AyoTV na millardayo.com imefunga safari mpaka Kasulu Kigoma na kukutana na Mzee Mkongwe wa kabila la Waha na kufahamu misemo au methali ambazo amekua akizitengeneza mzee huyu, aliamua kufanya hivi ili kuweka kumbukumbu za kabila lao.
Hongera Babu kwa kujiajiri. Kuuza lugha mila na desturi za Kiha hongera sana. Vijana muuige babu huyu. Kajiajiri. Hongera mwana habari kwa kumuibua babu huyu.
Waha waritokea Rwanda kabisa, jina ake Nyakamwe, kusema ye amebaki mwenyewe kwa lugha ya kinyarwanda. And a lot of similarities na tabia za Kinywarwanda.
Habari yako babu. Mimi ni mha wa kigoma. Lakini kwa sasa niko nje ya nchi. Hicho kitabu cha elfu kumi naweza kukipata kwa njia gani?. Naitwa Joseph Sefania
Safiii sana mzeee wetu make vijana wasasa wa kigoma hatujui utamadun wetu make umeshapotea , kuwepo mzee kama wew ni fahari yetu,kupitia wew tunaweza kijifunza mengi
Intumva yumva uruguma, akasozi kintabwiga kahiye abhagabho bhabhona, hahahaa chezea waha wewe! Siku kigoma ikipata umeme WA grid ya taifa na barabara ya lami tutakuwa new York ndogo!
Aisee hapo Kasulu kuna Pastor mmoja anaitwa Daniford Machaki wa E.A.G.T -Mwilamvya anaishi Murusi fanya umtafute nahisi ana vitu vizuri zaidi ya huyu lakini pia anaijua lugha ya kiha kwa undani zaidi ya huyu mzee