Sheikh asema wanaomtukana Rais Samia wanamuongezea sifa ya uongozi wake"
“Wote sisi watu wako wewe.Tuliokuwa na akili timamu, punguani kidogo na punguani kabisa watu wako mama. Hakuna dampo la kutupa watu. Najua upo hivyo lakini nakuongezea kama Mziwanda. Mwanao, raia wako.
Kuwa na subira kubwa. Nyuma yako kuna Bunge, kuna wabunge kilichowapeleka bungeni hawakijui, wavumilie,”Sheikh Mharamu Mziwanda.
5 окт 2024