Тёмный

VITUKO VYA MUGABE NI AIBU NA USHUJAA !!! 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 804 тыс.
50% 1

#Thestorybook Simulizi ya Maisha ya Raisi wa Kwanza wa Zambia Robert Mugabe.

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 573   
@nancykaona2054
@nancykaona2054 5 лет назад
Asante sana mtiga . Sikuwa najua nimemezeshwa ujinga na wazungu.ilove you mugabe
@cruzzymsomalitm7676
@cruzzymsomalitm7676 5 лет назад
😂😂😂😂 Mugabe ni konki 🔥fireeeeee kama tunao mkubali mugabe tujuane kwa kulike
@rkplatnumzplatnumz4603
@rkplatnumzplatnumz4603 5 лет назад
Cruzzy MsomaliTM kweli mgabe noma
@theafricanprincevivecongo8632
@theafricanprincevivecongo8632 5 лет назад
Cruzzy MsomaliTM mim
@htwwkha2179
@htwwkha2179 5 лет назад
Mugabe chuma
@denismtoma566
@denismtoma566 4 года назад
Jembe letu
@azizawadh5973
@azizawadh5973 4 года назад
Kawaachaje zimbabwe
@ahmedshaban9111
@ahmedshaban9111 5 лет назад
Sifumbi macho kwenye kujifunza You are the best Mtiga
@geofreymsengi9971
@geofreymsengi9971 4 года назад
Upo vizur kaka unajua kuadithia yaan nasikiliza hata sichoki Nice work bro
@ceciliamatumla5939
@ceciliamatumla5939 5 лет назад
Nilikua namkubali mno huyu mzee nilikua nampenda jmn rest in paradise Mugabe😥😥
@Greatnessfxx
@Greatnessfxx 5 лет назад
Mambo bibie
@munirhemed6212
@munirhemed6212 4 года назад
Muongo ww
@allahisone6386
@allahisone6386 9 месяцев назад
​ 🤔🤭🤔
@bridgettjohn7811
@bridgettjohn7811 5 лет назад
Napenda de way unasimulia hata ambae anakichwa kigum anaerewa keep it up😘😘
@lupenzakenny8893
@lupenzakenny8893 4 года назад
Ni bonge la kiongozi ,alikua na xifa zote,alikua anafaa, hakika alijiamini na aliamini kua mungu Ni wetu xote sio wawazungu tu no, Kama unaamini hilo gonga like zako hapa
@immamrema2288
@immamrema2288 5 лет назад
Asante sana maana mimi nilimchulia mtu gaidi...mungu alaze mahala pema pepon amen
@pendael02
@pendael02 5 лет назад
Pole sana kwa kukaririshwa
@yonamwakamele
@yonamwakamele 5 лет назад
Safi sana Media zote wangekuwa kama wew basi Waafrika baadhi wanaopumbazwa na wazungu wakapumbazika kuua na kuchafua viongozi bora wa Africa wangebadilika.
@subirajohn728
@subirajohn728 5 лет назад
Yona Mwakamele ni kweli
@rabamelody4075
@rabamelody4075 5 лет назад
Wajinga ndo wanao kubali adui afuze watoto wake
@ezekielpetermasonda4194
@ezekielpetermasonda4194 5 лет назад
Yona Mwakamele nikweli
@stephanieeunice8572
@stephanieeunice8572 5 лет назад
The love I have for this guy's voice ooh my,but I love intelligent,sharp and articulate men.Mtigah keep it up,I love you
@H2025-y8g
@H2025-y8g 5 лет назад
big up kwa *Ananias Edger *
@sospetersiame906
@sospetersiame906 4 года назад
Nilimpenda sana mugabe huyo kwakweli wazee wetu hao ni majasiri sana walikuwa hawaogopi mtu ma wazungu wakikuweza wanapelekesha mbaya
@teljanahmed2051
@teljanahmed2051 4 года назад
Mko vizuri story book Tuleteeni pia story ya Burundi kwa ihsani yenu
@riziki2542
@riziki2542 5 лет назад
Nilisema na ukafanya big thanks 👍💕👌
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 5 лет назад
Asante sana mtangazaji! Mimi nahitaji simulizi kama hizi zitawale zaidi. Wazungu wanajaribu kuchafua vichwa vya wengi wetu!
