Тёмный

WAKRISTO WAMSHANGAA YESU KUONGEA NA KUNDI LA MAJINI BAADA YA KUSINGIZIA QURAN 

Straight Path Dawah
Подписаться 70 тыс.
Просмотров 42 тыс.
50% 1

Please subscribe to my channel for more videos.

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 461   
@FatmaAboubakar-z7o
@FatmaAboubakar-z7o 3 месяца назад
Pole sana shekhe kwakazi iyo unayofanya,Allah akulipe kheri.
@fatumakiboto6157
@fatumakiboto6157 Месяц назад
wakrixto ni no wapumbavu
@SharifaKarim-w8r
@SharifaKarim-w8r 4 месяца назад
Hakika sheikh unafany kazi nzur san hakika Allah atawalipa
@HabibalKalbi
@HabibalKalbi 5 месяцев назад
Mashallah tabaraqallah mungu awahifadhi
@RamadhanRamadhan-cx3tj
@RamadhanRamadhan-cx3tj 4 месяца назад
Ramadhan una subra ya hali ya juu sana .Allah akuneemeshe zaidi kwa kutuwakilishia sisi waislam. Wenye uwezo wa mali wamuwezeshe yeye na wenziwe kutangaza dini kiurahisi na iwe ndio kazi rasimi. Na ndio hasaa kazi ya Mali mutaikuta mtaikuta mali zaidi here after AMEEN
@FatwimaZahrau
@FatwimaZahrau 4 месяца назад
❤mashaLLAH SHEIKH WANGU
@isahbarasa
@isahbarasa 4 месяца назад
Asalam aleikum waramtulah wabarakatu brother KAZI safi ya mwenyezi mungu
@abdigabgos6298
@abdigabgos6298 5 месяцев назад
JazakaAllah mwalimu
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 4 месяца назад
Mungu awazidishie jaman mnajitahidi saana
@ZsbAlbarwani
@ZsbAlbarwani 5 месяцев назад
Allah awabarikia Insha'Allah
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 5 месяцев назад
Ma sha Allah tabaraka Rahman kazi nzuri walim ngu Allah amtagulie Kila kitu
@SalimOmary-w8j
@SalimOmary-w8j 5 месяцев назад
MashaAllah maalim kulia nakupenda kwaajili ya Allah kwajinsi unavo tambua maandiko
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 5 месяцев назад
Ma Shaa Allah Tabarakallah kazi Allah awaongoze
@minhajsahal4467
@minhajsahal4467 4 месяца назад
Allahu Akbar.
@salmaminja7714
@salmaminja7714 5 месяцев назад
Allah Akbar. Uctadh Allah akupe subra kwn ni ngumu kuwalingania wasijua din ya haq Allah akupe maisha marf na afya tele ili uweze kuwapa waadh na kusilimu. Allah ni mjuz utapata malipo dunian na kesho akhra. Upo vzrr mnoo. Subhanallah Allahu Ma'anaa. Jazakallah khaira wajazaa. Idhaa Aradallah
@bentybenty2343
@bentybenty2343 5 месяцев назад
Masha ALLAH ❤❤🎉
@JamaMohamed-xi7uk
@JamaMohamed-xi7uk 4 месяца назад
MASHA ALLAH
@saudahassan6667
@saudahassan6667 5 месяцев назад
Mashaallah maalim ramadhan allah akuongoze
@nasramusaro
@nasramusaro 5 месяцев назад
Dah! Kaka Ramadhani mwenyezi Mungu amekujaalia akili Masha Allah unawahangaisha mpaka wanataka kulia
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 5 месяцев назад
Wanatakakulia
@BastAbdallah
@BastAbdallah Месяц назад
Allah Mlezi Wetu Akulipe Kila La Her Shekh Ramadhani
@fatmaali6780
@fatmaali6780 5 месяцев назад
Pastor ana munkar kweli MashaAllah Ramadan una subra sana mm mwenyewe nimechemka
@ibnusleyyum9743
@ibnusleyyum9743 4 месяца назад
MashaaAllahu
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 5 месяцев назад
Baada ya mchungaji kuupinga uislam, Alhamdulillah kipindi kimeishia na shahada na kidume mr Juma'a amekuwa muuslam na kumuacha pasta kuendelea na kufuru yake lkn tunamuombea kwa Allah amuongoze.
