Тёмный

VUNJA BEI AVUNJA UKIMYA KUHUSU NIFFER KWA MARA YA KWANZA / AFUNGUKA KUMSAMEHE 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 143 тыс.
50% 1

VUNJA BEI AVUNJA UKIMYA KUHUSU NIFFER KWA MARA YA KWANZA / AFUNGUKA KUMSAMEHE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 155   
@dottohami
@dottohami Год назад
Huyu kaka hata hajisikii kabisa masha Allha 😘🔥
@khayraa7374
@khayraa7374 Год назад
Rich and humble 🙏🏽♥️ thats why he keeps growing.
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 Год назад
Kama ni kweli mhe joketi amezalia hapa, salute kwake👮‍♀️.. Jamaa kapoa we muache adange ila Umejua kuchagua🤓🤓
@yumnaaa4057
@yumnaaa4057 Год назад
Love you vunja bei🥰
@sistermery4581
@sistermery4581 Год назад
Kaka uyu ni genius sanaaa i love youuu
@sudymgeni701
@sudymgeni701 Год назад
Uzuri wa jamaa ajisikii kabisa kabisa.yuko kawaida sana.mungu akuongoze mkaka
@rosekaiza2716
@rosekaiza2716 Год назад
Yaani huyu vunja bei yuko vizur sana yaani kapoa hana kelele anajibu kutokana na maswali anayoulizwa wala hajimwambafai yupo kama muha wa kigoma!
@kysredy6498
@kysredy6498 Год назад
lla vujabei bhana 🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 ana kicheko cha KIBOSS sana 👌👌❤️❤️❤️❤️
@neemamkemae2580
@neemamkemae2580 Год назад
Ni boss ndio pesa anayo ana xhida gn
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Saana yaan hatumii nguvu😅😅
@kysredy6498
@kysredy6498 Год назад
@@salomewandya7257 👌🤣
@milleniumkibasa8773
@milleniumkibasa8773 Год назад
This is so intelligent I appreciate so much
@aminihamisi3551
@aminihamisi3551 Год назад
Huyu jamaa ni genius sana
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Год назад
Wema ame ingiya kwenye familiya na ku unganisha watu Ndo sifa ya mwanamke 😍😘
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Saaafi saana Fred amemkubali Chimama👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🥰😍😍😍
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Год назад
"Ninatakiwa niwe kwenye kushukuru" we vunjabei😍😍😍
@fatufatu5754
@fatufatu5754 Год назад
Binafsi namkubali sana Fred , nataman uwe tuu joket uache yote Kwan maisha ndo haya haya tuu kaa bana na DC wetu mm napenda mkiwa pamoja
@victoriakajembe7716
@victoriakajembe7716 Год назад
Very gentle nakupataje Fred nipate ushaur wa kibiashara
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 Год назад
Mmmm
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
Kheee Matunda ashakua yule dada jamani nyie mapenzi haya 😂😂😂🙌🏻
@godfreykanelela9139
@godfreykanelela9139 Год назад
Very intelligent man
@nanziamsifuni8090
@nanziamsifuni8090 Год назад
Asante kutuletea duka zuri.
@gracejoseph9451
@gracejoseph9451 Год назад
Nakukubali sana kibiashara Kaka ww na mond mnajua kupambana
@josehpJunio
@josehpJunio Год назад
😡😡😡😡😡😡
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 Год назад
Bos kama bos ...vizur sana
@Siti_maroneit
@Siti_maroneit Год назад
Kajibu kisomi sanaaa.woow
@FatmaAbdala-bu9zl
@FatmaAbdala-bu9zl Месяц назад
❤❤
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Год назад
Huyu mwamba ninahamu Sana kuonana naye ili angalau nipate hata Kijiko kimoja cha Madini ya upambanaji hasa kutafuta pesa. VUNJA BEI
@mkundukunuks
@mkundukunuks Год назад
Ahhh
@mkundukunuks
@mkundukunuks Год назад
Utafirwa wewe
@meshakinelisoni1176
@meshakinelisoni1176 Год назад
Jiamini umezaliwa kushinda ..kumcha Mungu ni chanzo chamahalifa
@tayk4745
@tayk4745 Год назад
Nenda kidimbwi utamkuta
@margaretlyimo2215
@margaretlyimo2215 Год назад
I like it
@sabrakimaso3547
@sabrakimaso3547 Год назад
Good
@FreeGod368
@FreeGod368 Год назад
Angekuwa kaka yangu huyu ningechota sana madini kwake
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Год назад
Tunajivunia natunashukuru Mungu kwakweli
@peterdavid4230