@kelyanjeremiya2533
@kelyanjeremiya2533 5 лет назад
Rest in peace mkuu mugabe.. MUNGU bado anatutazama wanadamu tunaojiona ndy kila kitu kwenye ulimwengu huu wa mwanga na giza ila tuzidi kumuomba yeye..🙏🙏
@wakujamedia-tz
@wakujamedia-tz 5 лет назад
Asante the story book niiomba sana hii story
@joshuamcompanyjoshuamgusi7175
@joshuamcompanyjoshuamgusi7175 5 лет назад
Daah Napenda Sana Usimuliaji wako Kaka Mtiga🔥🔥🔥
@laizerjohn2850
@laizerjohn2850 5 лет назад
Mugabe kiboko bwana
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 5 лет назад
Wow mtangazaji unanikosha Sana brother 🤗😘
@tumainieldanistan2472
@tumainieldanistan2472 5 лет назад
Nice presentation bro Umetufungua macho
@ivetamasae3172
@ivetamasae3172 5 лет назад
I respect u on what you are doing coz you know how to find the truth
@mustialjumi8213
@mustialjumi8213 4 года назад
Nakubali sana mtiga abdala sauti imeweza kipaji uko nacho big up!👊👊👊
@omariamiri5556
@omariamiri5556 5 лет назад
Nikiiangalia wasafi itafik mbali ina watu makini kila idara big up mnaleta mapinduz ya habari na burudan
@afrieagle8314
@afrieagle8314 4 года назад
Hila ndo wanawafukuza sikuhiz😔😔😔
@lizbethkisasa5060
@lizbethkisasa5060 5 лет назад
Asante mwandishi nahisi tumejifunza mengi
@djrautz733
@djrautz733 5 лет назад
Hili pindi ni kali sana kama unakubak gonga like
@marthanjau6618
@marthanjau6618 3 года назад
Kwa hilj nimekubali uko makini
@gersonjohakm1935
@gersonjohakm1935 3 года назад
Nikweli alikua kiongoz mahilii ila duuuuuu!!!!!!!!
@brokenigga2842
@brokenigga2842 5 лет назад
Kila mtu ana uzuri na ubaya wake 🙌🙌
@valture100
@valture100 4 года назад
Kazi nzuri sana, nashukuru kwa historia hii Kumhusu Hayati Mugabe. Naomba utuletee yake Nabii Dr. David Owuor.
@naamanbenedict3781
@naamanbenedict3781 4 года назад
Kama unaingalia 2020 piga like
@eltonjohnivyishaka29
@eltonjohnivyishaka29 5 лет назад
Brother w ni noma saana
@Daphne362
@Daphne362 5 лет назад
Jamani hiyo sauti yako we kaka mtiga 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@djdino2250
@djdino2250 5 лет назад
Mmy naomba namba yako please yangu 0745720466
@faridaminzi4353
@faridaminzi4353 4 года назад
Mtiga respect kwako
@rnoboeofficial5338
@rnoboeofficial5338 3 года назад
mungu nisaidie nije kuwa raisi kama mugabe,magufuli na gadafi nikomboe waafrica ee mwenyezi mungu nisaidie niwe mzalendo daima.
@shabankawambwa4397
@shabankawambwa4397 5 лет назад
Hongera simba kwakuongeza ushindani wa tasnia ya Sanaa sio kila siku radio na tv moja tu
@mariahwanjiku1809
@mariahwanjiku1809 5 лет назад
Am just loving the story book
@josephatisabu3964
@josephatisabu3964 4 года назад
Miriam,
@FBN834
@FBN834 5 лет назад
Namkubali sanaaa Mzee Mugabe
@goodhopeofficial8041
@goodhopeofficial8041 5 лет назад
Mtiga ni fire🔥
@barakamafwimbo8323
@barakamafwimbo8323 5 лет назад
Ni kwel kabisa tunakumbuka mambo ambayo siyo ya msingi
@fiziparadise7808
@fiziparadise7808 5 лет назад
RIP sir, you did enough for us. A luta continua✊🏾 Respect from DR of Congo🇨🇩
@harselybayo4466
@harselybayo4466 5 лет назад
bro you made me cry😟
@elianaminja5585
@elianaminja5585 5 лет назад
Umetisha kiongoz 👏👏
@jifaqmoonwalker6032
@jifaqmoonwalker6032 5 лет назад
Hii ndo media pendwa Tanzania kwa sasa.... Keep it up Wasafi
@victorjames3730
@victorjames3730 5 лет назад
The really legend of AFRICA
@tatukinyogoli9001
@tatukinyogoli9001 5 лет назад
Uko vizuri kaka
@zechyulewagreenapple5705
@zechyulewagreenapple5705 4 года назад
Excellent
@francekabelege2998
@francekabelege2998 4 года назад
Waheshimuni sana wanawake wenye mimba kwamaana nimtu pekeee ambae anatembea na ushahidi kuwa wamefanya mapenzii da Mugabe ni balaaaaa navoskiia ivi namwona nyerere mana vuchwa vyao nisaw Africa unity
@Freecross189
@Freecross189 5 лет назад
Vizuri sana ndugu uko vizuri sana
@saidsoud5967
@saidsoud5967 5 лет назад
Jembe hili..SIMBAAAAA..
