Marais wote waliopita michango yao pia imo humu. Bila ya wao Magufuli asingeweza kuanzisha na mama asingeweza kumalizia. It is a collective effort, not individual contribution.
Hivi vitu vya watu kucheza cheza ovyo ndani ya mabehewa wangepiga marufuku naona kuna wengine wanapigia hivyo vitu kama ngoma mwisho wa siku ni uharibifu, watanzania sio wastaarabu wengine wataanza kupanda juu ya viti vya kukalia watachana Na utakuwa uharibifu