Тёмный
No video :(

WANACHUO WAKULIMA "TUPO WATANO, NILITUMIWA NAULI NIKAGOMA KURUDI NYUMBANI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 65   
@goddamwakimi5889
@goddamwakimi5889 3 года назад
Daaah mungu awasimamie ndugu ZANGU tuko pamoja
@siriyangu4724
@siriyangu4724 3 года назад
Mashaallah yani tusome tuondowe ujinga cyo kila anaye soma ana ajiriwa utaona mtu anamaliza umri wke kuzunguuka tu na vyeti ongereni kwa kujiongeza mungu atazindi kuwapambania amen
@samsungj7pro64gb5
@samsungj7pro64gb5 3 года назад
Emeona eeh
@siriyangu4724
@siriyangu4724 3 года назад
@@samsungj7pro64gb5 bila chenga😀
@samsungj7pro64gb5
@samsungj7pro64gb5 3 года назад
@@siriyangu4724 tuondowe ujinga 2 school mwaya maaana unaona mda mwingi umeutupa mafanikio amna kwakweri inauma
@rwandaafrika6173
@rwandaafrika6173 3 года назад
Hongereni vijana Kwakweli nimefurai sana kwa hii Kazi Mzuri kwakweli 👌💪🍾
@saidhuma9171
@saidhuma9171 3 года назад
Harmonize apeleke msaada huko, na sio kugawa magari dar
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 года назад
Sio harmonize tuy ata diamond ni msenqe san yan
@anoldjose7793
@anoldjose7793 3 года назад
@@wamoroboy8963 😂😂😂
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 года назад
@@anoldjose7793 😂👐
@jumaallymningoallymningo3563
@jumaallymningoallymningo3563 3 года назад
Mungu atari huko ndiko kujiongeza sio kulalamika na kulaumu
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 года назад
Kabisa!
@georgeisdory9998
@georgeisdory9998 3 года назад
Dhaaa mbaka nawatamania hongera sanaa wapendwa Mungu awabariki Mashujaaq
@joasitz9559
@joasitz9559 3 года назад
Mwe hongereni sana vijana kwa kujituma.
@mohamedkikale7241
@mohamedkikale7241 3 года назад
Wenye akir ndio Wenye kuzingatia!
@musagesedoto9967
@musagesedoto9967 3 года назад
Fightings pay, hongera kwao, wadau husika waone kitu Apo.
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 3 года назад
Safi sana sana dc,rc ,na staff waofcn ya mkoa waangalie hata kwa ushauri
@feimohach
@feimohach 3 года назад
Hongera kwa mandugu hawa! Msife moyo Mwenyewezi Mungu atafungua, nawaombea kila la kheri na mafanikio, ayo TV asanteni kwa juhudi zenu kama hizi, zidisheni video kama hizi shukran!
@allyjumakukulo4972
@allyjumakukulo4972 3 месяца назад
Hongereni san vijana wenzangu
@robertnicodemas5853
@robertnicodemas5853 3 года назад
Asante Millard Ayo kwa habari zako nzuri
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 года назад
Salaam za pongezi kwa vijana watanzania wote wanao jitambua.
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 3 года назад
Hongereni sana. Mungu mwema lazima mtafanikiwa
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 года назад
Hongereni
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 3 года назад
Mashallah kweli wapambanaji jamanii
@lufeferanana8913
@lufeferanana8913 3 года назад
ayo mungu akulipe kwa uwezo ulio nao .hao jamaa wanajituma sana wausika hitabidi wafatilie hilo wameonyesha kua niwajasilimiamali .pia kutokana na kujalibu kujikwamua kwao basi selikali iwasaidie kwa mkopo wa bey nafuu maana walimaliza chuo na awa................