@oromiyaajittu7188
@oromiyaajittu7188 4 месяца назад
Mashallah
@Allymbaruku991-lj1om
@Allymbaruku991-lj1om 5 месяцев назад
Ma sha ALLAH
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 5 месяцев назад
Juma Ndugu ngu umepata ukweli nakuamua uamuzi mzr Allah akuogoze apa n kesho akhera
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 5 месяцев назад
Allahumma aamiin Yaa Rabb Al 'alamiin ❤
@yassiinabdi3807
@yassiinabdi3807 17 дней назад
MASHA ALLAHA tunawapenda
@mzamomwangome4961
@mzamomwangome4961 5 месяцев назад
sheikh wangu Ramadhan Allah akuhifadhi na akulinde pia ya husda za majini na watu.
@SaidMgeni
@SaidMgeni 5 месяцев назад
MashaAllah nimefurahi Daawah Mitaani inaedelea in shaa Allah Kila la kheir waalimu wetu
@Abu-tasnim
@Abu-tasnim 4 месяца назад
Manshallah
@rizikiali328
@rizikiali328 5 месяцев назад
Assalam Aleikum sheikh Ramadhan mashallah Allah awahifadhi hawa watu kuelewa ni wagumu but hawajui
@Nangaikalumekenge
@Nangaikalumekenge Месяц назад
Pole Shehe Ramadhani kwa kelele ya huyo pastor asiye na hekima.
@AngoSheriff-be5mq
@AngoSheriff-be5mq 5 месяцев назад
Kazi nzuri napenda hii
@HabibuMuhunzi
@HabibuMuhunzi Месяц назад
Eti yesu ni mungu jamni hii dunia mungu atusamee
@IddyMzuri
@IddyMzuri 2 месяца назад
MANSHAALLAH ,
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 5 месяцев назад
ALLAHU AKBAR ❤
@MohamedMaliwata-i5j
@MohamedMaliwata-i5j 25 дней назад
MUNGU akuongoze wew na wengine katika utoaji wa dam
@AyubuIkaku
@AyubuIkaku 3 месяца назад
Allah akbar
@kennedykimutai2298
@kennedykimutai2298 5 месяцев назад
This pastor really understands what he's saying I like his coherence
@Sal.0
@Sal.0 5 месяцев назад
Yeah, he isa very FLUENT and coherent LIAR who changes the meaning of EVERY Bible Verse read out by Kuria.! Your 'Nusu Mkate Brain' beeds a reset, Omera!
@JohnMunyua-fr8jt
@JohnMunyua-fr8jt 5 месяцев назад
Kweli ni jacaranda things really hot 🔥 masha Allah
@hanifahkhamiss8485
@hanifahkhamiss8485 5 месяцев назад
Subhanallah jamani hawa watu ni wakaid na maandiko hawayataki wanabadilisha😢😢😢😢Allah awaongoe wallah 😢
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 4 месяца назад
SubhanaAllahLeoNimechekaNipojkon.hapaOman.mimi.shagara🤣🤣🤣
@MohammedMohammed-gp9xq
@MohammedMohammed-gp9xq 5 месяцев назад
hili pastor pumbavu Sana
@MohamedMaliwata-i5j
@MohamedMaliwata-i5j 25 дней назад
❤❤
@Al-hidaya.tv.burundi
@Al-hidaya.tv.burundi 5 месяцев назад
MaaShaaAllah
@Bintiiiiiiiiii
@Bintiiiiiiiiii 5 месяцев назад
Sheikh Ramadhani ukona subra kweli, mwenyezi mungu akupe maisha marefu
@husseinmwenja4398
@husseinmwenja4398 4 месяца назад
MashAllah kaka Ramma
@ROGUESON-wb2ts
@ROGUESON-wb2ts 2 месяца назад
Daah allah awaongoz kwakaz
@shabaniramadhan6751
@shabaniramadhan6751 2 месяца назад
❤Tatizo ndugu zetu kitabo chao hawakisomi. Hua wanasoma yale yanao wapa advantage
@MaryamIssa-y7v
@MaryamIssa-y7v 4 месяца назад
Laahaula walaa kuwwata illaa Billahi! ata voice procedure pia shida.duuh!
