Тёмный

"NITAKUFA HIVI KARIBUNI" - MSTAAFU MWINYI ALIVYOSHINDWA KUJIZUIA na KUMWAMBIA MAGUFULI  

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 189 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 166   
@globaltv_online
@globaltv_online 8 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 8 месяцев назад
Number
@imanuelimwakisu2130
@imanuelimwakisu2130 8 месяцев назад
​@@ChristianMkumbo-ix2ke😊1😊
@ismailfarahismail1292
@ismailfarahismail1292 7 месяцев назад
Qaqqqqqqq​@@ChristianMkumbo-ix2ke
@elijahonyango8345
@elijahonyango8345 8 месяцев назад
Allah amrehemu Mzee wetu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, ampe Kauli thabiti amsameh sana na mungu akubariki
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 8 месяцев назад
Innalillah wainalillah rajiun.. ALHAMDULILLAH tunamshukuru Mungu kwa maisha yako kwetu🙏pumzika kwa amani babu... Mwenyezi Mungu akupe kauli thabiti .. Allah'umma Amiin
@ProsperNjau
@ProsperNjau 8 месяцев назад
Hakika umeacha historia isiyoweza kufutika Mwenyezi Mungu akupe pumziko la amani Amen.
@francomwalutende7864
@francomwalutende7864 8 месяцев назад
Mzee alikuwa mnyenyekevu sana aliyejaa hekima na busara, Mungu akupe pumziko jema
@luluwabinthamed2860
@luluwabinthamed2860 8 месяцев назад
Poleni saaaana ndugu zetu wa Tanzania 🇹🇿 Allah ampe kauli thabit pepo iwe mahali pake natoa pole za rambirambi kwa msiba huu mkubwa mzee ruhsa ametutoka sisi huku oman 🇴🇲 tunamlilia
@bobochieng8026
@bobochieng8026 7 месяцев назад
Tanzania has always had very good leaders. Patriots who love their country and people. Kenyans have a lot to learn from Tanzania.
@LenaMganda
@LenaMganda 7 месяцев назад
❤❤❤❤❤ pumzika kwa Amani mwendo umeumaliza
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 8 месяцев назад
Sijui kwann nimeshindwa kuhuzunika moja kwa moja😢 napata amani sana licha ya kifo chake, kama fikra na hisia zangu hazinidanganyi basi atakuwa ni watu waliotenda mema duniani na M.mungu atamjaalia pepo amiina
@khamisjina8833
@khamisjina8833 8 месяцев назад
Apo ndio tuone kwamba maisha Siri, anayasema hayo Maiti kipindi yupoa Hayati Magufuli. Na Alowahi kitangulia ni mdogo mkubwa ndio leo. Tujifunze hapo maisha si kitu. Tuwaombee ndugu zetu walotangilia mbele ya khaki Allah awape sahal na awasamehe maiti wetu wote na sisi Allah atupe mwisho mwema. Yaaaaraaaabi, mfanyie wepesi Mzee Mwinyi na wale wote waliotangulia mbele ya haki n ss tupe mwisho mwema yaaaraaabi😭😭😭🤲🤲🤲😭😭😭
@jumamchina9038
@jumamchina9038 8 месяцев назад
Inna Lilah wa Inna ilaih Rajiuun, Allah amrehemu Mzee wetu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, ampe Kauli thabiti, amsameh na amuondoshee Adhabu za Kaburi nasi atupe Mwisho Mwema Aamiin.
@khamisjina8833
@khamisjina8833 8 месяцев назад
Aaamin🙏🙏🙏
@luisojr3480
@luisojr3480 8 месяцев назад
Amina
@allymohamed6265
@allymohamed6265 8 месяцев назад
Aamin
@josephlorri431
@josephlorri431 8 месяцев назад
Ni moyo mkuu... mzee Mwinyi amekubali kwamba maisha yake yako ukingoni, ni mzee wa imani hasa..
@fatmaaliomar9733
@fatmaaliomar9733 7 месяцев назад
Mwenyezi Mungu akuweke mahali pema peponi mzee wetu.Upumzike kwa Amani.Amina.