@peterdavid4230 Год назад
umazaliwa kupambana na kumcha Mungu na kupata mahalifa acha ushoga
@ramamrutu4914
@ramamrutu4914 Год назад
Tuache unafiki this man ni zaidi ya mo kwa vijana wanaotafuta maisha ana madini kwa entrepreneur
@FreeGod368
@FreeGod368 Год назад
@@ramamrutu4914 hujakosea kk wenye chuki hawaelew
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Год назад
Nataman siku moja uwe Rais wa Tanzania kaka yaan husikii wala nin 🥰🥰
@rehemabenedict7966
@rehemabenedict7966 Год назад
acha ujinga wewe 😂
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Год назад
Nitaacha nikikua🤣🤣🤣🤣🤣
@pozclever854
@pozclever854 Год назад
👍👍👍👍
@lloveyoutanzania5315
@lloveyoutanzania5315 Год назад
Hili jamaa linaonekana lina madigrii kwa sana
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Год назад
Msomi ni msomi tu fredy huwa hakwep swali anajibu nicee
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 Год назад
Mtangazaji sauti kali sana
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 Год назад
Mpk anakera
@mkamajames2786
@mkamajames2786 Год назад
Mtangazaji anamikono yakike kweli😁
@rukaiya86
@rukaiya86 Год назад
Wewe nae mchunguzi😂😂😂😂😂
@kysredy6498
@kysredy6498 Год назад
​@@rukaiya86 🤣🤣🤣🤣
@hatwabiswalehe262
@hatwabiswalehe262 Год назад
😀😀😀
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 Год назад
🤣🤣🤣🤣 kwakwer
@zena6203
@zena6203 Год назад
😀😀😀😀😀😀
@lightnessmsangi3148
@lightnessmsangi3148 Год назад
Yaaaani pesa haina kelele Jamaa yuko simple sana
@travellertraveller4505
@travellertraveller4505 Год назад
Tyrese
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 Год назад
Huyu kaka ana akili sanà
@salimakuyela7813
@salimakuyela7813 Год назад
Vunjabei na niffa Tena situmekubaliana fungal mwaka harmonize na kajala 🤣
@hollymore4904
@hollymore4904 Год назад
Nkajua Mikono ya alliya imeshika mic🤣
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Sawa fred
@zuenampandeni3347
@zuenampandeni3347 Год назад
kusamehe ni jambo zuri
@saradaniel4579
@saradaniel4579 Год назад
Fred 💎💎💎💎
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Год назад
👏👏👏
@mariamusaulo4429
@mariamusaulo4429 Год назад
Vunja bei ana akili kubwa
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Год назад
Ccm ni Yanga achana nao afu huendani nao ishi na Chadema bro
@alicenice1711
@alicenice1711 Год назад
Mawazo yaki kolo tuu
@salimmdule405
@salimmdule405 Год назад
As a group😂😂 wamesamehewa
@suleymanmakiwa1651
@suleymanmakiwa1651 Год назад
Wote kwa pamoja kwa umoja wao wamepata msamaha
@hawashaweji3469
@hawashaweji3469 Год назад
😂😂😂😂😂
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 Год назад
Hivi na king msukuma nae si ni dokta eee
@janethdavidsanga5999
@janethdavidsanga5999 Год назад
Uzuri wetu wakinga tunasambaza upendo hatunaga vinyongo
@homesaickofficial7407
@homesaickofficial7407 Год назад
Sema jamaa yupo sirious iv ayupo kweny chama kweli cha freemason mana mmmmh 😁🙆‍♂️🤭
@heriethmichael6138
@heriethmichael6138 Год назад
Mashem noma sana
@Luscious6826
@Luscious6826 Год назад
🤣🤣 as a team wamesamehewa
@officialthekillertzbaddest8315
@officialthekillertzbaddest8315 11 месяцев назад
Ok vunjabei
@fredrickyjames3689
@fredrickyjames3689 Год назад
kaka njoo kwenye beti kaka kama una bahati ya kushinda maana mikeka huku so poa yan njoo utupe tips
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 Год назад
nakukubari mwamba
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Год назад
Mbona hajaongea vibaya,,Tunda amemtukana bure huyu kaka
@tunuwarsam1762
@tunuwarsam1762 Год назад
Mashemshem😂😂😂😂🙌
@iddymbuma2856
@iddymbuma2856 Год назад
Sisi tunasapoti had mwisho
@MaaneML
@MaaneML Год назад
Whozu ni ndugu wa Fred Vunjabei? Wa kuzaliwa tumbo Moja? Maana Whozu hiyo rangi ya ngozi sijui ndiyo ya mama au Baba.
