kichwa kimeodoka ...Allah akujalie rehma na maghfur unako kwenda yarabb akusamehe makosa yko na kukubalie mema yko na pepo janat fardous iwe makazi yko yarabb ..wewe mbele na sie nyuma yko .Allah atupe mwisho mwema yarabb 🤲
Pumzika Kwa amani baba yetu Mwinyi😭😭😭😭😭Kwa hakika umekuwa hadithi nzuri kwetu tunaosikiliza huu wasifu wako tangu miaka hiyo ya ASP! Asante Kwa kazi zako katika Taifa letu la Tanzania😭😭😭Pumzika kwa amani baba.
Wazazi wangu wamenihadithia kuwa mzee. Alifanya vzuri sana katika uongozi wake watu walikuwa pagumu mnoo mzee kikwete rais mstaafu umebaki wewe tz tunakutazama kwa ushauri mkubwa Mungu mkuu akutie nguvu
Maisha ya watu wa hali ya chini sana,watumisgi walikua na maisha magum hd mavazi,Mzee wetu Mwinyi ndie alieruhusu nguo za mitumba kuingizwa Tanzania,mungu akurehemu baba ulijali watu wa chini pia.
Maisha ni Hadith tuu na leo tunakumbuka maneno yako, na hadith yako inasimuliwa yoote ni ya kheri tunakutabiria mema na ulipo kosea Allah akusameh pamoja na sisi ya Rabbi Atusameh
Innalillah wainnailaihi rajiun, Mwenyeez Mungu amrehem Insha'Allah na amsameh makosa yake. Amjaalie kaburi lake kua miongoni mwa nyumba za peponi Insha'Allah.
Watajiitaje kuwa WaZnz bila ya makaburi ya babu zao . Hayo ni matayarisho ya mjukuu wake kuja kushika uraisi . Ukitaka maendeleo weka target miaka 30 ijayo .
Ukiona Hadi Wananchi wa Hali ya Chini Wamehuzunishwa na Kifo cha Rais wao hatakama Amestaafu Jua Aliishi vyema na Alitenda haki kwa Kila Mmoja. Pumzika Salama Rais wangu, Nimezaliwa Zama zako, Msalimie Mwamba Magufuli na Kamanda Nyerere Waambie Legacy zao bado zinaishi. Tunaendelea Kuteseka na Umeme huku.
Kuzaa siyo shida kijana shida ni jinsi ya kuwalea ndo mtihan Sasa mzee yeye alikua na uhakika wa maisha wakula had vitukuu Sasa utashindwaje kuzaa Sasa?? Huo ushaur washaur kina kikwete na viongoz wa serikali
Inna wainna illahi rajiun Allah ampe kauli dhabiti Allah amuondele na adhabu kabri Allah amrahamu nakukumbuka kwa mazuri ulio tufanyia Allah akusamehe kaburi lako Njana firidous
Kumbe hata digrii Hana....Lakini Kawa rais wa Tz. Hekma. Utu.na tabia njema ulikuwa ndio Msingi wa viongozi waasisi wa taifa letu. Eti Leo u_ Dr. Ndo imekuwa sifa ya Ma rais wetu... Eee Mola mfanyie heri