2 месяца назад
Pole ulikuwa unapambana na kigamboni na na jamaa anapambana na furusa
@samiathmussa2091
@samiathmussa2091 2 месяца назад
Mama, mlezi na msimamizi pia.
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 2 месяца назад
WAAOOOO MAMA❤❤❤❤❤❤❤
@Gilbert-w9e
@Gilbert-w9e 2 месяца назад
moja ya mahojiano bora kabisa ya weredi na bashasha Great!!!
@michaelmosses7025
@michaelmosses7025 2 месяца назад
Siku nyingine mkiita wasomi kwenye Interview au watu wenye wadhifa mic ziwe za kuvaa tafadhali clouds media kubwa sana hiyo'
@makanjicharles9860
@makanjicharles9860 2 месяца назад
kabisa aya mamb yakumshksha maiki masaaa mawili mtu wa hadhi n mamb yakisahamba
@SamiirrRamadhan-s5l
@SamiirrRamadhan-s5l 2 месяца назад
Saluti mama kichwa chako bado kipo imala pamoja na uzee wako ila bado madini unayo salut kwako
Далее