@zuhurafaustine6934
@zuhurafaustine6934 Год назад
Hapana ni mdogo wake frank knows
@morismontego3241
@morismontego3241 Год назад
Whozu n mdg wa rafiki yk vunja Bei apo anaitwa Frank kwons
@blackpanther4825
@blackpanther4825 Год назад
Hawana undugu
@teddyndungurusabnu4792
@teddyndungurusabnu4792 Год назад
hahaha no whozu anakaka yake nae ni mfanya biashara mkubwa na nimarafiki wakubwa na fred so whozu anamuita fred kaka kupitia kaka yake huyo wa damu
@lucynelsonmungure1719
@lucynelsonmungure1719 Год назад
Vunjabei si mtu wa madrama ila mnamlazimisha kuwa mtu wa madrama kwa kuokota umbea kwake...ila ni mtu anaeweza kuwakabili waandishi wa habari kwa majibu yake ya mkato
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
👍🙌📌
@naymar8823
@naymar8823 Год назад
🤣🤣🤣 mashem Shem🙌🙌
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Год назад
Nilishawai kumuona muwembe yanga huyu fred na team yake ya to much money wakikwenye gari sema namkubali sana
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 Год назад
Mzawadie nduku bas 😁
@elieneapalangyo6938
@elieneapalangyo6938 Год назад
Sasa kama hapo amejichubuwa huko mwonza alikuwaje
@adamally6
@adamally6 Год назад
😀😀
@deusmallya3384
@deusmallya3384 Год назад
👊👊👊👊👊
@deusmallya3384
@deusmallya3384 Год назад
Huyu mwamba namkubali sana
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Год назад
najiuliza watu walio toka kimaisha kwanini wanakimbilia Chama cha mapinduzi nasivyama vingine? jibu nimepata nalo ni moja tu (ubinafsi
@musason1680
@musason1680 Год назад
Bado hujapata jibu n kuwa karb na watu wenye nguvu ili kulinda mali zao
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Год назад
@@musason1680 jibu ni hilo... watanzania wana ubinafsi sana kwamba kwasababu wao tayari wameshatoka kimaishana, basi wanaona hakuna sababu ya kuwasemea watanzania wengine wenye hari ya chini ambao ni wengi.ndomana kila mtu akitoboa jambo la kwanza ni kulipia kadi ya ccm
@shadrackmohamedi8765
@shadrackmohamedi8765 Год назад
Ubinafsi si Sana. Kikubwa wanajitengenezea ulinzi wa mambo yao. Ukiwa chama pinzani, ni rahisi kupotea ktk kila utachokifanya.
@frankrobertkomba2318
@frankrobertkomba2318 Год назад
Ramadhan hii watu wanakimbilia kule ndo kwenye usalama wa biashara hadi mali zao maana viongozi na watu wanyazifa za juu ni rahisi kuwasiliana nao endapo mtu utapata changamoto.
@zena6203
@zena6203 Год назад
Sweety heart Fredi nakupenda sana sauti muonekano wako rangi yako lakini sura mmhhhhhhh no comment huna kabisa ila mengine ilove it
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Год назад
Ukitaka sura utakesha sana
@zena6203
@zena6203 Год назад
@@safiyatheonlything7848 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Год назад
Kama sura umba wako
@zena6203
@zena6203 Год назад
@@jazeerajuma5014oyanimesema sura sijasema mbaya wala nzuri kwani shida ipowapi
@robertabel6984
@robertabel6984 Год назад
Kinacholiwa ni chini sio uso mi naona sawa tu jamani au vipi wadau
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Год назад
mpambano uendelee🤣🤣🤣🤣
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Год назад
Mapenzi ya MITANDAONI,NINYAUNGO KABISAAA! Mnawaharibu saana VIJANA WA LEO HIZO zenu ni FILM sio mspenzi 👀
@roberttagaya9098
@roberttagaya9098 Год назад
Mwanaume gani anakuwa na mikono ya kike hivi?
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 Год назад
🤣🤣🤣
@emmanuelmeena6542
@emmanuelmeena6542 Год назад
🥴🥴
@salumtanganyika9551
@salumtanganyika9551 Год назад
😝
@browndebora2195
@browndebora2195 Год назад
mtu msomi hutamjua tu hata anavyoongea.
@ommylee2497
@ommylee2497 Год назад
Mwinjaku jeevsio mdomo😂😂😂😂
@robertabel6984
@robertabel6984 Год назад
Kwakweli hata anavyoandika tu utamjua huyu sio msomi
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Год назад
Bonge la interview
@elieneapalangyo6938
@elieneapalangyo6938 Год назад
Angalia mikono yake amejichubuwa
@kysredy6498
@kysredy6498 Год назад
Langi yapesa hiyo 👌😍
@theresiabartholomeo5783
@theresiabartholomeo5783 Год назад
Duh.... Sasa kajichubua na usoni mweusi😂
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 Год назад
Hujui nyamaza
@TravellersTv1
@TravellersTv1 Год назад
Kajichubuaje mikono sura asijichubue wabongo bana khaaa
@raniakhan5463
@raniakhan5463 Год назад
Tafuta pesa acha shobo .kujichubua pia ni dalili ya utajiri .bila pesa huwezi
@theresasimba7372
@theresasimba7372 Год назад
Good
@angelwilliam3471
@angelwilliam3471 Год назад
Good
Далее
这到底是怎么做到的 #路飞#海贼王
00:10
Просмотров 3,4 млн
COOKING UGALI & FISH - Stevo Simple Boy & Dem wa Fb
15:53
这到底是怎么做到的 #路飞#海贼王
00:10
Просмотров 3,4 млн