Mashaallah yani tusome tuondowe ujinga cyo kila anaye soma ana ajiriwa utaona mtu anamaliza umri wke kuzunguuka tu na vyeti ongereni kwa kujiongeza mungu atazindi kuwapambania amen
Hongera kwa mandugu hawa! Msife moyo Mwenyewezi Mungu atafungua, nawaombea kila la kheri na mafanikio, ayo TV asanteni kwa juhudi zenu kama hizi, zidisheni video kama hizi shukran!
ayo mungu akulipe kwa uwezo ulio nao .hao jamaa wanajituma sana wausika hitabidi wafatilie hilo wameonyesha kua niwajasilimiamali .pia kutokana na kujalibu kujikwamua kwao basi selikali iwasaidie kwa mkopo wa bey nafuu maana walimaliza chuo na awa................
@@martinemaganga2546 kama ajira ni utumwa mbona hao viongozi wameajiriwa? Unafikiri ni kazi rahisi kujiajiri mwenyewe? Vijana wa 5 hao wana vyeti na hawana kazi wakati wazazi waliwasomesha wakitegemea wapate ajira serikali leo mzazi atapata wapi pesa Za kumpa mwanae Za mtaji? Nasio hao tu vijana wengi wanahangaika! Cha muhimu serikali iongeze ajira na ifufuwe viwanda vilivyo kufa . Enzi mimi nakuwa kwetu tanga kulikuwa na viwanda kama 15 ivi ! Kila mtu alikuwa anakwenda kazini hata wasio soma walipata ajira kutokana na elimu yao ndogo . Viwanda vyote vimekufa na kubinafsishwa !
Kwa Nini hamku lions Hilo kuona Na ma afisa kilimo WA wilaya ili Wawa onyeshe nzima fungueni macho Sasa mengi yame funguka kuweni wepesi ili mfaidike Mungu YUPO nanyi msikate tamaa ushindi uko mtaa wapili
Walio soma wengi ndo walikua hawana ajira walokua hawajasoma ndo wamejazano ukokwenye maofisi kwasabubu wanajamaa zao Tanzania watu hawatizami vyeti kinacho angaliwa jee ww ni mtoto wa nani
Hapo hapo ulipo anza kaka mtaani unapoishi ongea na wenzio watano hata kumi mnajiwekea malengo tu nakujichanga changa mtafanya kitu kaka, hapa kwangu wife na mashoga zake walianzisha kikundi cha kuweka na kukopa na malengo ya kufunguliana biashara aisee mwanzo niliona wananijazia tu watu kwangu kila jmoc na makelele now mwenyew nikitingwa namuomba wife anikopee kwenye kikundi chao wamefunguliana biashara kila mmoja ht na umbea umepungua mtaani wapo biz na biashara zao na sasa wameanza kununuliana viwanja kwa wale wenye uhitaji ambae hana anapewa hela na lengo wajengeane walio nyumba za kupanga watoke huko niliona mwanzo wanaigiza lkn sasa mwenyw namuongezea wife hela ya kupanda ht kama hajaomba
Ndo maana mwenzenu nlijiongeza tangu darasa la 3 kusoma na kundika tu ilitosha nikaacha wenye jamaazao serikalin wasome....heeee si ndo kuna siku nimpta sheli naweka gar mafuta si akapita jama anauza karanga kumchek kumbe side aliekua anatokea wa kwanz darasn
Hao wanavyeti vyao na wamejiongeza wewe zaidi ya chadaktari ukienda kupima huna kingine bado unachaguaa cha kufanyaa...uuuuumbwaaa wewe...utakula ushuzi....