Asalaam Alaykum mie nachukuwa fursa hii kumpongeza sana alieuliza suali la maana sana na Sheikh umetuoa elmu ya hali ya juu Allah akuhifadhi yaana hawa viongozi wwngine wa dini wanajisahau kwemye elmu lazima kabla hujasema kitu kama hukijui basi soma kwanza ukizia kwanza usipoteshe umma tu Dr Sule jitafakari ssna kwenye hoja zako unawapa waislamu mkanganyiko kwa maneno yako
Sisi Waislamu kiigizo chetu ni Mtume wetu Muhammad Swalla llahu Alayhi Wassalaam, Dr. Sulle aliwahi kusikia Mtume Muhammad katumia majini kuendesha maisha yake, Laa Hasha Mtume Muhammad Swalla llahu Alyhi Wassalaam hajawahi kutumia majini wa aina yoyote katika maisha yake yote, Dr. Sulle umeteleza muombe Msamaha Allah, Sisi binaadamu hatujakamilika kila siku tunakosea, hakika Sheikh huyu amekupa nasaha njema, kujikwaa si kuanguka.
@@salamanyale2226 Nilipokua Makka huo msikiti niliuona, na una jina hilo, ila si kwamba majini waliujenga, umejengwa na wanadam, hapo kihistoria ndio pale Mtume anasoma Quran majini wakapita na kuambizana, Hebu tunyamaze tusikilize. Kisha wakaondoka kuenda kwa wenzao kuwapa taarifa walivyoisikia Quran ya ajabu.
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
Shekhe Maasha Allah umeeleza vizur sana, ila waliowashirikina watakuja na waseme haujajib kitu kwan walishapata fursa Sasa wajaiondoa. Wengine watadai ata mwanadam muovu haumjui ili pia la ajab tofauti ya Jinni haumuoni ila mwanadam nakuona ukiwa unashirik,unalewa,unaiba na inazini halafu ww iwe nana? Je Jinni akofanya ayo unamuona? Kua haujaeleza kitu ni madai ya Washirkina!
Shekh Abdul qaadil Allah akuhifadhi na akupe afya na nguvu ili upate kuwaongoza mashekh wetu , wanatutia aibu kuona wao wenyewe wanafanya vitu ambavo havipendezi kabisa. Yarab tunakuomba uwahifadhi mashekh wetu na uisimamie dini yako. Alhamdulillah.
Halafu anatokea Mtu huko anawatusi Kina Fulani ni mawahabi. Huku huyo aliyesema Ndio yupo upande wa Dr.Sule na Sharifu Majini na wengneo....Na Anakwambia Hawa wana Makaraama...Na wao wanaona Ushirikina ni Mtu kuabudu Sanamu tu ya kuchonga.
Sule kuna clip nilisikia anasema shetani ni jini alieasi Sisi kwenye Ukristu tunafundishwa shetani ni malaika alieasi Mungu 🤔 Sule anawapiga kamba hapo
Asalamu alaykum warehmatunlah wabarakatuh mashekh lakini mungu si amesema yeyote atakae nitukuza kwa siri mimi nitamtukuza kwa dhahiri na atakae nihasi kwa siri mimi nitamdhalilisha kwa dhahiri kabla ya kukutwa na umauti kwahiyo hiyo ndio kazi ya Mw. Mungu acheni tuyadhihishe yale tunayoyafanya ya siri.
Jamani hakuna ndini nzuri kama wakilsto ndini haina makando kando hii ndini ya waisramu ni dini ya wafuga majini nyie munao ingia kwa mbio za mwenge na wapa pole
Hakuna mwanadam ana elmu ya kufahamu jini m baya na jini mzuri, Ila jini ana maarifa hayo so manake jini ana ujuzi zaidi ya binadam, Hii inatosha sana kujua hawa Ma sheikh waganga wa mitandaoni ni wapiga deals tu wapate pesa.
Wewe unadini yako na sisi tunadini yetu,muombe mwenyeezi mungu akuingize kwenye dini ya haki ya kumtumikia yeye mungu Mmoja pekee,na sio miungu baba sijui mwana sijui mtoto.mwenyeezi mungu akuongoze
Unaongelea jini ama shetani. Shetani ana kiti cha enzi kanisani fungua bible usome. Ufunuo 2:12 Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili. 13 Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani.
Shekh ameongea lkn bdo hajafafanua mjue kuna wa2 c mitume lkn wamepta daraja za uwalii ukiangalia kwanini Nabii Musa alkua mtume lkn Allah akamwambia akasome kwa mtu ambae n ktk kaumu yake ambae ni Alkhidhir na pia hyo Shekh Abdul kadir jaylan ikisomwa sera yake alkua akiskia saut za wanyama n si mtume kisha ukirud kwa Shekh Uweso Al qarniy ambae ni walii nae ndio aliepta karama mpka maswahaba wakaambiwa wakimuona wamwambie awaombee maghfira na Uweso hakua Swahaba sasa kuna vi2 pia tusipotezane kuna ibada ukizifany Mungu anao uwezo wa kukujulisha majini wazur n wabaya na pia akakuelewesha sauti za wanyama hayo yote Mungu anampa yule amtakae kwahio shekh bdo hajaongea ila wa2 wajue ibada yako ndio inayokupandisha daraja mpka kuona au kuskia vitu ambavyo wengne Mungu awezi wasklizisha
Sheikhe kuna vitu hata wewe hujui kuna watu wanasomeshwa dini na masheikhe wa kijini alafu ndo ushindwe kujua huyu jini ni mbaya au mzuri... hata wew bado kapige goti usome
@@paulmushi2428hata wewe unae huyo ndo anaekuamrisha mabaya ndo maana hutaki unaona ugumu kuja kwenye haki kwenye uislamu,emu mshinde huyo jini njoo kwenye Uislamu
Ila Waislam Tunachukiana Sana Wallah, Yani Eti Muuliza Swali, ameshindwa kumtaja Dr Sule... Duhhhh 😮😮😮 Lakini angekuwa ni kafiri kauliza, ngemtaja mpaka Ubini wake...
