Is an online television registered with the Tanzania Communications Regulatory Authority -TCRA for reporting all news, information, social events, politics, economics, sports and development around the world, our registration number is TCRA/OCS-OT/074/2018.
In addition Gilly Bonny Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the State or RU-vid.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari zote, taarifa, matukio ya kijamii, siasa, uchumi, michezo na maendeleo duniani kote, namba yetu ya usajili ni TCRA/OCS-OT/074/2018.
Aidha Gilly Bonny Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi na youtube.
Huna akili msingwa kumbe kweli ulikuwa shushu umenunulika na Wana ccm sio.sasa kumbe tumeamini haya yanayo tendeka kwenye inchi hii na ugumu wa maisha kumbe ulikuwa unayapalilia
Huna akili msingwa kumbe kweli ulikuwa shushu umenunulika na Wana ccm sio.sasa kumbe tumeamini haya yanayo tendeka kwenye inchi hii na ugumu wa maisha kumbe ulikuwa unayapalilia
Huna akili msingwa kumbe kweli ulikuwa shushu umenunulika na Wana ccm sio.sasa kumbe tumeamini haya yanayo tendeka kwenye inchi hii na ugumu wa maisha kumbe ulikuwa unayapalilia
Huna akili msingwa kumbe kweli ulikuwa shushu umenunulika na Wana ccm sio.sasa kumbe tumeamini haya yanayo tendeka kwenye inchi hii na ugumu wa maisha kumbe ulikuwa unayapalilia
Hongo ni mbaya sana mpk kigugumizi ni wewe ndio ulikua unaipiga ccm leo imekua tena nzuri kweli Mungu atakugonganisha kwenye tumbo la samaki mpk urudi kwenye njia ya uchungaji wako
Maaelezo mengi sana. Je mwenzangu umeona loop hole? Mfanya biashara kaenda duniani kaja na sukari kwa bei ambayo haiuziki pasipo kusamehewa kadi. Hapo patamu
Suala ni kwamba hakukua na uwazi katika kutoa vibali. Hii inaleta hisia kwamba ni kampuni zenu au za ndugu. Tunataka kujua hizo kampuni zilipataje vibali vya kuingiza sukari wakati watu wengine wenye makampuni hawakutaarifiwa kwamba waombe vibali kama wao?
RC udumu Mungu wa mbinguni Azidi kukupa maono zaidi Hilo na lingine ingilia hata tasafu wanajimilikisha viongozi wahisika hupewa sh 20 ebu wsfanye viwango inaumiza mtu hsoni anapewa sh20 mtu na macho yake anapewa sh 70 uwiano uko wapi? Ingilia kati
Huyu siyo Msigwa yule kabisa! Kaandikiwa hayo anayoyaongea kiasi anachanganyikiwa? Duuh! "When big mind becomes dwarf minded! 😂😂 Anaongea tu ambayo "wenyeji" wake wanataka wasikie! Pole yake!