@nasserm.nasser5087
@nasserm.nasser5087 8 месяцев назад
Mungu amlaze pema peponi. Anaomba msamaha kwa kusahau sahau maneno. Katikati ya speech anatoa stori ya maisha kuwa kama hadithi na mwisho anashkuru kwa kusikilizwa.. Huyu ndio mzee wa rukhsa aliyeichukua nchi wakati wa njaa tupu na kuruhusu karibu kila kitu na kufuta restrictions karibu zote ili kuokoa maisha ya mamilioni
@sambaachristopher
@sambaachristopher 8 месяцев назад
Pole Tanzania!Pole familia ya Mzee wetu aliyetangulia mbele huko waendapo!Bwana wangu Yesu Kristo awe faraja yenu kuu!Mwaminini Mungu na Yesu!Amina
@benkiriama6169
@benkiriama6169 8 месяцев назад
😢Mzee mwenye hekima,busara,maarifa na ujuzi zaidi,mzee nenda salama Mungu airehemu roho yako,twakupenda jameni
@Jifunze36
@Jifunze36 8 месяцев назад
Inaa lillahi wainnaa ilayhi raajuun, Allah Amsamehe madhambi yake na Amlipe kwa wema wake, Nibishara njema kufa ukiwa ni Uislamu 🤝
@daniel.shao.9028
@daniel.shao.9028 8 месяцев назад
Pole kwa familia,ndugu,jamaa,marafiki na watanzania wenzangu kwa ujumla. Mchango wake kwa taifa hili hautasahaulika kamwe,alitimiza wajibu wake. Amevipiga vita imara hapa duniani mwendo ameumaliza. Pumzika kwa amani Rais wetu mstaafu.
@isayakayange5439
@isayakayange5439 7 месяцев назад
Mzee huyu, RAIS MSTAAFU HUYU, MWALIMU HUYU, alikuwa na hekima hadi uzeeni. Tumshukuru Mungu kwa uzima wetu na kwa maisha yake katika uso wa nchi. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe, Amen
@sharifakhalfan2475
@sharifakhalfan2475 8 месяцев назад
Innalilah wa Innailah rajiun allah ukukinge na adhabu ya kabur akupe kauli thabit atie nuru kabulin kwako akupokelee kitabu chako mkono wa kulia akusamehe madhambi makubwa na madogo uliokuwa unayajua nna usiyoyajua ya sir na ya dhahir uliyoyafanya kwa udhaif wa nafsi yako akustir kaburin na kesho mul kiama akupanulire kabur lako liwe uwanja wa pepon AAAMMIIIN
@abdallahally842
@abdallahally842 8 месяцев назад
Mungu akulaze mahalapema peponi mzee wetu mwenye heshima Kwa taifa letu nitakukumbuka Kwa kua na hekima na busara viongozi Kuna la kujifunza Kwa huyu baba
@francomwacha2262
@francomwacha2262 8 месяцев назад
Au ukiwa mpole na ucye na hacra nayo inasaidia kuishi miaka mingi nn.. maana natamani kujua mengi kwenye maisha ya huyu baba.. mungu baba alimhuluku miaka na mikaka kiukweli..
@johngachugu305
@johngachugu305 8 месяцев назад
Aliyekuwa rais wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa 🇹🇿 Ali Hassan Mwinyi almarufu Mzee Ruksha ametangulia mbele ya haki leo tangazo iliyotolewa na rais Mama Samia Suluhu Hassan. Mzee Mwinyi aliwahi hudumu kama waziri wa usalama wa ndani, rais wa Zanzibar, makamu wa rais wa Tanzania na baadaye akawa rais kutoka mwaka 1985-1995. Makiwa kwa familia ya Mzee Mwinyi na WaTanzania wote kwa kweli kifo inasiri kubwa sana na dunia ni kamba na sisi sote ni wasafiri. Mungu ailaze roho ya Ali Hassan Mwinyi mahali pema peponi 🙏🙏🙏🙏.
@salamarashid3687
@salamarashid3687 7 месяцев назад
Allah akusameh dhambi zako za Siri na za dhahir.amin
@lilianmganyizi6286
@lilianmganyizi6286 8 месяцев назад
I bet amekuwa Hadithi’s nzuri tutakayo endelea kusimulia. Cheers 🥂to a life well lived. His 😊sense of humor.
