Wanafunzi watatu pamoja na dereva wamepoteza maisha kwenye ajali ya gari dogo aina ya Coster iliyokuwa imebaba wanafunzi wa shule ya sekondari Endasak ililyotokea jana majira ya AsubuhiAgosti 31,2024 katika eneo la Gajal Wilaya Babati na kusabibisha Majeruhi na vifo vya wanafunzi.
Mkuu wa mkoa wa Manyara Mhe.Queen Cuthbert Sendiga ametoa pole kwa wafiwa wote na wale walio pata majeruhi na kusema kuwa ajari hii imesababishwa na madereva wa magari makubwa kutokuwa makini pindi wanapokuwa wanaendesha.
Tazama video zaidi • Mazishi ya Kijana alie...
18 сен 2024