Lisu ni Lulu katika taifa letu, viongozi wa serikali wangekuwa wanafaham umuhimu wa huyu kiongozi wasingewazia kumuuwa ili waongoze kirahisi, Asante sana mh Lisu.
Dunia siku zote imeyumbishwa na makundi ya siasa, dini, kutengeneza makundi yanayojiona bora kuliko makundi mengine, maisha haya ni mafupi kwa wote, wala hatuna nyumba ya kudumu, auaye naye utamshangaa anakufa...
Sasa hakika nimeamini kuna makaburi ambayo yamepambwa na kumeremeta kwa nje na kuheshimiwa sana LAKINI marehemu wa makaburi hayo wako wanaungua moto kuzimu! 😢😢😢😢😢
Lisu Mungu akulinde sana haya yanafichuka kwa sababu yauongozi wa dhuruma kwa wananchi wanyonge, Asante Mungu kwakusikia kilio cha watu wa hali yachini, wanyonge hawana ham na nchi yao, hatuna ham na bunge wala serikali mahakama ndohivo twende wap
Kweli Damu ya mtu haimwagiki bure. Tanzania aibu tupu..Si lila mtu wa kuua kama kuku. Wamezoea sasa. Mambo hadharani. Sema baba sema Mungu kakupa nafasi ya pili kuishii ili mashetani wajifunze jambo.
Pole sana mweshimiwa Lisu, ukweli mimi sikulala siku mbili usingizi, nilikuwa nikilala nashituka naingia mtandaoni kusikia kama bado mzima?😭 Hakika Mungu ni mwema ukweli usiyo na shaka umeanza kujulikana! aibu yao watu waliopanga na kutekeleza mauaji yako, ukweli huwa haujifichi ni swala la muda tu!, Mungu asaidie kila kitu ili wote walio husika wawajibishwe.😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nilichogundua ni kwamba! Kama humpendi mtu fulani kwa chuki na kwa vyoyote vile hutowezi kumpenda mtu huyo, mbali na kusikiliza chochote anachosema mtu huyo hata kama kina mantiki; hasa kama mtu huyo anaingilia masilahi yako!
Nimeifuatilia hotuba hii ya mwamba katika channel za RU-vid tofauti tofauti nimegundua kuwa wamekata sehemu nyingi muhimu za hotuba, duh 😢😢😢. Mh: ngurumo hongera kwa uzarendo wako 🎉.