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 года назад
Safi sana
@ibramacho9962
@ibramacho9962 4 года назад
Thanks san wew unajua san
@maliethnyoni2847
@maliethnyoni2847 5 лет назад
Yaan ww kka unasauti nzuli sana
@tensotv
@tensotv 5 лет назад
Daah nyi miamba...👊👊DUNIA NZIMA🙌🙌
@TALLUBOY
@TALLUBOY 5 лет назад
Big father president Ongera sana in AFRICAN
@mamachris6811
@mamachris6811 5 лет назад
Tatizo letu Weusi huwa hatupeani support
@benjo_brighter
@benjo_brighter 2 месяца назад
Mwamba kabisa 🙌🔥🙌
@leonardqamunga6218
@leonardqamunga6218 5 лет назад
We jamaa unayesoma unajua kazi unayoifanya Upo vzr sn , kaza buti Upo vzr sn
@joemadinda2000
@joemadinda2000 5 лет назад
Jasiri kaumaliza mwendo🔥🔥🔥
@barakastephano6144
@barakastephano6144 5 лет назад
I really admire his voice when he was speaking. Rest in peace "lion of Africa "
@filbertkapama8824
@filbertkapama8824 5 лет назад
Nkiangalia huku namuona mtiga,juu naona ananius hahahaa gonga like kama unamkubali mtiga abdala
@amoursalum272
@amoursalum272 3 года назад
Kiuhalisia mugabe alikua simba haki yke kukaa madarakani mpka kufa
@Johnkokolo
@Johnkokolo 5 лет назад
Me nakupa hongera bro umekuw mtu wa kuigwa kwa kufafanua vitu km hivi tofauti na wanaotutafutia habr za udaku...keep it up
@wilsonjohn1919
@wilsonjohn1919 5 лет назад
Tujiulize sana kwanin mashujaa, na wanaharakat (wapigania uhuru wa Africa wanapatwa mauti katika hospital za ulaya pale tuwapelekapo jili ya matibabu ( r. i, p)Zimbabwe freedom fighter
@jackfimbo4486
@jackfimbo4486 5 лет назад
Wilson John sababu bado Uhuru haujapatikana kutokana na kuisha kwa mafreedom fighter
@amevuai8724
@amevuai8724 5 лет назад
@wilson john umeuliza swali zuri sana tena la msingi
@josiahjohn5230
@josiahjohn5230 5 лет назад
Hii ndo ujue kuwa bala la africa linapigwa vita na mataifa yalioendelea ili tudidimizwe kiuchumi, hakili na afya kwa kuwaangusha watetez wa africa kama ilivyo kwa mwalim jk nyerere
@ebbycronal7011
@ebbycronal7011 5 лет назад
Swal zuri sawa na bob marley
@mtulivuindustryltd2356
@mtulivuindustryltd2356 5 лет назад
The big problem
@mussamkalawa2101
@mussamkalawa2101 5 лет назад
Wazungu wapumbavu sana ,,,Safi sana Rais Mugabe sijawahi kufaham kama ndo ulikua Unamsima hvo.
@officialmrtop1018
@officialmrtop1018 5 лет назад
Big up sana *Mugabe* , duuh Africa Tumepoteza wasimamizi wetu wanaosimama nakusema bila uoga kabisa tuseme *Mugabe Simba from Africa*
@moseking2400
@moseking2400 5 лет назад
Hadithi nzuri sana na ingependeza kama waafrika wote wangejua hii story maana inajenga xana
@pastorndabilajembelayesu2063
@pastorndabilajembelayesu2063 3 года назад
Hongera Sana mugambe
@pastorndabilajembelayesu2063
@pastorndabilajembelayesu2063 3 года назад
Mgabe Rais wetu
@zenamiraji9062
@zenamiraji9062 5 лет назад
Respect kwa mugabe...he was real man. No fear. Rip.simba wa Afrka
@luchomodise
@luchomodise 5 лет назад
Kifo si kazi ya mungu bro
@jamaldontv2457
@jamaldontv2457 4 года назад
We mtangazaj nakukubali saaaana%%%1000
@nassirmasoud6097
@nassirmasoud6097 5 лет назад
I lyk dis man.shujaa sana huyu
@kikongajoel2693
@kikongajoel2693 5 лет назад
Story nzuri sana rest in peace Mugabe
@djfiremoto3429
@djfiremoto3429 5 лет назад
MTIGA ABDALLAH🔥🙌
@carolinesyombua861
@carolinesyombua861 4 года назад
Safi Sana shujaa
@mst1studio270
@mst1studio270 4 года назад
Documental hongera saaaana kwa usimulizi mzuri
@ramadio968
@ramadio968 4 года назад
Safi sana kk
@lizbethmacha384
@lizbethmacha384 5 лет назад
Noma sanaaaaa👏👏👏👏👏
@lillynjuguna3022
@lillynjuguna3022 3 года назад
Thanks for reminding us what is important lest we forget
@blezywatino1043
@blezywatino1043 2 месяца назад
Mugabe❤❤❤ the legend of Africa.
