Тёмный

WANAYANGA WASAFIRI KWA SGR | HERSI, KAMWE WAWEKA MANENO 

TRC RELI TV
Подписаться 79 тыс.
Просмотров 3,3 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

21 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 18   
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Месяц назад
Mwenyezi Mungu ibarik Tanzania na Viongozi wake wote, kwahakika tunaweza
@tevintevin6254
@tevintevin6254 Месяц назад
Mnapokanza uchawa ndio mnakera umesikia we God
@ramasimon5828
@ramasimon5828 Месяц назад
Kwenye hili najua ni kazi ya Magufuli.
@jonathanmanyaga4357
@jonathanmanyaga4357 Месяц назад
Sawa Nani kakataa?
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Месяц назад
Marais wote waliopita michango yao pia imo humu. Bila ya wao Magufuli asingeweza kuanzisha na mama asingeweza kumalizia. It is a collective effort, not individual contribution.
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Месяц назад
Haijalishi bali washukuriwe wote Muanzilishi na mmaliziaji Hapa kazi tuu na kazi iendelee Magufuli alikua na vision
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Месяц назад
​@@Ali-nl2duusitudanganye Nani alojenga kama si magu na mama kumalizia msiwe mnatoa stori ambazo hazipo mtu atasifiwa kwa alilofanya
@oscarboniface9690
@oscarboniface9690 Месяц назад
Safi sana serikali yangu nawakubali....tunasubiri kwa hamu kichwa mchongoko
@mbwizax87
@mbwizax87 Месяц назад
Serikali yetu kwa ubaguzi usitegemee SGR kuja kwenda Arusha au Mbeya au Tanga
@egdldm4981
@egdldm4981 Месяц назад
Hao watu wa mipira wakiendekezwa badaa ya mwezi utakuta wameng'oa viti na kuvichora chora.
@liberatedpeople6054
@liberatedpeople6054 Месяц назад
Natumai nauli zinalipwa maana mda wa kupanda bure ushapita
@OdenBidili-lj5qi
@OdenBidili-lj5qi Месяц назад
Hii mipumbavu inachezacheza ndani ya train upuuzi mtupu sio muda kwalite itapungua huwezi ona Airport ujinga huu
@Kabwela776
@Kabwela776 Месяц назад
Hivi vitu vya watu kucheza cheza ovyo ndani ya mabehewa wangepiga marufuku naona kuna wengine wanapigia hivyo vitu kama ngoma mwisho wa siku ni uharibifu, watanzania sio wastaarabu wengine wataanza kupanda juu ya viti vya kukalia watachana Na utakuwa uharibifu
@jebace
@jebace Месяц назад
kweli tenda wema nendazako,JPM no where to be found in the mouths of Tanzanians,shame on u all.
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Месяц назад
Sasa hapo kwenye mikoa mingine ndio tunata bullet
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Месяц назад
Gharamaaa tatizo Gharama
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Месяц назад
@@elinamilyatuu7337 Yap ni kweli, sema tunalipa pesa nyingi madeni, Yan tungepata hata ile ya 420 km per hour Dar to arusha, ingekuwa poa sana
@johnalexandermushi6720
@johnalexandermushi6720 Месяц назад
Tanzanian Shinkansen😂
Далее
На фейсконтроле 💂
09:41
Просмотров 871 тыс.
How AI could help us talk to animals
9:06
Просмотров 507 тыс.
#SGR: TRENI YA UMEME TANZANIA   (Film)
23:56
Просмотров 1,5 тыс.