Тёмный

WAKAZI USO KWA USO NA WASHEKESHAJI ELIUD NA KIPOTOSHI BAADA YA KUWAPONDA HAWAJUI KUCHEKESHA 

EastAfricaRadio
Подписаться 495 тыс.
Просмотров 65 тыс.
50% 1

#RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Развлечения

Опубликовано:

 

11 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 175   
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 месяцев назад
Makavu live Wanyakyusa sio wanafiki Safii sanaaa
@finetinah9784
@finetinah9784 5 месяцев назад
Eliud genius sana @wakazi kubali bro ulikurupuka
@mdachiog5211
@mdachiog5211 5 месяцев назад
Wakazi mjuaji sana
@RebecaAdam-js6ox
@RebecaAdam-js6ox 2 месяца назад
Acha roho mbaya we mkaka wenzako wanapambana ili wapate ridhiki zao waishi nafamilia zao Ilawewe unaponda loo unajiona unajua Sana au muheshimu mungu wakzi minnaumia kwasababu wakaka wa watu wanategemewa na familia
@amisasadock6857
@amisasadock6857 5 месяцев назад
Wakazi mwenye anaoneka anastrees huyo af anataka utuletee umelekani sisi ayatuusu na umejua kunifuraisha eliud umetumia vzr unyakyusa ujataka kumsemea pembeni
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo Месяц назад
Awa wanyakyusa wana mchana live Jamaa
@user-vk5nb4uz6h
@user-vk5nb4uz6h 5 месяцев назад
Kwani wakazi ni nani mpaka aseme kitu na kionekane ni sahihi, Mziki Umemshinda Atulize Shanga.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 месяцев назад
Ndo nani kwani😂
@kinzupdate752
@kinzupdate752 5 месяцев назад
apo nimemuelew sana eliud is not just comedian but also ni mtu anatambua nn anaongea lakin wakazi it's seem kama ni kwel alikulupuka. sometimes hizi social media zinataka kufanya mtu atengeneze ka dunia kake kakuweka kilakitu kiwe perfect 100% ni kwel unavyopost kitu atleast think twince kwasab ujumbe haumfukii pekee ake mtu uliyemlenga but inawafikia na wale wasio walengwa wenye thinking ability kubwa (HIVI WAKAZI ANAFANYA KAZI GANI MBONA JINA LAKE AU
@officialngalya3062
@officialngalya3062 5 месяцев назад
Kitu nimekikubali kwa Eliudi huyu jamaa sio mnafiki anakuchana live tu, safi😂
@user-bd3zh2tn6u
@user-bd3zh2tn6u 5 месяцев назад
Pigen kaz washkaji zang wakaz ni nan yeye bas akaishi malekani hii ndo bongo land✊️kipo,eliud🙏
@jastinarts
@jastinarts 5 месяцев назад
Eliudi umeongea vizuri
@meshackngaboss1236
@meshackngaboss1236 6 месяцев назад
WAKAZI MJUVIIII ANAJIKUTA ANAJUA KILA KITU NA YEYE NI FAILURE HANA KITU CHOCHOTE SUCCESSFUL KELELE NYINGIIIII
@saeedmagoda9651
@saeedmagoda9651 6 месяцев назад
Daaah Eluid Amekasirika sana na imemuuma sana hii kitu
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 6 месяцев назад
Mjuaji sana
@jamaliselemani850
@jamaliselemani850 5 месяцев назад
Asa wakaz ni msanii anaimba vinini nayeye mbn mm sijawahi kumwelewa
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo Месяц назад
Wakazi anabowa
@adozenaziz8362
@adozenaziz8362 6 месяцев назад
eliud nilimwona toka akiwa na like 10 nanilimwona natuedfon tweupe😂
@user-ss7ko2hc5n
@user-ss7ko2hc5n 5 месяцев назад
Eliud mwamba sana haogop mtu kwenye ukweli anakupa makavu hata kama upo hapo😂😂
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Месяц назад
Wanyakyusa ndo tulivyo 😂😂
@Commentsplus
@Commentsplus 6 месяцев назад
Wakazi anaushamba sana anajikuta anajua kila kitu
@rogersiddy
@rogersiddy 5 месяцев назад
Sanaaaa anajiona yeye ndo kila kitu MAREKANI yote anaijua yeye pmj na sheria zake 😂😂
@tonoboymwatonokaaa2862
@tonoboymwatonokaaa2862 6 месяцев назад
Wakazi marecani imemwalibu, yeye anaweza akaisi wamalekani wanachekesha afu nikaenda mm nikanza kulala usingizi
@afisamipango005