@Shaban-y5f
@Shaban-y5f Год назад
Nimekukubali kwahii stor
@georgebataze6625
@georgebataze6625 5 лет назад
Alikuwa na akili nyingi sana huyu mzee.Hajawahi kuwa dictator ila hila za wazungu.
@kamutua6376
@kamutua6376 5 лет назад
Wow now i know.. Thanku fo this
@erastocharles4031
@erastocharles4031 4 года назад
Daah hakika ni kweli,, watu wengi wanamkumbka MUGABE kwa mabaya pekee lakin mengi saana amefanya mazuri
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 5 лет назад
Mke wa Mugabe Grace ndiye aliyeharibu sfa za rais huyu.Nchi ya Zimbabwe sasa inasikitisha.
@mufamozmufash166
@mufamozmufash166 5 лет назад
Wasafiiiiiii
@MajiTakaMaji
@MajiTakaMaji 5 лет назад
Safi sana Jombaa
@jescajoseph3419
@jescajoseph3419 5 лет назад
watu waliozaliwa miaka ya 20's...wako genius sana
@malaakyakub3853
@malaakyakub3853 5 лет назад
Mugabe it wos lions of Africans salaam from Somalia
@ibrahimkassim1664
@ibrahimkassim1664 5 лет назад
Km umeyakubali maneno ya Mugabe gonga like hapa Obama km unataka tukubali ushoga Njoo nikuanze ww
@ndeanaeddy
@ndeanaeddy 5 лет назад
Asante sana
@ackyoodavid8930
@ackyoodavid8930 5 лет назад
Mtiga 💥💥🔥💤
@pascalkapama2185
@pascalkapama2185 5 лет назад
Nice mtiga bro
@JefreyKings
@JefreyKings 5 лет назад
Do a story on President Jomo Kenyatta for all our Kenyan Brothers. Mashujaa day is coming up on 20 October
@gracebalthasar3044
@gracebalthasar3044 4 года назад
R.I.P the Lions of Africa.. Nyerere, Mugabe, Mandela
@kimutattoo4067
@kimutattoo4067 5 лет назад
Aiseeee appreciate Daddy Robert Mugabe We will miss you forever and for always😓😂😓😂😓😂
@pragodisama1217
@pragodisama1217 5 лет назад
Dah nimechelewa
@jostamzxkaole3113
@jostamzxkaole3113 5 лет назад
🔥🔥HATARII🙏🏻🙏🏻 TUNAPENDA tumpate mtu mwingine kama MUGABE.. R.I.P MUGABE
@liboriusbabile1197
@liboriusbabile1197 5 лет назад
i doubt john pombe magufuli is likely to be like him
@amosrichard3742
@amosrichard3742 3 года назад
Hii kazi unaiweza Arfu
@ibrahimkivunge5659
@ibrahimkivunge5659 5 лет назад
Shujaaa mungu alaze roho yake peponi
@Jxcjs
@Jxcjs 5 лет назад
Tupe na ya nyerereee arifu
@faridaminzi4353
@faridaminzi4353 4 года назад
Kipindi hichi noma Sana respect
@wcb4life859
@wcb4life859 5 лет назад
Nakwenda Zimbabwe
@baroamani4420
@baroamani4420 5 лет назад
🔥🔥🔥🔥🔥
@gabychaki158
@gabychaki158 5 лет назад
Hahahaha, mze hodari sana Bro sauti nzuri ktk masimulizi. Gonga 5
@azizawadh5973
@azizawadh5973 4 года назад
Kawaacha vibaya wazimbabwe
Далее
ОНА БЫЛА ПЕВИЦЕЙ🤪
3:13:12
Просмотров 1,1 млн
НЮША РОЖАЕТ?
00:17
Просмотров 858 тыс.
Как улучшить шоколадку Милка?
00:35
Bruegel's Anger
1:29:40
Просмотров 797
MIAKA 60 YA MAPINDUZI ZANZIBAR NBS & OCGS
3:35
Просмотров 8 тыс.
MFAHAMU Rais GADDAFI_Ananias Edgar &  Denis Mpagaze
27:25
ОНА БЫЛА ПЕВИЦЕЙ🤪
3:13:12
Просмотров 1,1 млн