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 3 месяца назад
Subra yako ostadhi ni ya kiwango, mm ningepiga uyo pastor makofi
@rizikiali328
@rizikiali328 5 месяцев назад
Alhamdulillah ala neematul Islam kama wewe ni muislam sema alhamdulillah
@AbdirahmanhHalakhe-pn2zd
@AbdirahmanhHalakhe-pn2zd 5 месяцев назад
MASHAALLAH
@suleymanali431
@suleymanali431 5 месяцев назад
Mashaalah mungu awzidishiye,Ramadhan mungu akupe kheri ila ningiliomba mapasta kaa hawa wanaoRopika maneno za vichwa zao usiwape muda mwingi wa kuwasikiza wanapoteza tu mda hawa ni wale mwenyezi mungu amesema hawasikii ni viziwi hawaoni ni vipofu na hawatarejea mpaka mungu awaongoze. Kwa hivyo huyu jama amekuja na maneno ya paulo yuko katika kila mihadhara na ubishi please ungemtolea hile andiko ilioko bibilia inasema mimi paulo ni mwongo na kuna mwingine pia amesema nimejifanyia kua kalamu ya waandishibkuwa ya uwongo nami ikanibidi nijitungiye tungiye. Ume wapa mdanmrefu warope bila maandishi .
@josemu870
@josemu870 5 месяцев назад
MashAllah
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 5 месяцев назад
Subhannallaj eti wakiristo wanasema yesu nimungu innalillah wainna ilaykh lajiun
@Majiifande
@Majiifande 4 месяца назад
Wewe unasema Yesu ni nani??
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 4 месяца назад
@@Majiifande yesu ni mtume wa mwenyezi mungu
@RamadhanRamadhan-cx3tj
@RamadhanRamadhan-cx3tj 4 месяца назад
Yesu ni Muisilam .
@sammunialo5463
@sammunialo5463 4 месяца назад
Dhibitisha
@abdisalammohamed3691
@abdisalammohamed3691 4 месяца назад
Kongole Sheikh wetu
@muminaroba9122
@muminaroba9122 5 месяцев назад
Allahu Akbar
@DanKanu-ox4hx
@DanKanu-ox4hx 4 месяца назад
Yesu ni mtume sio Mungu
@Majiifande
@Majiifande 4 месяца назад
Ni sawa na Muhammad??
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 4 месяца назад
​@@MajiifandendyoIlamtumeNizaidi.kwaniyeyeNiwaulimwenguwooteYahnWatuWoote
@samxx411
@samxx411 5 месяцев назад
Mara nyingi wakristo wanapinga ili kubisha uislamu tu lakini hawana maandiko ya uhakika. Pastor anajazba sana ili kuzuia kusafahamishwe watu wakafahamu
@comarcabdall1564
@comarcabdall1564 5 месяцев назад
Keep going ✌️
@UMMYYFATMA
@UMMYYFATMA 5 месяцев назад
MASHAALLAH ♥️ TABARAKALLAH
@Yusufualawi
@Yusufualawi 3 месяца назад
😊
@bibleknowledge-b1y
@bibleknowledge-b1y Месяц назад
Yohana 3:14-15 [14]Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; [15]ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye. Yesu aliteseka, kufa na kufufuka kwa ajili ya dhambi zetu.. Bila hivyo hakuna msamaha... Wakolosai 1:14 [14]ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi;
@kennedymanyonge6170
@kennedymanyonge6170 5 месяцев назад
Wakristo ni kelele tu hakuna kitu wanajua. Wanasoma maandiko na kuyatasfiri kama fasihi simulizi.
@sammganga6865
@sammganga6865 4 месяца назад
Manadanyana waislamu
@bahsansheikh6042
@bahsansheikh6042 5 месяцев назад
Pastor anachanganya maneno
@abuually-ol2xc
@abuually-ol2xc 3 дня назад
Nimejifunza kitu katika haja masemezano ! Funzo nililolipata kwamba muislamu anapomzungumzia mwenyezimungu basi hasubutu kusema uwongo .ila mkristo anapomzungumzia mwenyezimungu basi hutumia uwongoo ndio maana unapomuuliza yesu ni mungu anakwambia ni mtoto wa mungu na unapomujliza je mungu anazaa anakwambia oohh maana mungu mungu hazai ila kwa kuwa amekuja duniani kimwili basi ndio tunasema yesu ni mtoto wa munguu 😂😂 yaani uwongoo mtupuu kazi kudanganya watu basi 😂 coz kama kweli ukristo ni dini kweli ya mungu sasa mbona wnajichanganyaa ! Mara waseme yesu ni mungu sijui mara waseme ni mtoto wa mungu yaani tafrani tu ! Namshukuru sana mola wangu kunijaalia kuwa muislamu imani yangu ni thabiti hina kujichanganya wala ubabaishaji ❤
@ShabaniHaruna-ul6yu
@ShabaniHaruna-ul6yu 4 месяца назад
Mungu wa kweli hakuzaa wala hakuzaliwa
@seifissa9705
@seifissa9705 5 месяцев назад
Jeshi la mtu mmoja
@samxx411
@samxx411 5 месяцев назад
Pastor anawachanganya watu wasielewe maandiko.