Mashaallah umeongea kwa akili kubwa sana.allah akubariki huu ndio uislam bwana .siku moja nataraji kuona tanzania tunaswali idd pamoja mwezi wa kimataifa sioni km inapendeza
Ndugu Wapo,na nduomana ,Aya Inasema wameumbw majn na Bnaadam Waje kuabudu Allah,sw ,Soma Quran yk,Uckatae,ila Kufta mjin Haifai na kutumlia hii unakuja shrk,kw Sababu tumeumbwa Lengo Moja Kuja Kuabud Allh
Sasa nyunyi mnamsikiliza Mpuuzi Mmoja asojitambua,Yeye nu Mchawi mtu anajisifia wanawake wanamtongoza huyo unsmuona yuko sawa??!Msameheni kama mlivyo msamehe Harmonize asemalo halijui Nae amekuwa Mpenda KIKI ya Mitandaoni,
MashaAllah jazaka Allahu khair. Sheikh umeeleweka vizuri sana. Mwenye anataka afuate mwenye hataki akisema yeye yuko na elim kushida mtume S.A.W basi yeye bila shaka amepotea, inafaa arudi katika njia ya haqi.
Inafaa kutumia majini kwa kazi za ulinzi kama unavoajiri walinzi wengine au unaajiri mbwa kukulindia! Kuwa na umbile tofauti haliingii kwenye shirki hata mara moha! Shirk itaingia tu iwapo utawaabudu tu!
Kwahio ,Doctor Sule anatumia mashetani ,wala sio majini ,Maana jinni ni viumbe na vya Allaah na hawaonekani,wakwake Doctor Sule madamu anawaona hao ni mashetani wa kujitengezea mwenyewe
Watakiwa utoe aya na hadith inayosema haifai sisi kushirikiana na majini ikiwa mtume saw asema majini ni ndugu zetu hata Tukil tusiwasahau.... Sasa ikiwa mtume asema majini ni ndugu zetu kuna ubaya gani kumtumia Ndugu yako....Mawahabi n
musi seme waislam wanaluusu majini tu ayo mambo yapo atamakanisan yapo makani yanaitwa kanisa lasheitwan Mombasa lipo pia wapo atawaklsto wentekutumia ayo mambo sijupeleki mbali nenda mbea nenda msumbiji kaio iyo nitabia zawashilikina tu sio waislam atawaklsto wapo tembeen Dunian muone
Sheikh hili jambo lina mushkeri, Dk sule anasema Jini mzuri au mbaya utamjua kwa kazi zake. Kwa hivi sasa matokeo ya kazi ndio kipimo cha kumtambua huyu mbaya na huyu Mzuri. Naona msingi alioweka Dr. Sulle ndio unatakiwa kujibiwa.
Sheikh amejitahidi kama alivyojitahidi sule bado hatujapata jibu la kutushibisha...sheikh amejaribu kuunganisha aya na aya akachanganya na ufaham wake kama alivyofanya sule kuhalalisha hoja yake..ila mm nashauri anayekubali kwamba yafaa kutumia majini atueleze pia faida na hasara na anayesema haifai pia atueleze faida na hasara...asili ya kila kitu ni halali mpaka allah alipokuja kutuwekea mipaka ya kuharamisha baadhi ya vitu na hakutuharamishia kutumia kitu isipokua kitu hicho kina hasara kwetu
Yye Hajahalalsha juma faham,alchosema Yye n kupnga kua Hakuna Bnaadam kutumlia majn,km nhvyo tutakufur bure,,lkn Allah Amemleta Nabii kua Kiongoz na vyeo vyao,lkn wafuac Wa Huyo Nabii Allah hawakuwafunukia upeo Wa Elmu Zaid,Ndio mna Allah kaumba Majin na Bnaadam Waje Muabud ,Sasa ikiwa Tumeletwa Lengo n Moja Muomba risk Nan atakua ,Lazma mtafakar na nyny aklzenu
MashaAllah,Allahu Akbar, Shekhe wallah Allah. Akulpe Ujraa Mwema,kw Kutoa Fatua Ya Maneno yk Mazur Tena Maneno ya Allah Uloyatoa Quran,Allah Akuhfadh na Elmu Yk hyo,Hamdullah MashaAllah,Hta Bna Adam Anaweza Akakutendea Wema Kumbe Nafsn Mwke yupo na Roho Dhaifu,Amekosea Dr Sule,Ht Majin Huwajui Nasfs yeo ipojee,Allah Peke,Lait Allah Angetufunulia Nafs tukaziona Huyu na yule wallah Ndugu zangun Tungekmbianaaa,Turejeen Kw Allah ,Hakika Shetwan Aduiw Mubin🙏🥲,Wamaghalakatu Jinni Walinsi Ilaa Liayaabud ,Hakumba Majin na Bnaadam ,Icpokua Waje Kumuabudu Allah Bc ,inatosha ,cc Bina Adam Na Majin Tumeletwa Lengo Kuja Abudu Allah na Kufanya Yalo Kher,Anaeombwa Utajr Risk N Allah Pekee,Hana Mshrkaa