Safi sana.Waha tumekuwa nyuma wakati mwingine si makosa yetu ila mgawo wa keki ktk taifa letu ktk swala zima la maendeleo kama vile miundombinu na elimu tuliachwa nyuma.Hata hivyo tunajaribu kuchechemea wakati wenzetu wanapaa. Mfumo ni mgumu kwetu maana tuliachwa mbali na wenzetu waliwahi viwanja. Tunaomba Mungu na serikali iendelee kutuonaona.
Kigoma waha wanajitambua sana, ila wamanyema wengi ni vilaza, hawajui mchana wala usiku. Wengi ni wa Kigoma mjini, lakini wamepatelekeza kwao kutokana na imani potofu za kishirikina.