Mwenyezi mungu atusaidie na Tanzania itafika wakati tutawafukuza mabepari na vibaraka wao kweme uongozi ambao na mafisadi na kutanguliza uzalendo, umoja na kufanya kazi kwa bidii kwa manufaa watanzania wote na wany'onge waiifaidi rasilimali zao Kwahivo Tanzania Nyerere aliacha chama vizuri ila kikatawaliwa na mafisadi ambao na vibaraka wa mabepari Hakika inauma Sana na inabidi tuwe wamoja na kuacha utofauti wa vyama na kufanya kazi kwa bidii Na kuweka wazi mapato na MATUMIZI na rasilimali zetu na Kodi zetu na kuinua vichochezi vya vitega uchumi ili watanzania wajiajiri na kuuza bidhaa kamili nje ya nchi na sio kutoa marighafi Kwahivo wanasahi hi democracia tuliyo nayo ni ya unyonyaji Ambayo ni mfumo wa mabepari Leo CHADEMA wanalilia ikulu hao ni vibaraka wa marekani ambao ni mabepari wakubwa Tanzania na Nchi za Ulaya na maisha yatakuwa magumu zahid Sikilizeni hotuba za CHADEMA HAWAKEMEI UBEPARI, hakika hawafai let's wake up Tanzanian's and African's Tuhimize UZALENDO, UMOJA NA KUFANYA KAZI KWA na sio utofauti wa vyama
Shukrani kwa Captain Traore kwa kumpatia mazishi rasmi Captain Thomas Sankara. Tomas Sankara na wenzie waliouliwa pamoja naye walifukiwa kwenye shimo tu miaka yote hiyo, hatimaye Captain Ibrahimu Traore alipochukua madaraka akaamua shujaa Caotain Sankara na wenzie wazikwe rasmi na sasa wana makaburi rasmi ambapo yeye mwenyewe Caotain Traore alikwenda kutoa heshima. Na wananchi wengi sasa wanakwenda kutembeleya na kutoa heshima zao kwa Captain Sankara. Compaore will never find peace for what he did! God bless and protect Africa.🙏🏿
Nimejifunza kitu kupitia koment yako MUNGU atatulipa kwenye KIFO Cha JPM hakika haiendi Bure hata kama inachelewa lakini itafika na wote waliohusika na MAGUFULI watawekwa wazi
Magufuli alikuwa Ðicteta aliyetaka kujilimbikizia mali na embinafsi. Tofauti kabisa na Sankara au Traore. Alianza na uwanja wa ndege. Na mengine mengi ya ajabu. @@diyembarak5506
Africa is still a continent with many challenges. We cannot rely solely on foreign aid to solve our problems. Military coups are not the answer to Africa's problems. We need to work together to build a better future for the continent, free from corruption and instability.
Hata Tanzania muda simrefu kwa Mapenzi ya. MUNGJ Itampata kama MAGUHFULI AU TOMAS SANKARA ILI MABEBERU WAACHE. KUNUFAIKA. NA RASILIMALI. ZETU. ZA. AFRIKA.
Huyu msimuliaji binafsi huwa namkubal, anajikita katika kuelezea kile alichopanga na sio kuanza kuwananga wasikilizaji wake wanamkosoa au kumsahihisha pale alipoteleza. Hongera sana broo👏👏👏 Simulizi nzuri na imewasilishwa vizuri
Mungu tunakuomba kwa ajili ya bara la Afrika ukombozi wa kifikira kwamba hatuwezi tunaweza tuondokane nafikira za kutegemea misaada,ee Mungu mbariki mlinde Ibrahim toure mwenye fikra za kujiamini wafrika tunaweza, Mungu ibariki ilinde Afrika amen
Ukweli kabisa majeshi ya huku yapo kwaajili ya kulinda chama tu si kwaajili ya rasilimali za taifa sa hivi mali zetu zinagwiwa kwa mabeberu jeshi lipo linaangalia tu.whay?
Traore anashangaa viongozi wa africa kila kukicha kiguu na njia ni msg ya Rais wetu jamani! Naamini siku amezikwa jpm alizaliwa jpm mwingine Mungu atuweke hai tutashuhudia siku hiyo!
Kama nchi yetu kila siku unasikia mara tumekopa mara ivi wakati nchi yetu ina rasilimali za kutosha tu haya madeni kila siku yanaongezeka sijui hatima yetu itakuaje mungu saidia Africa 🙏💪
Tutampata tukijaaliwa Mungu ni Mwema ndio tulimpata Maghuli msimsahau Mwanamapinduzi wetu toka Masaini mmemsahau?aliye penda watu wake akatubeba kstka mapenzi yake mema mmemsahau Moringe Sokoine Mwamba wa Tanzania aliyefanya kazi bila kuchoka nani kama Sokoine???
Asante sana kwa makala hii Mr Sky makala imegusa penyewe viongozi wa Kiafrika wakisoma na kuziishi falsafa za comrade Thomas Sankara basi Afrika imejinasua katika mtego wa mabepari wanyonyaji
Makonda kafanya Nini? Yani ccm ndio inaongoza nchi matatizo yote ni system Yao alafu ajifanye kutatua eti mnaona anatenda haki, kama kweli ni mtenda haki arudishe aridhi na urithi wa Masai, pia arudishe aridhi ya watu wa kia ndio tutaamini sio kiini macho