Тёмный

VUNJA BEI AMWAGA MACHOZI MBELE YA WAZIRI MKUU, WANACHO KIFANYA TRA SIO SAWA 

Mbengo Tv
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 82 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

16 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 43   
@emmanueldavid9506
@emmanueldavid9506 15 дней назад
Embu mpeni ajira Vunja bei awasadie anaakili kubwa sana
@annabadru2352
@annabadru2352 Год назад
Vunjabei uko vzr sana mno Yani weweee kichwa honey
@ibrahimpilla2731
@ibrahimpilla2731 Год назад
Nmesoma na vunjabei advance alipiga ONE,huyu jamaa ana akili sana
@user-id8bu6lw8x
@user-id8bu6lw8x 4 месяца назад
😂ww ulipata nn jmn
@SoudShuraim
@SoudShuraim 16 дней назад
Yeye alipata zero
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 10 дней назад
Kupiga one sio tatzo unaweza kupga one naukashindwa concept
@user-ok6lv3je4b
@user-ok6lv3je4b 14 дней назад
Safi sana nchi ikiwa na vijana kama awa kitaeleweka
@mwarikimwariki2653
@mwarikimwariki2653 Год назад
Safi sana vunja bei,. Concepts nzuri sana
@roberttarimo3957
@roberttarimo3957 12 дней назад
Uko vizuri bro unaweza kutetea wanyonge safi sana
@kianda973
@kianda973 Год назад
Huyu jamaa ni mwamba
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 6 месяцев назад
Wewe sasa tunakupandisha cheo wewe ni rais wa wafanya biashara 😅😅😅😅😅😅😅😅
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Год назад
Vunja bei unaongea pointi sana .hongela kaka.wazili mkuu wafanyabiashala wako wanateseka sana.tla hapana
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 6 месяцев назад
Yaani wewe fred ni mwamba yaani unafunguka vitu vya maana havina hata vairas ya kisiasa hongera fred😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@brianlaroya8185
@brianlaroya8185 Год назад
Eti vunja bei kamwaga machozi, andika habari ya kweli watu wataangalia tu
@user-cs9jj4ds9u
@user-cs9jj4ds9u 9 месяцев назад
Kama unaakili timamu na umekamilika Kila idara utaona tunakoelekea mm naonea huruma vijana na watoto ambao bado Wana umri mwingi wa kuishi kazi ipo ili kusafisha haya yote ni ngumu mizizi hii kuitoa inaitaji lawama na cdhani kama atakaeitoa hiyo mizizi atakaa wapi kwa usalama wake kazi ipo
@Fefetubes
@Fefetubes Год назад
Jamaa anaakili hadi anaakili tena
@JosephHewan-qb1uq
@JosephHewan-qb1uq 14 дней назад
binamu humeongea vizurisana 🎉❤
@sabrinayahaya952
@sabrinayahaya952 Год назад
Bado utasikia watu kidumu chama cha mapinduzi😂😂😂
@Luganoamos-jv5in
@Luganoamos-jv5in 15 дней назад
Nilikuwa naye pale chuo hyo jamaa,anafaa kuwa mwenyekiti wa wafanyabiashara safi vunja bei
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 14 дней назад
mamalamikoa kila siku na serikali haiskii..jmni kwa kweli sio haki kabisa
@hurumalunda2490
@hurumalunda2490 14 дней назад
Safii,,na umachinga wa wawekezaji wa kigeni kuharibu mzunguko
@JumaMarwa-hc9te
@JumaMarwa-hc9te 6 дней назад
𝐾𝑎𝑘𝑎 𝑢𝑙𝑖𝑜𝑛𝑔𝑒𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑎 ℎ𝑎𝑢𝑘𝑢𝑒𝑙𝑒𝑤𝑒𝑘𝑎 😂😂😂
@AmiriMchikirwa
@AmiriMchikirwa 4 дня назад
Aliyesoma kasoma
@SebastianJohnkontable
@SebastianJohnkontable 7 дней назад
Wasomi wamechili kinoma
@akberyuda5950
@akberyuda5950 Год назад
VUNJA BEI KICHWA SANA
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Год назад
Vunja beiukosawa nduguyetuu
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 Год назад
Kweli elimu ya kulipa kodi ni muhimu kila upande ujitetee kisheria
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 Год назад
C .TRA tu idara zote zimeoza hakuna hata sehem yenyenafuu viongozi tembeleeni kwenye vitengo mjionee wenyewe
@SamwelMsovela-nn8ci
@SamwelMsovela-nn8ci День назад
🙏🙏🙏
@vicenttarimo2203
@vicenttarimo2203 16 дней назад
Sikujua kama Kuna wafanyabiara wenye akili hivi kumbe baadhi wanawashinda hata walioko madarakani.
@TeamKRX
@TeamKRX Год назад
Wa Tanzania hongereni wakenya munatuona sasa mumetuelimisha sasa watakoma sasa wanaotunyanyasa
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 Год назад
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Год назад
Mwanzo wa ngoma ni --- - -
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 Год назад
Alama ya Kengerre
@JacksonMwinga
@JacksonMwinga 11 дней назад
Saf sana
@joisejimmy750
@joisejimmy750 Год назад
Mwiguru aende burundi
@nkwabidonald4277
@nkwabidonald4277 10 дней назад
Mh
@ramsonmpulule6264
@ramsonmpulule6264 6 месяцев назад
Kichwa xana
@Fefetubes
@Fefetubes Год назад
Genius
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 Год назад
Ccm nnchi imewashinda waondoke
@BoniphasLukas
@BoniphasLukas 15 дней назад
Chalamila lipo tu linasikiliza naujinga wake
@user-ky5wu4gc9g
@user-ky5wu4gc9g 14 дней назад
Hadi nimecheka tena lipo tu limetumbua mimacho hapo haelewi chochote!
@monicamwita7865
@monicamwita7865 13 дней назад
Linashangaa shanhaa tu. Sup umemshuka kutokea maneno take.
Далее
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14