Innalillah wainalillah rajiun.. ALHAMDULILLAH tunamshukuru Mungu kwa maisha yako kwetu🙏pumzika kwa amani babu... Mwenyezi Mungu akupe kauli thabiti .. Allah'umma Amiin
Poleni saaaana ndugu zetu wa Tanzania 🇹🇿 Allah ampe kauli thabit pepo iwe mahali pake natoa pole za rambirambi kwa msiba huu mkubwa mzee ruhsa ametutoka sisi huku oman 🇴🇲 tunamlilia
Sijui kwann nimeshindwa kuhuzunika moja kwa moja😢 napata amani sana licha ya kifo chake, kama fikra na hisia zangu hazinidanganyi basi atakuwa ni watu waliotenda mema duniani na M.mungu atamjaalia pepo amiina
Apo ndio tuone kwamba maisha Siri, anayasema hayo Maiti kipindi yupoa Hayati Magufuli. Na Alowahi kitangulia ni mdogo mkubwa ndio leo. Tujifunze hapo maisha si kitu. Tuwaombee ndugu zetu walotangilia mbele ya khaki Allah awape sahal na awasamehe maiti wetu wote na sisi Allah atupe mwisho mwema. Yaaaaraaaabi, mfanyie wepesi Mzee Mwinyi na wale wote waliotangulia mbele ya haki n ss tupe mwisho mwema yaaaraaabi😭😭😭🤲🤲🤲😭😭😭
Inna Lilah wa Inna ilaih Rajiuun, Allah amrehemu Mzee wetu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, ampe Kauli thabiti, amsameh na amuondoshee Adhabu za Kaburi nasi atupe Mwisho Mwema Aamiin.
Mungu amlaze pema peponi. Anaomba msamaha kwa kusahau sahau maneno. Katikati ya speech anatoa stori ya maisha kuwa kama hadithi na mwisho anashkuru kwa kusikilizwa.. Huyu ndio mzee wa rukhsa aliyeichukua nchi wakati wa njaa tupu na kuruhusu karibu kila kitu na kufuta restrictions karibu zote ili kuokoa maisha ya mamilioni
Pole kwa familia,ndugu,jamaa,marafiki na watanzania wenzangu kwa ujumla. Mchango wake kwa taifa hili hautasahaulika kamwe,alitimiza wajibu wake. Amevipiga vita imara hapa duniani mwendo ameumaliza. Pumzika kwa amani Rais wetu mstaafu.
Mzee huyu, RAIS MSTAAFU HUYU, MWALIMU HUYU, alikuwa na hekima hadi uzeeni. Tumshukuru Mungu kwa uzima wetu na kwa maisha yake katika uso wa nchi. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe, Amen
Innalilah wa Innailah rajiun allah ukukinge na adhabu ya kabur akupe kauli thabit atie nuru kabulin kwako akupokelee kitabu chako mkono wa kulia akusamehe madhambi makubwa na madogo uliokuwa unayajua nna usiyoyajua ya sir na ya dhahir uliyoyafanya kwa udhaif wa nafsi yako akustir kaburin na kesho mul kiama akupanulire kabur lako liwe uwanja wa pepon AAAMMIIIN
Mungu akulaze mahalapema peponi mzee wetu mwenye heshima Kwa taifa letu nitakukumbuka Kwa kua na hekima na busara viongozi Kuna la kujifunza Kwa huyu baba
Au ukiwa mpole na ucye na hacra nayo inasaidia kuishi miaka mingi nn.. maana natamani kujua mengi kwenye maisha ya huyu baba.. mungu baba alimhuluku miaka na mikaka kiukweli..
Aliyekuwa rais wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa 🇹🇿 Ali Hassan Mwinyi almarufu Mzee Ruksha ametangulia mbele ya haki leo tangazo iliyotolewa na rais Mama Samia Suluhu Hassan. Mzee Mwinyi aliwahi hudumu kama waziri wa usalama wa ndani, rais wa Zanzibar, makamu wa rais wa Tanzania na baadaye akawa rais kutoka mwaka 1985-1995. Makiwa kwa familia ya Mzee Mwinyi na WaTanzania wote kwa kweli kifo inasiri kubwa sana na dunia ni kamba na sisi sote ni wasafiri. Mungu ailaze roho ya Ali Hassan Mwinyi mahali pema peponi 🙏🙏🙏🙏.
Kiongozi mwenye umri mkubwa kama huo anapaswa kupunzika bila kuzongwazongwa mimi naamini kwa wakati wake amefanya kazi yake nzuri na sisi wenye sifa hizo tutafanya lini sasa viongozi wetu waache mambo ya ulimbukeni
kitu kikubwa nimejifunza kwa mzee mwinyi, ni tofauti na wanasiasa wengi wa Tanzania alikua haogopi kuongea ukweli bila kupindisha na aliongea yale yalio moyoni mwake bila kutetereka ndomaana ameishi umri mrefu maana majuto ni madogo...mtu mkweli yuko huru siku zote hana vijiba vya roho, watanzania tujifunze hilo na tujiweke mbali na unafiki mtu kama anakosea mwambie ukweli hata kama ni ndugu yako au mko nae dini moja , mwambie ukwel ataumia ila baadae atakushukuru
bora ww uliejua kwamba ipo siku moja dk moja utafaliki hautakuwepo kuliko hao wanaojiona miungu watu hawata kufa,,,,, najiusia nafsi yangu mm mwenyewe nawengne ambao mungu katuacha tuendelee na mtihati huu wadunia tusisahau kifo kwasabu kifo hakitusau sisi namuomba mungu anijalie mwisho mwema nisiwe miongoni mwa watu wabaya