One thing I like wajaluo is that they are easy to understand and once they do they follow immediately...si kaa watu wengine mtu ameona ukweli haki lakini baado kishipa.
Mashaalah Ramadhan mungu akuzidishiye kheri huyu jama mwenye kofia una msikiza sana anaweza anapoteza mda wako sana hukumuelewa huyu mwenyewe sheytani amemu mpoteza na anaweza kuwachafua Roho wenye kusilimu yeye pia haamini bibilia inafaa umjulishe kua bibilia sio kitabu cha mungu kua bibilia ni kitabu cha uongo inatakiwa uwape umuelewe ame ku confused na bibilia.
Asalamu Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh Mashaa Allah Allah Awaongoze zaidi pamoja na familia zao,اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين
Asalamu aleykum. Suali hilyo ame uliza waso hana wa islamu wa vaa nguwo ina kamta. Mimi majibu ni . ( ashadul adaab) iko mara 2. Kuwanza firiwn atapata hiyo ashadul adaab. Second one . Ni wali wa islamu lakini wa fati yeyye Quran ame sema Muslim lady wana jua hiyo style wana vaa they look like muslin Hawa fanyi vile sura ina sema they make own style. Hawa inso wata pata ashadul adaaab.