@user-tb3du8fz7e
@user-tb3du8fz7e Месяц назад
Najifunza kwenye Nia Kuna njia na hakuna mafanikio rahisi yaani no sweat no sweet
@emmanuedamas2952
@emmanuedamas2952 Год назад
Hongera Sana jack my sister
@suleimanismail5569
@suleimanismail5569 Год назад
Safi sana msife moyo endeleeni kupambana
@hassanlubola414
@hassanlubola414 3 года назад
Wapo vizuri sana
@jumakitandu5438
@jumakitandu5438 3 года назад
Hao ndugu wanapambana sana ila kilimo kinahitaji kucheza na misimu
@vickyadrian1503
@vickyadrian1503 3 года назад
HAWA NDIYO AINA YA VIJANA TAIFA LINA WAHITAJI RAIS MAGUFULI WAANGALIE HAWA VIJANA KWA JICHO LA KIUCHUMI ZAIDI
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 года назад
@vicky Adrian Rais Magufuli anatakiwa atoe ajira ilo ndio swala la muhimu
@emariohjohn3743
@emariohjohn3743 3 года назад
Nikweli....
@martinemaganga2546
@martinemaganga2546 3 года назад
@@nakundwamkubwe7823 ajira siyo lazima ,fanya unachoweza ajira ni utumwa
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 года назад
@@martinemaganga2546 kama ajira ni utumwa mbona hao viongozi wameajiriwa? Unafikiri ni kazi rahisi kujiajiri mwenyewe? Vijana wa 5 hao wana vyeti na hawana kazi wakati wazazi waliwasomesha wakitegemea wapate ajira serikali leo mzazi atapata wapi pesa Za kumpa mwanae Za mtaji? Nasio hao tu vijana wengi wanahangaika! Cha muhimu serikali iongeze ajira na ifufuwe viwanda vilivyo kufa . Enzi mimi nakuwa kwetu tanga kulikuwa na viwanda kama 15 ivi ! Kila mtu alikuwa anakwenda kazini hata wasio soma walipata ajira kutokana na elimu yao ndogo . Viwanda vyote vimekufa na kubinafsishwa !
@salimalaquimane2640
@salimalaquimane2640 3 года назад
@@nakundwamkubwe7823 huko ulaya tu ajira ngumu sembuse bongo
@rumb9691
@rumb9691 3 года назад
Msikate tamaa kilimo cha mbogamboga kina lipa ipo siku mtatoboa .
@ombensamwel2626
@ombensamwel2626 3 года назад
Big up san vjana
@ziadamaulid9089
@ziadamaulid9089 3 года назад
Safi sana
@allyjumakukulo4972
@allyjumakukulo4972 3 месяца назад
Ila badilisheni mazingira mkiona Kuna changamoto ya maji na ardhi
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 3 года назад
Kwa Nini hamku lions Hilo kuona Na ma afisa kilimo WA wilaya ili Wawa onyeshe nzima fungueni macho Sasa mengi yame funguka kuweni wepesi ili mfaidike Mungu YUPO nanyi msikate tamaa ushindi uko mtaa wapili
@salimalaquimane2640
@salimalaquimane2640 3 года назад
Kikubwa serikar izid kutoa mikopo zaid kwa wajasilimali
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Год назад
BASHE anasemaje
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Год назад
Mwl. Atswaacha solemba ajira atapata
@davidmbaga2998
@davidmbaga2998 3 года назад
Nendeni kitere (Mtwara)mkanunue au mkakodi shamba kule kuna ardhi mzuri kwa ajiri ya kilimo na maji yapo mengi sana ya chem chem
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 года назад
Ila ndugi zangu komaeni kwani kilimo kinalipa kinoma noma kazeni na Allah yupo pamoja na waja wake kila siku
@waluohopaulo2116
@waluohopaulo2116 3 года назад
Hawa ni kama walisikia mafundisho ya Mweshimiwa Gwama alipokua akiongelelea mambo haya ya kilimo hiki.