@martinkafeero1751
@martinkafeero1751 7 месяцев назад
Rest well Mzee Mwinyi... The legacy of Mwalim and the entire leadership of Tz shd be emulated across the continent.
@eliahmashala5180
@eliahmashala5180 8 месяцев назад
Lala salama babu yangu ALL HASSAN MWINYI
@redtk2971
@redtk2971 8 месяцев назад
Timu ya Tanzania ni sawa na kichwa cha mwenda wa zimu kila mtu anajifundishia kunyoa hii kauli ya mzee itaishi kwangu milele 🎉
@karimambosanga4290
@karimambosanga4290 8 месяцев назад
Azina ya kiswahili mzee Mwinyi ina lillah wa ina ilayrajiun
@asiashaban8283
@asiashaban8283 8 месяцев назад
Inalilah waina illah rajiun mzee wetu mungu kakupenda zaidi
@abdullahibaris7182
@abdullahibaris7182 8 месяцев назад
INNA NILLAH WA INA ILEYHI RAJAIOON hini dalili ya Ahlu JANNAh ahlu kheiyr muumin ALLAH RAHMA
@clememallya4257
@clememallya4257 8 месяцев назад
R.I.P mzee wetu na Rais wetu mstaafu Mwinyi. Raha ya milele umpe ee Bwsna na Mwanga w milele umwangazie
@misanamaige
@misanamaige 8 месяцев назад
Tutakukumbuka daima baba yetu. Pumzika kwa amani kiongozi wetu.
@LenaMganda
@LenaMganda 7 месяцев назад
Pumzika kwa Amani Mzee Ruksa❤❤❤
@Gambasingu_Gilitu
@Gambasingu_Gilitu 8 месяцев назад
Mbele yako nyuma yetu, pumzika Kwa amani Mzee wetu, mhe Rais mstaafu wa JMT
@BATWELYNywage-yk1vn
@BATWELYNywage-yk1vn 8 месяцев назад
Asante Mungu Kwa Maisha ya Raisi Ally Hassan Mwinyi kwa Watanzania wote.
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 8 месяцев назад
Inna lillah wainailaih rajuun. Eee M'mungu muhifadhi mzee wetu kwenye kabri yake mpaka kesho yaumuri Qiama inshaAllah.
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 8 месяцев назад
Allah yarihamuhu ya Rabbi
@jalinachilala8465
@jalinachilala8465 8 месяцев назад
Nakupenda sana baba ulikuja kondoa mwaka .,..,ila nakupenda baba❤
@halimamasai2234
@halimamasai2234 8 месяцев назад
Mungu amlaze mahala pema peponi amin. Pole kwa familia ya mwinyi 😭😭😭
@CoachBeka
@CoachBeka 8 месяцев назад
Inalilah waina ilah rajiun
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 8 месяцев назад
Mbele yake nyuma yetu Sote tutaondoka katika uso wa Dunia, Allah amuhifaddhi mzee wetu ampokee kwa mkono wa kulia 😢😢
@RaphaelHhari
@RaphaelHhari 8 месяцев назад
Kiongozi mwenye umri mkubwa kama huo anapaswa kupunzika bila kuzongwazongwa mimi naamini kwa wakati wake amefanya kazi yake nzuri na sisi wenye sifa hizo tutafanya lini sasa viongozi wetu waache mambo ya ulimbukeni
@VeronicaMwakimbingi
@VeronicaMwakimbingi 8 месяцев назад
Raisi wetu msitafu wa awamu ya pili,mungu wa mbinguni ailaze roho yk mahala pema peponi,😭😭😭😭😭
@MariamSindano-os7ce
@MariamSindano-os7ce 8 месяцев назад
Mungu amlaze mahali pema Mzee wetu
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 8 месяцев назад
Inna Lillah wainnailah rajiuun, Allah akulaze pahala pema peponi rais MWINYI 😢😢
@jamesukombozi5216
@jamesukombozi5216 8 месяцев назад
Rais mpole mvumilivu mpenda watu, mcheshi kweli unastahili pongezi 🎉🎉🎉 pumzika kwa amani Baba yetu
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 8 месяцев назад
R.i.p mzee wetu na legendary wetu jpm😢😢😢
@chriss6321
@chriss6321 8 месяцев назад
Mswahili nambari moja katutoka. Aaa Mzee Ruksa alikuwa na ladha ya lugha!!