@RamadhanRamadhan-cx3tj
@RamadhanRamadhan-cx3tj 4 месяца назад
Luka cpt 4 vrs 41 Yesu kaukataa u wana wa Mungu. Pia awakemea wamwitao mwana Mungu. Kwa kuwa yeye ni nabii
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Soma mathayo 16:16
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 5 месяцев назад
: وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِنَ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآنَ فَلَمَّا حَضَرُوهُ قَالُوا أَنْصِتُوا فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَى قَوْمِهِمْ مُنْذِرِينَ ۝ قَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنْزِلَ مِنْ بَعْدِ مُوسَى مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ وَإِلَى طَرِيقٍ مُسْتَقِيمٍ ۝ يَا قَوْمَنَا أَجِيبُوا دَاعِيَ اللَّهِ وَآمِنُوا بِهِ يَغْفِرْ لَكُمْ مِنْ ذُنُوبِكُمْ وَيُجِرْكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ
@saniairadukunda4400
@saniairadukunda4400 4 месяца назад
ASSALAM alaykum warahmatullah wabarakatuh 😂😂😂😂😂😂 hao jamaa ningumu sana kuelewa. ALLAHU alisha maliza kwakusema katika sura til baqara yakua .HAO NI VIZIWI NI MABUBU NA TAYARI WALISHA FUNIKWA NA VIFUNIKO VIKUBWA
@habibasalim3092
@habibasalim3092 5 месяцев назад
SubhanaAllah yaani mungu alikuja akaingia kwenye mwili wa mary, 😅😅😅
@rizikiwilliam-eh3oi
@rizikiwilliam-eh3oi 4 месяца назад
Huyo pastor yuwahisi mkojo
@adanabdi5249
@adanabdi5249 5 месяцев назад
Sawa Shehe.
@ABUUALLY-z6x
@ABUUALLY-z6x Месяц назад
😂😂😂😂 wakristo wabishii hatariii daah Allah awaongowee
@SalimOmary-w8j
@SalimOmary-w8j 5 месяцев назад
MashaAllah muslim itaeleweka
@habibasalim3092
@habibasalim3092 5 месяцев назад
Jini ukumuacha ajiondokea bila mpango,ataataenda kuingia kwa mtu mwengine,na wengine wanasema toka na uende katika shimo la giza,,akienda gizani,si ataenda kuendelea kubaki mbaya
@HusnaSharifu
@HusnaSharifu 4 месяца назад
Mimi nauliza Kwani uislam uje kwa lugha ya kiarabu na siyo lugha tofauti
@MaryamIssa-y7v
@MaryamIssa-y7v 4 месяца назад
Kila kitabu Mungu kakichagulia lugha yake kulingana na mtume mwenyewe na watu wake,mf Kuna mpaka bible za kinyakyusa lakini Mungu hakuturemsha kwa kinyakyusa kweli si kweli,Mungu ametemsha Qur-an kwa kiarabu sababu mtume aliyempa jukumu Hilo ni Muarabu km injili na torati zilivyoshushwa kulingana na lugha za mitume hao hivyo qur an kushushwa kwa kiarabu:- 1. Ndio uchaguzi WA Allah alioutaka. 2.Mtume aliyemshushia na jamii yake lugha Yao kiarabu. 3.Qur-an kushuka kiarabu na hamna kutengeneza kwa lugha nyengine Ili isiweze kubadilishwa badilishwa km walivyofanya ubande WA pili. 4.ndio identity ya uislaam wote kokote utakapoenda Duniani mfanano ni Mmoja kisomo kilekile iwe urusi iwe marekani uwe mzungu uwe machina uwe Afrika ume Masai uwe jaluo lugha Moja tu
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 4 месяца назад
Hahaha et mungu hakuumba majini
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 5 месяцев назад
Pasta mshindani kweli aisee
@abdinasir5514
@abdinasir5514 3 месяца назад
Wanafuraha husikia kuhusu uislami😅❤
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 4 месяца назад
Aman Kweli wafuasi wa Wazungu na Waarabu hamumjui kabisa Bwana YESU.Sisi Tunasema Yesu Ni MUNGU.