@afisamipango005 6 месяцев назад
Wakazi naona anajaribu kuponyoka mikononi mwa Eliud😅😅
@moviekaa
@moviekaa 5 месяцев назад
Wakazi kila kitu marekani....afu anajua kila kitu duniani hapa.😂😂😂
@Commentsplus
@Commentsplus 6 месяцев назад
Wakazi unaboa hata nimeshindwa kukupa sikio mpaka mwisho
@jeremiasilla3586
@jeremiasilla3586 Месяц назад
Wakazi we ni kengeee
@joeandres9744
@joeandres9744 6 месяцев назад
wanyakyusa huwa hawafichi kitu ni watu wa makavu hapo hapo...eliudi kaiva😂
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 3 месяца назад
Sanaaaaa big up wanyakyusa
@kesphaanyitike7751
@kesphaanyitike7751 6 месяцев назад
🔥
@prospermwambeje5007
@prospermwambeje5007 6 месяцев назад
Hiyo ndiyo raha ya Mnyakyusa hapendi unafiki ukikosea anakuchana hapohapo bila kupepesa macho. Huyo Wakazi anajifanya mjuaji sana hapo amekamatika 😀😀😀
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 5 месяцев назад
Nmekaa na wanyaki sana...wakarimu sana,halafu hawapindishi maelezo...anakupa kavu
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 3 месяца назад
​@@andrewmmbaga1665asanteeee
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 3 месяца назад
Yaan sahihi sana ukitaka kukaa na mnyakyusa ukawa hupendi ukweli utapata shida. Hawaogopi nani na nani ni UKWELI tuuuuu
@JosephmasanjaShilinde-jv9rh
@JosephmasanjaShilinde-jv9rh 5 месяцев назад
Huyoo star,s stoke tuuu NBC iendelee
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 6 месяцев назад
Huyu dada nna mahaba nae nampenda sana jmn
@dostovan5142
@dostovan5142 5 месяцев назад
Just coz u been to the states don't mean u know everything
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 6 месяцев назад
Hahaha hicho si ni kiini cha yai home boy🔥🔥🔥😆😆😆🤣🤣🤣🤣
@mrenjoyfootball8403
@mrenjoyfootball8403 6 месяцев назад
Nakubali sana wanangu sanaa daaah ahahhahahahha Kipotoshi daaah
@mgayamgaya
@mgayamgaya 5 месяцев назад
Pigeni kazi mpuuzieni maana kwenda marekani sio yeye wa kwanza kila kitu anataka kufananisha na marekani
@user-tx5pn3jd4e
@user-tx5pn3jd4e 5 месяцев назад
DAAAH WANAUME MUNGU ANAKUPA BAHATI TUNACHEZEA UYO DEMU BADO MBICHI JAMANI TUACHE UJINGA WANAUM
@kyalagwamaka1550
@kyalagwamaka1550 5 месяцев назад
Wanyakyusa huwa hawana shobo za kishamba hata uwe nani ukizingua anakuchana tu big up ghwakukajha elihuti kwanzawWakazi ndo nani eti?
@user-qn4hs2jz1m
@user-qn4hs2jz1m 6 месяцев назад
Eliud fanyeni kazi kwenye hii dunia siyo kilamtu atapenda unacho kifanya
@fadhilsalum2143
@fadhilsalum2143 5 месяцев назад
Sema Eliud ana SHOMBO sana😅😅😅😅
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Месяц назад
Kusema ukweli ndo shombo
@PhyinaElias-mu4wf
@PhyinaElias-mu4wf 6 месяцев назад
Eliud 🤣🤣 haogopi yupo na confidence ya kwenda (kwenye maswali)😂
@Stanley.kapumbira
@Stanley.kapumbira 6 месяцев назад
Kabisa yupo vzr
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Месяц назад
Wanyakyusa hatuogopi
@zaunamoody7311
@zaunamoody7311 5 месяцев назад
Kwaza uyo wakazi Ndio namsikia leo ni nani jamani 🤔🤔
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 месяцев назад
Hata mi ,ndo nani
@annamarychristopher1675
@annamarychristopher1675 3 месяца назад
sema eliudi anaconfidence
@kwisa4899
@kwisa4899 6 месяцев назад
wakazi yupo sawa ,lakini watu wanachelewa kumuelewa kwa sababu wachekeshaji wengi shule hakuna, uchekeshaji unahitaji akili kubwa sana ,
@njoroboihastla
@njoroboihastla 6 месяцев назад
Naam! Ni vile tu watu waliamua kuchagua upande wakumupinga..
@gwamakawilliam5895
@gwamakawilliam5895 5 месяцев назад
Wew unafanya nini?
