Dah hawa jamaa walibeba sana Sanaa ya zanzibar wakati wa utoto wetu ilikuwa hatuwezi kuwakosa Na walikuwa mastar as kweli lakini sidhani kama wana mafanikio katika kazi hii serekali ilitakiwa kuwaenzi wasani hawa kwa memory’s Na kufanya hata utalii kupitia wao
ZBC hizi flam mbona hamuziweki hizi ndizo hazina za kwetu hebu angaliyeni saaahivi watoto wote wameharibika kwa kuangaliya flam za Ki Magharib,Watoto Wote waliyowahi kuangaliya Flam hizi huko nyuma wengi wao wananheshma na Maadili mazur ila sio wa Sasa waliozoweya Flam za kibongo na Kikoreya.