@bjzee1981
@bjzee1981 3 года назад
Huyo pharmacist kweli wasimpe kazi na vile wako wachache
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 3 года назад
Milad endelea kutafuta vijana waohitaji msaada wadau wanaoweza wawachangie. Tujitahidi kupunguza vijana tegemezi mitaani
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 года назад
Walio soma wengi ndo walikua hawana ajira walokua hawajasoma ndo wamejazano ukokwenye maofisi kwasabubu wanajamaa zao Tanzania watu hawatizami vyeti kinacho angaliwa jee ww ni mtoto wa nani
@zainabwage4658
@zainabwage4658 3 года назад
Jibu konk ili💪
@georgedamas7097
@georgedamas7097 3 года назад
Vijana bado wanamoyo sana wa kufanya kazi, lkn sasa wanakosa "connection "
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 3 года назад
Uzur Kuna maji
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 года назад
Alafu cku wamekuwa matajir utackia wananzengo wanasema freemason
@fogotv7632
@fogotv7632 3 года назад
Mimi nataka kujiunga nao nibonyeze ngapi
@augustinomwamasinga2200
@augustinomwamasinga2200 3 года назад
Tafuta wa4 muwe wa5 nanyi mwanzishe
@hanskidd2290
@hanskidd2290 3 года назад
Kam vip na ss tuanzishe ya kwetu me nakuwa wa pili
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 года назад
@@hanskidd2290 niunganisheni na mimi maana kilimo nakipenda sana!
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 3 года назад
@@antoinekatembo8520 namimi jamani japo kua nipo kenya lakini kama mpo tayali nipo tayali kurudi nyumbani napenda sana kurima
@jumaramadhani1486
@jumaramadhani1486 3 года назад
Hapo hapo ulipo anza kaka mtaani unapoishi ongea na wenzio watano hata kumi mnajiwekea malengo tu nakujichanga changa mtafanya kitu kaka, hapa kwangu wife na mashoga zake walianzisha kikundi cha kuweka na kukopa na malengo ya kufunguliana biashara aisee mwanzo niliona wananijazia tu watu kwangu kila jmoc na makelele now mwenyew nikitingwa namuomba wife anikopee kwenye kikundi chao wamefunguliana biashara kila mmoja ht na umbea umepungua mtaani wapo biz na biashara zao na sasa wameanza kununuliana viwanja kwa wale wenye uhitaji ambae hana anapewa hela na lengo wajengeane walio nyumba za kupanga watoke huko niliona mwanzo wanaigiza lkn sasa mwenyw namuongezea wife hela ya kupanda ht kama hajaomba
@binsultan6981
@binsultan6981 3 года назад
Ndo maana mwenzenu nlijiongeza tangu darasa la 3 kusoma na kundika tu ilitosha nikaacha wenye jamaazao serikalin wasome....heeee si ndo kuna siku nimpta sheli naweka gar mafuta si akapita jama anauza karanga kumchek kumbe side aliekua anatokea wa kwanz darasn
@kiblahmchengule129
@kiblahmchengule129 3 года назад
Et maji mjini ni shida dah inaniuma sana tunashindwa maji kuwa ya uhakika wk yanatoka mara mbili dah
@sankofaman4112
@sankofaman4112 3 года назад
Millard Ayo washauri wafungue account ya GO FUND ME tuwachangie pesa
@chigasontv12
@chigasontv12 3 года назад
Hao wanavyeti vyao na wamejiongeza wewe zaidi ya chadaktari ukienda kupima huna kingine bado unachaguaa cha kufanyaa...uuuuumbwaaa wewe...utakula ushuzi....
Далее
KUTANA NA BEATRICE, MUUZA KEKI MWENYE MASTERS MBILI
5:16
#JasonStatham being iconic
00:38
Просмотров 302 тыс.
Simple Flower Syrup @SpicyMoustache
00:32
Просмотров 1,7 млн
KILIMO CHA MITI "MIKARATUSI"
26:52
Просмотров 20 тыс.
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Просмотров 4,8 млн
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
#JasonStatham being iconic
00:38
Просмотров 302 тыс.