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 5 месяцев назад
Huyo naye kila kitu anajua toa na zako basi kenge wewe
@samwelsalon6590
@samwelsalon6590 5 месяцев назад
wakazi elimu umetoa✊
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 6 месяцев назад
Waisa wameandamana,lazima wakupe ukweli wako,umekamatika wakazi
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 3 месяца назад
Yaan hawalazi damu
@arostoyaoo7098
@arostoyaoo7098 6 месяцев назад
safi wakazi kashauri wasanii wote wa tz mziki,uchekeshaji,uigizaji n.k
@deusmbuge5740
@deusmbuge5740 5 месяцев назад
Yeye mbona kuimba hawezi
@gwamakawilliam5895
@gwamakawilliam5895 5 месяцев назад
Kashauri nini wakati na yeye mwanamziki, na mbna kazi zake hazitembei
@ChoraKisiki-zz3ut
@ChoraKisiki-zz3ut 5 месяцев назад
Wakazi wakazigani snich uyo
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 5 месяцев назад
Wakazi we Ni Nan Kwan..? tuliza Wenge
@shearbytz
@shearbytz 6 месяцев назад
Washekeshaji 😮
@user-ub1pq4dp1v
@user-ub1pq4dp1v 5 месяцев назад
Eliud amempa za uso jamaa 😅😅😅
@user-dm7br6sl1i
@user-dm7br6sl1i 6 месяцев назад
wakazi ana akili uyo
@user-zh5pb9tx2m
@user-zh5pb9tx2m 6 месяцев назад
Me nishabiki wa Roma wakazi wakazi Gani
@user-mr2ow1yi3g
@user-mr2ow1yi3g 5 месяцев назад
Hajui hata anachoongea,kweli ni mshamba, tu,
@brightontheogenes5093
@brightontheogenes5093 6 месяцев назад
mwanangu ananichekesha na suti yake ya njano😅😅😅
@Geeze905
@Geeze905 5 месяцев назад
Mie nashangaa mpaka sasa hivi kampuni ya Rangi ya Sadolin hawajamfanya Balozi wao, aseeee😂😂😂😂😂😂
@BenLeeBl
@BenLeeBl 5 месяцев назад
eliudi kamkanda vizuri😅😅😅😅😅
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 5 месяцев назад
😂😂😂kwelu kabisa yani wale mammonta na vilanja walikuaga wanaona km washayapatia maisha walikua wanajua wakifika nje watakuwa hivyohivyo ila namkumbukua mmoja nampenda sana yule mdada jmn alikua akiambia kagua vidumu vya maji km vimeja anakagua anajua kabisa kidumu chako hakina majia hata robo kidumu hayafiki na anakausha hasemi
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 5 месяцев назад
Huyu wakazi ndiyo nani? Anafanya nini cha zaidi kwrenye sanaa ya bongo?na ana mafanikio gani ktk nchi yetu?
@kafungorajab5897
@kafungorajab5897 6 месяцев назад
Leo wakazi kayatimba😂
@yohanamussa4134
@yohanamussa4134 5 месяцев назад
Simjui huyu jamaa
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 6 месяцев назад
Sio kla mckchji unaweza kumechi nae ,
@nyotamy3678
@nyotamy3678 6 месяцев назад
Sasa mmeshindwaje kumuacha kipotoshi aongee mmemkatisha?
@gwamakawilliam5895
@gwamakawilliam5895 5 месяцев назад
Kwani huyo wakazi ndo anafanyaga nini nchi hii?
@frankSimle-gx1jv
@frankSimle-gx1jv 5 месяцев назад
😅😂
@kimbwapulekig8126
@kimbwapulekig8126 5 месяцев назад
wakaz hajuaji kitu huyoo
@BenLeeBl
@BenLeeBl 5 месяцев назад
huyu tangu aende marekan kila kitu marekani
@salmabinyaga2357
@salmabinyaga2357 5 месяцев назад
Mshamba huyu mbuzi
@samwelisack2076
@samwelisack2076 5 месяцев назад
Hahahah
@Commentsplus
@Commentsplus 6 месяцев назад
Wakazi acaha ujuaji
@sammasika3627
@sammasika3627 6 месяцев назад
Wakaz we choko
@isaacknjuguna6398
@isaacknjuguna6398 2 месяца назад
Mtu wenye matunda hupigwa mawe..waisa pigeni kazi uyo jamaa hajielew Kwan lazma acheke yeye
@kingswebe3251
@kingswebe3251 5 месяцев назад
Niseme ukweli nimemfahamu wakazi leo hii kupitia eliud
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 5 месяцев назад
Hapo kwenye kujipata hapo Joel nanauka anasema student A wanafanya kazi kwa student C kwasbabu student C walipofeli walichagua kitu cha kufanya na wale student A waliendelea kukomaa shuleni
@lwitikomayele5819
@lwitikomayele5819 6 месяцев назад
"Mafanikio sio lazima aprove wakazi"
@semenitheclassic
@semenitheclassic 5 месяцев назад
Wakazii Wakiiii😂😂😂
@castorymakwanda4344
@castorymakwanda4344 5 месяцев назад
Naona mkono uliteleza badala ya wachekeshaji imeandikwa washekeshaji
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 6 месяцев назад
Nafasi gan anayo uyu wakaz
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 5 месяцев назад
Shida ya wakazi ni kuvunga anajua kila kitu
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 6 месяцев назад
Cheka tu ninoma zaidi ya hawa watu baki
@robertsimfukwe1097
@robertsimfukwe1097 5 месяцев назад
Wakazi hajawahi kuwa naakili timamu na uwezo wake wakunifimilia ni mdogo sana expore yake haina positive impact kwenye industry nfio maana mwenyewe hawezi kujisimamia mpaka atembee na upepo wawenzake
@Khalidniya380
@Khalidniya380 6 месяцев назад
Huyu wakazi anaboa sana bwege kabisa
@FucianeBulemo-nd4wc
@FucianeBulemo-nd4wc 6 месяцев назад
Huyo wakazi hana uwezo wa kuzuia riziki ya mtu.