@VeronicaMwakimbingi
@VeronicaMwakimbingi 8 месяцев назад
Rip Rais wetu wa awamu ya pili pumzika kwa amani mwendo umeumaliza😭😭😭
@GloryMsopa
@GloryMsopa 8 месяцев назад
Jmn mungu
@selemsigala4771
@selemsigala4771 8 месяцев назад
Mungu akulaze mahara pema peponi Rais wetu mstafu msemakweli tunashukuru kwa mchangowako adithiyako tutaisimulia vema.
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 8 месяцев назад
Mungu amlaze mahali pema peponi mzee wetu 🙏😭😭
@mellahcoffee
@mellahcoffee 8 месяцев назад
Mzee wa ruksa pumzika mzee❤
@restutatheodory5501
@restutatheodory5501 8 месяцев назад
Jamani! Pumzika kwa amani. Mwendo umeumaliza
@UongoziBoraInstitute
@UongoziBoraInstitute 8 месяцев назад
Mungu amlaze pema peponi Rais Ali Hassan Mwinyi.
@patrickKitambo
@patrickKitambo 8 месяцев назад
kitu kikubwa nimejifunza kwa mzee mwinyi, ni tofauti na wanasiasa wengi wa Tanzania alikua haogopi kuongea ukweli bila kupindisha na aliongea yale yalio moyoni mwake bila kutetereka ndomaana ameishi umri mrefu maana majuto ni madogo...mtu mkweli yuko huru siku zote hana vijiba vya roho, watanzania tujifunze hilo na tujiweke mbali na unafiki mtu kama anakosea mwambie ukweli hata kama ni ndugu yako au mko nae dini moja , mwambie ukwel ataumia ila baadae atakushukuru
@AbabaNzige
@AbabaNzige 8 месяцев назад
Inalilahi waina ilahi rajuun ALLAH amsamehe madhambi yake
@bettykasase1267
@bettykasase1267 8 месяцев назад
Turikupenda ila Mungu kakupenda zaidi,pumzika kwa amani baba etu
@KHERIMAKUNGA
@KHERIMAKUNGA 8 месяцев назад
R I P, mzee ruksa tutakukumbuka sana
@GraceJulias-r8g
@GraceJulias-r8g 8 месяцев назад
Poleni sana Kwa familia
@NehemiaKulwa
@NehemiaKulwa 8 месяцев назад
Eemwenyezi MUNGU mlaze mzee mwinyi mahali pema peponi
@azizimangara9024
@azizimangara9024 8 месяцев назад
Amin amin
@MaabeshFungurume
@MaabeshFungurume 8 месяцев назад
Inalillahi wainnaillahi rajioun we will miss u ruksa
@JamilaNanjawala
@JamilaNanjawala 8 месяцев назад
Rip rais mstaafu mungu ailaze roho yako mahara pema pepon
@HasinaSaid-g3b
@HasinaSaid-g3b 8 месяцев назад
Innah lillahi wainnah lillah rajiun Allah amjalie kauli thabit
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 8 месяцев назад
bora ww uliejua kwamba ipo siku moja dk moja utafaliki hautakuwepo kuliko hao wanaojiona miungu watu hawata kufa,,,,, najiusia nafsi yangu mm mwenyewe nawengne ambao mungu katuacha tuendelee na mtihati huu wadunia tusisahau kifo kwasabu kifo hakitusau sisi namuomba mungu anijalie mwisho mwema nisiwe miongoni mwa watu wabaya
@mwatelaedward1638
@mwatelaedward1638 8 месяцев назад
Rest in peace mzee wetu
@jumamchina9038
@jumamchina9038 8 месяцев назад
Kweli Kabisa, Maisha ni ya Dunia ni Hadith tu!