@KoronelioObedi
@KoronelioObedi 4 месяца назад
Yesu atawaumiZa vichwa mpaka kufa,
@DanKanu-ox4hx
@DanKanu-ox4hx 4 месяца назад
Huyu pastor Ako confused 😂😂
@Idysalim
@Idysalim 5 месяцев назад
This pastor is talking too much anahitaji sauti ya salim Ngugi ndo anafaa kuwa mwalimu wake, mashaAllah Ramadhan una subra sana na huyu pastor ambaye anaongea mambo ya kichwa tu Allah awape mwongozo eti Mungu anafanana na sisi Subhana-Allah
@AftinWarsame-w8c
@AftinWarsame-w8c 4 месяца назад
Pasta anaspeed sna
@ikujoitambu2712
@ikujoitambu2712 5 месяцев назад
MashaAllah kwani kipi hapo mwakristo wanabisha?
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 4 месяца назад
Jamani watu Hawa wote hawaeleweki watafuteni wanaoeleweka. Africa to Europe church wanaoeleweka vizuri.
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 5 месяцев назад
Pasta kichefu, kelele nyingi na hataki kuelewa.
@farheenmasoudchannel2495
@farheenmasoudchannel2495 2 месяца назад
ma sha allah
@estakenia
@estakenia 4 месяца назад
😂 kuria atawadanganya mpaka mwingie box. Chunga sana
@habibasalim3092
@habibasalim3092 5 месяцев назад
Na mwenye atatoka akilia atoke bado atakwenda kumdhuru mtu,mwengine, hata atakapo kabla ya kuondoka anaambiwa akue muislamu ili asiende kumdhuru mtu mwengine,na ataapishwa kwamba hatorudi katika mwili huo na hata mwengine,,
@habibasalim3092
@habibasalim3092 5 месяцев назад
Kwahio yesu aliingia kwenye mwili akue mungu, kisha akufe amuache shetani aendelee kupotosha watu wamuasi yeye mungu,,tena huyo mungu auwawe na wanadamu wake alowaumba mwenyewe
@FRANKJOSEPH-ke8hs
@FRANKJOSEPH-ke8hs 4 месяца назад
Unaokufa ni mwili lkn roho Iko hai sawasawa na kufa kwa yesu aliuacha mwili lkn yy kwasababu ni Mungu na Mungu ni Roho aliendelea kuwa hai na kuendelea na kazi yake ktk Roho na hata sasa yuko hai ktk Roho ndio maana huwezi kumuona Leo ktk mwili
@shafiismaily9223
@shafiismaily9223 4 месяца назад
Hata kwa binadamu kinachokufa ni kiwiliwili, roho huenda kwa mungu!!​@@FRANKJOSEPH-ke8hs
@ShabaniHaruna-ul6yu
@ShabaniHaruna-ul6yu 4 месяца назад
Mim8 ninamke wangu anao majini na nimkristo Ivo majini ha wakristo wanayo
@shabbymakapane
@shabbymakapane 3 месяца назад
🤣🤣🤣
@juliusjamanda7313
@juliusjamanda7313 4 месяца назад
Majini walimuuliza Yesu mbona umewai mapema kuja kutuhukumu ...tuamuru basi tuingie wale Nguruwe...waislam Wana Argument za mtoto wangu wa grade 2 ...wasoma Biblia kama Quran
@AshamMussa
@AshamMussa 5 месяцев назад
Wanosema Yesu mungu kwenye bblia ni maneno yakusemewa lakini mwenyewe sehemu zote kajiita kuwa yeye ni binadamu
@bassambashirou4604
@bassambashirou4604 4 месяца назад
Wanamlazimisha japo kakataa yaani ni mwendo wa kijitoa ufahamu tu
@Adm9464
@Adm9464 5 месяцев назад
Pastor kelele. Unga ita mwagika.
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 5 месяцев назад
SADAKA ina tetewa kwa UWONGO wa Pastor wote!
@bassambashirou4604
@bassambashirou4604 4 месяца назад
Huwezi kuwa mkristo mpaka ujitoe ufahamu
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 5 месяцев назад
Binadamu aki asi kwa hiyo hakui kiumbe cha Mungu tena?
@SinaHafidhi
@SinaHafidhi 5 месяцев назад
Mtakeshe nahao wakristo wasiyojua dini
Далее
WACHUNGAJI WATATU WAKIMBIA HOJA NA KUACHA KONDOO WAO
56:36
NDACHA AKUBALI KUSOMA MADRASSA
1:00:22
Просмотров 16 тыс.
Day 2 | IEM Rio 2024 | Playoffs | КРNВОЙ ЭФИР
6:11:51
GENIUS FOOD HACKS 🍰 #shorts
00:36
Просмотров 17 млн
"MUNGU HANA MKE." PASTOR NDACHA AKIELEZEA YESU NI NANI.
1:25:25
Day 2 | IEM Rio 2024 | Playoffs | КРNВОЙ ЭФИР
6:11:51