@eaglenotorious2527
@eaglenotorious2527 6 месяцев назад
Opposite na IKULU😅😅😅
@njoroboihastla
@njoroboihastla 6 месяцев назад
Rich anacheka tuu😂😂😂
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 5 месяцев назад
kusema hawajui kuchekesha wakati hao ndo wanaotuchekesha unatukosea
@patrickpatrick6386
@patrickpatrick6386 5 месяцев назад
Wakazi kajifanya mzungu eti
@mdachiog5211
@mdachiog5211 6 месяцев назад
Wakazi huna kazi Mana hata mziki wako hamna kitu😂😂😂
@godfreyamyinga5759
@godfreyamyinga5759 5 месяцев назад
Wakazi hana kazi ,mwambie abadilishe kofia hiyo
@benancejohn1198
@benancejohn1198 5 месяцев назад
Kwa hiyo Wakazi anajua kila kitu sasa 🤔
@user-eu3ed2uy6b
@user-eu3ed2uy6b 4 месяца назад
Uo n uongoooo bwanaaaa,,,, mkojaniiii howw
@law93king
@law93king 6 месяцев назад
wakazi bwege tu wewe binadamu gani mjuaji wa kila kitu😅
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 6 месяцев назад
Eliud vs yombo hapo vp
@kanchuninja
@kanchuninja 5 месяцев назад
Wakazi chizi
@ministererickluhanga810
@ministererickluhanga810 5 месяцев назад
Hamna baya comedians huko huko marekeni mtaenda
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 6 месяцев назад
Ebuu chekesha ww wakaz tuone
@user-mr2ow1yi3g
@user-mr2ow1yi3g 5 месяцев назад
Anataka tu, nayeye ku treend
@Zillionking627
@Zillionking627 6 месяцев назад
Kwani uyu jamaa ninani 😢
@Zillionking627
@Zillionking627 6 месяцев назад
Wakazi😢😢mjuaji sanaa 😢😢😢
@fizzozimba
@fizzozimba 5 месяцев назад
Kipaji juhudi na bahati
@kennyclever524
@kennyclever524 5 месяцев назад
Tatizo la wakazi ni kwamba yeye huwa ni mjuaji
@khalidmdotta3843
@khalidmdotta3843 3 месяца назад
Ww fala siulikuwa mwanamuziki raper ulifanya nini acha usenge acha watu wapambane maisha
@ikabako2454
@ikabako2454 5 месяцев назад
W kwenye kofia yake inastand for “wack” ! Wakazi hanaga issue ni ujuaji tu ambao hauna msingi.
@bandit3779
@bandit3779 6 месяцев назад
Eliud ni moto na Question ni hatarii
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 5 месяцев назад
Kil kitu anajitia anajua
@mwansasu
@mwansasu 5 месяцев назад
Wakazi umetwangwa nakitu kizito na Eliudi
@adelinatate9704
@adelinatate9704 6 месяцев назад
Hahhahahha mmuweza,hakuna ajuacho kwa comedy 😅
@mozasalum8742
@mozasalum8742 6 месяцев назад
Huyu mpumbavu wakazi anajiona anaakili nyingi wakati chengu2 kilakitu anatanguliza wivu2 walayeye hanaliwalo
Далее
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
Просмотров 10 млн
KIPOTOSHI: UOSA LIVE COMEDY SHOW / FINALIST EDITION
13:44
MC ELIUD ALICHOKIFANYA KWENYE HARUSI HII UTACHEKA
17:02
ELIUD KWENYE JUKWAA LA WAISA (PART 2)
12:53
Просмотров 353 тыс.