@erickcharles6834
@erickcharles6834 8 месяцев назад
So sad
@TaboraIgunga-gs5ob
@TaboraIgunga-gs5ob 8 месяцев назад
Daaaa jamani so sad
@nabwayocyril7083
@nabwayocyril7083 8 месяцев назад
pumzika mzee wetu
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo 8 месяцев назад
Mzee allijaaliwa hekima mno maneno mazuri yenye tafakuri nzuri
@alphaxard
@alphaxard 8 месяцев назад
Daaaah hakika Tanzania inapitia wakati mgumu kwa kipindi hik😢😢😢
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 8 месяцев назад
Mungu amemtunza ssnaa,huyu mzee.hajawahi vaa miwani.miguu ina nguvu.
@fatmahamdoun74
@fatmahamdoun74 8 месяцев назад
😢😢😢😢😢innallillah waina Illah rajioun
@kulwamwalukila2310
@kulwamwalukila2310 8 месяцев назад
Pumzika kwa amani mzee wetu
@lawskuli9876
@lawskuli9876 8 месяцев назад
Allah amsamehe makosa yake- Amin, Amin, Amin.
@EdgarKimutai
@EdgarKimutai 8 месяцев назад
pole majirani
@josephignas3988
@josephignas3988 7 месяцев назад
Yan huyu mzee aliongea kama mzazi na mlezi kwa hekima kubwa sana, Mungu akulaze pema mzee wetu!😢
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 8 месяцев назад
RAiSi aliye wafanya watanzania kuwa na furaha Rest in peace we all love you
@SosomaMpini-f2m
@SosomaMpini-f2m 8 месяцев назад
Polen sana ndugu wafiwa
@gloriadaniel3827
@gloriadaniel3827 8 месяцев назад
Punzika Mzee wetu.😭😭
@ms123ru
@ms123ru 8 месяцев назад
😢😢😢 nakupenda mzee nenda baba
@josephignas3988
@josephignas3988 7 месяцев назад
Huyo mwanamke scout amelia kwa hisia kama mm asee 😢😢😢....
@FakihhemmedKauka
@FakihhemmedKauka 7 месяцев назад
R.I.P Mwinyi
@evanccast6228
@evanccast6228 8 месяцев назад
Mzee wa rucksaa 🙏🙏
@kasimsaleh7103
@kasimsaleh7103 8 месяцев назад
Yani kifu cha mzee mwinyi kimenikumbusha wakati tukisilimiana wakati wa mazoezi zanzibar maisara tukielekea ngazimia .inalilahi wainailaina rajuuna.
@AgustMbisee
@AgustMbisee 8 месяцев назад
Hotuba ya Mzee imeniliza sana😭😭😭
@BoniphaceMwamba-s3t
@BoniphaceMwamba-s3t 8 месяцев назад
Daima tuta Kumbuka
@FedaSema
@FedaSema 8 месяцев назад
Msalimie kipenz chetu baba wawanyonge mwambie wanyonge tumekumc baba yetu
@jamesukombozi5216
@jamesukombozi5216 8 месяцев назад
Tutawakumbuka sana viongozi wetu ❤❤🎉🎉
@abdulkatalango2890
@abdulkatalango2890 8 месяцев назад
ndiyo alivyotaka mwenyewe na dini pia yataka hivyo
@HusseniLusugi
@HusseniLusugi 8 месяцев назад
Mwenyezimung akulaze mahali pema
@RaphaelHhari
@RaphaelHhari 8 месяцев назад
Ase duu roho ya kiongozi wetu ipunzike mimi mahali pema peponi
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 8 месяцев назад
Inna li llah wainna ilaih raajiun 😭😭
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 месяцев назад
Ndugu Rais,,,,siyo mheshimiwa Rais!!
@majaliwamussa1343
@majaliwamussa1343 8 месяцев назад
Inna Lillah wa Inna Ilaihi rajiun
@syliviamgeta8131
@syliviamgeta8131 8 месяцев назад
Rest in peace babu
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 8 месяцев назад
Mwanga wa milele mwangazi ee Bwana
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 8 месяцев назад
Inna lillah wa inna ylayhi rajiun
@marierobert42
@marierobert42 8 месяцев назад
😢 pumzika kwa Aman Baba
Далее
Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli
13:03
Always Help the Needy
00:28
Просмотров 7 млн
The Match That Made Zinedine Zidane Retire
14:37
Просмотров 3,4 млн